Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,261
- 3,679
Ingekuwa vizuri ukatuletea economy ya hizo cities na pia unazosema ni towns..You are right,
East Africa cities ni Nairobi,Dar , Mombasa,kampala na labda Kigali...zingine zote ni towns,, economy ndogo
Ingekuwa vizuri ukatuletea economy ya hizo cities na pia unazosema ni towns..
Hahaha relax bro.... Sindano zimekuwa kali..... Umepewa facts na picha bado hutaki kuamini..... Yaani ww yule Tomaso akasome kwako....
Pinga hoja kiakili.... Kisumu,sijui Eldoret mapicha yake yote tumeyaona lakini wapi vumbi tu...... Sehemu zingine usiapply utoto uzur.... Hoja inajibiwa kwa hoja huo ndio ukidume....
Haya tunaendelea hatujaacha...
Yaani aerial view ya mwanza ni ndogo sana hata kwa Arusha
Mji umejitahidi saizi is real a city sio kama miaka 4 iliyopita
Haha but the truth will never change... Endelea tu kupiga domoPwahahahahaa.Kwa Mdomo nyie ni Messi....Kuleni Ushamba na Ujamaa wenu.The only city in Tanzania is Dar is a slum
Mji wa Mwanza umezungukwa na vilima ndio maana huwezi kuona clear view ya mji wote kwa wakati mmoja. Na hizo picha nyingi ni za mjini nako siyo full view ya mji mzima. Ukitaka kupata picha ya mji mzima wa Mwanza lazima Aerial view yake ichukuliwe kutoka juu sana kitu ambacho kinafanya majengo kuonekana mdogo sana. Mwanza ni kubwa sana kuliko Arusha hata kwa eneo pia.Yaani aerial view ya mwanza ni ndogo sana hata kwa Arusha
Lile jengo upande wa kuliaambalo halijafanyiwa cladding ni jengo gani au ndo hotel ya nssf? But mji umebadilika kidogo i used to be there 4 years ago
Hii njia ya airport ndio haijaendelea sana
Suala la kujenga makazi kwenye vilima limeharibu sana mpangilio wa mji mbaya zaidi wengi waliojenga ni walalahoi ,angalau huku kapri point wamejenga wenye uwezo
Haijaendelea kivipiHii njia ya airport ndio haijaendelea sana
Hichi kieneo/capri point kilifaa sana kiwe city centre ya mwanza yaani kiwe kama posta kina muonekano mzuri sana
Kuna kipindi Magufuli akiwa waziri wa Ardhi (Wakati wa serikali ya awamu ya nne) alitaka watu waliojenga milimani (walalahoi) wahamishwe wapewe maeneo mengine hilo suala lilileta sintofahamu na likaisha kimya kimya tu. Lakin pamoja na makazi duni yaliyojengwa milimani bado huwezi kufananisha na slums za Kenya hata Kidogo!Suala la kujenga makazi kwenye vilima limeharibu sana mpangilio wa mji mbaya zaidi wengi waliojenga ni walalahoi ,angalau huku kapri point wamejenga wenye uwezo
Kwani huoni kuan vijumba vidogo vidogo vya zamani afu hakuna high rise buildings yaani structure za maana huko ni hiyo mall na uwanja wa kirumba tuuHaijaendelea kivipi
Serikali ingefanya hivyo ili wawape maeneo mengine kama walivyowapa kule magwepande nk ili kulinda mandhari ya mji wapande miti tuuKuna kipindi Magufuli akiwa waziri wa Ardhi (Wakati wa serikali ya awamu ya nne) alitaka watu waliojenga milimani (walalahoi) wahamishwe wapewe maeneo mengine hilo suala lilileta sintofahamu na likaisha kimya kimya tu. Lakin pamoja na makazi duni yaliyojengwa milimani bado huwezi kufananisha na slums za Kenye hata Kidogo!
Politics zinapewa kipaumbele sana sometimes kuliko uhalisia. Waliogopa kukosa kura kwenye uchaguzi.Serikali ingefanya hivyo ili wawape maeneo mengine kama walivyowapa kule magwepande nk ili kulinda mandhari ya mji wapande miti tuu
Itakuwa ulifika Mwanza miaka 5 iliyopitaKwani huoni kuan vijumba vidogo vidogo vya zamani afu hakuna high rise buildings yaani structure za maana huko ni hiyo mall na uwanja wa kirumba tuu
Uko sahihi kamanda, ukiona picha za mwanza just 5yrs ago unaweza chekaMji umejitahidi saizi is real a city sio kama miaka 4 iliyopita
Uwe unaleta na references si kubwabwaja maneno tu, tuna kushangaaPwahahahahaa.Kwa Mdomo nyie ni Messi....Kuleni Ushamba na Ujamaa wenu.The only city in Tanzania is Dar is a slum