Kisumu vs Mwanza

Kibera is 2.5 square kilometres. Nairobi is 500 square kilometres. Kama wakenya hawana uwezo wa kununua ardhi hao wengine wanaomiliki ardhi nje ya kibera walipewa hiyo ardhi kama zawadi? Wacha kutumia ubongo kama bakuli
Slum Nairobi sio Kibera tu, kwa hiyo hizo 4750km na apartments/hostels?
[/QUOTE]
Ndio, they are not dream houses za Dar
 
Tuletee makazi ya watu kwenye miji yenu tofauti na hizo hostels na slums, au ni kama mtu hayuko kwenye slums basi yupo kwenye hostels?
 
Tuletee makazi ya watu kwenye miji yenu tofauti na hizo hostels na slums, au ni kama mtu hayuko kwenye slums basi yupo kwenye hostels?
Yaan sijawahi ona makazi kwenye miji yenu tofauti na slums na hostels, πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ooohhh! Eti apartments watu wananunua, zingine ziko kama hostels exactly afu mtu anunue? Jifunze kudanganya vizuri, πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡
 
Reminder
 
Eti Nairobi is 500+square kilometers na Kibera slums is only 2.5 square kilometers! Sasa hizo zilizo baki more than 497square kilometers ziko occupied na hostels/Apartments? Kama sivyo leta hapa tuone kuna nini kwenye hizo more than 497 square kilometers πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚na usituletee hostels hapa
 
Ndio hizi hapa πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ I own own my dream house in one of these places below
 
Yaan wakenya ukiwaambia wakuletee makazi ya watu tofauti na zile hostels na slums unakuwa umewafukuza. yaan alete makazi kama πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…