Mwalo Chibya
JF-Expert Member
- Dec 18, 2019
- 921
- 937
Hata kujiongeza tu kwamba licha ya picha kuchukuliwa kwa juu sana kutoka kwenye ndege lakini haijaweza kucover hata nusu ya CBD hawawezi hawa viumbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lugha yenyewe imechanganyika na kikikuyu...their English is not perfect... Kheri yetu sisi tunaongea the most correct Swahili duniani.... Hawa wenyewe wanajua kukurupuka tu na kujisifia ujinga...nothing else..mzee baba haya majitu yanajua kuongea lugha ya wakoloni tu, ukija kwenye kuchanganua mambo mathematically /physically yana poteana sana
Hawa na kujiongeza ni mbingu na ardhi....hawaweziHata kujiongeza tu kwamba licha ya picha kuchukuliwa kwa juu sana kutoka kwenye ndege lakini haijaweza kucover hata nusu ya CBD hawawezi hawa viumbe
Waambie wakuletee aerial photos za vimiji vyao utachoka, kama hii ni oblique 👇👇😱aerial itakuwajeHawa na kujiongeza ni mbingu na ardhi....hawawezi
Hapo CBD imeisha yaan 😂😂😂😂Waambie wakuletee aerial photos za vimiji vyao utachoka, kama hii ni oblique 👇👇😱aerial itakuwaje View attachment 1305035
Tulinganishe na inayofanana kwa distance za photographers na bado sio the whole mwanza CBD 👇👇Waambie wakuletee aerial photos za vimiji vyao utachoka, kama hii ni oblique 👇👇😱aerial itakuwaje View attachment 1305035
Haha aerial tutaona misitu katikati kuna vidoti ka viwili vitatu hivi halafu pembeni yake ziwa..Waambie wakuletee aerial photos za vimiji vyao utachoka, kama hii ni oblique 👇👇😱aerial itakuwaje View attachment 1305035
Sure nakwambia, na muda utaongea in five years to come Dodoma city will be ahead of ArushaHii mwanza imechakaa sana,
Lazma imejaa masikini,
Tanzania after Dar, Arusha pekee ndio naipa heshima,
Iko ATLEAST organize with cool estates,,,,not kama ile mji wa Samaki shaghalabagala
🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈Haha aerial tutaona misitu katikati kuna vidoti ka viwili vitatu hivi halafu pembeni yake ziwa..
Bro bring your city's aerial view.... Mkono mtupu haulambwi...Hii mwanza imechakaa sana,
Lazma imejaa masikini,
Tanzania after Dar, Arusha pekee ndio naipa heshima,
Iko ATLEAST organize with cool estates,,,,not kama ile mji wa Samaki shaghalabagala
Achana nae huyu kakariri, city anayo iamini ni x 2 ndio unapata mwanzaBro bring your city's aerial view.... Mkono mtupu haulambwi...
Akaanzishe Uzi wa kisumu vs arusha...yupo huru kufanya hivyo na naona watawezana...Achana nae huyu kakariri, city anayo iamini ni x 2 ndio unapata mwanza
Wote ni third in ranksAkaanzishe Uzi wa kisumu vs arusha...yupo huru kufanya hivyo na naona watawezana...
Wanaogopa kuiponda arusha coz wanaenda sana kule...siku zote wanaitetea arusha over mwanza...halafu funny enough hata mwanza hawajafika....wanafurahisha sanaWote ni third in ranks
Tunataka areal view Kama hizi hapa za Kisumu [emoji1484][emoji1484][emoji1484]Hii ni ya Buswelu....Phase 1 ilikamilika mwaka Jana..... Phase 2 inakamilika karibuni na tutawaletea picha zake pia..View attachment 1304618
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh aerial view sina kwa sasa...ila I'm sure ntaipata na nitaiweka....ila uelewe mwanza estates zipo zakutosha tu..Tunataka areal view Kama hizi hapa za Kisumu [emoji1484][emoji1484][emoji1484]View attachment 1305099View attachment 1305101
unajifariji, but you know that Mwanza can be compared only with Mombasa out of Nairobi.
Si nasikia Kenya wanaongoza kwa kulima marijuana EA
Si nasikia Kenya wanaongoza kwa kulima marijuana EA