Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Hadi kukimbilia kuzipiga picha walikuwa wakizishangaa.... Slums zenu zinaonekana ni choka mbaya hatari...Kenya ukitoka slums huwez kuta makaazi mabovu, ndio manake watanzania wakija kenya hukimbilia kupiga picha slums...
Nje ya slums kenya utashangaa ferry, kumepangika hatari...
Sio km hko kwenu unakuta mansion, bungalow, uswazi, kibanda
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatujakataa, tatizo mbona nynyi mnachanganya vibanda, uswazi na mansionsHadi kukimbilia kuzipiga picha walikuwa wakizishangaa.... Slums zenu zinaonekana ni choka mbaya hatari...
Haya.
Denial, denial, denial[emoji122][emoji122][emoji122]How....where
PoaDenial, denial, denial[emoji122][emoji122][emoji122]
Kakojoe ulale km hujui
Sent using Jamii Forums mobile app
Na 👇👇 ni nini hapo Kisumu? 😂😂😂😂😇Kenya ukitoka slums huwez kuta makaazi mabovu, ndio manake watanzania wakija kenya hukimbilia kupiga picha slums...
Nje ya slums kenya utashangaa ferry, kumepangika hatari...
Sio km hko kwenu unakuta mansion, bungalow, uswazi, kibanda
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatar tupu mzee babaNa 👇👇 ni nini hapo Kisumu? 😂😂😂😂😇View attachment 1306045View attachment 1306046
😂😂😂😂😂😂😂et nini!! Hamchanganyi nini? Sasa kwenye picha hizo mbili unaona mmechanganya nini na nini kwani 😁😂😂Hatujakataa, tatizo mbona nynyi mnachanganya vibanda, uswazi na mansions
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi force vitu bro, cant you see that road acts sa boundary..[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Na [emoji116][emoji116] ni nini hapo Kisumu? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji56]View attachment 1306045View attachment 1306046
Jomba, sisi hku hatuchanganyi mansions na uswazi..kwanza hyo picha ya pili ni ya mtaa gani nikuletee aerial view..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]et nini!! Hamchanganyi nini? Sasa kwenye picha hizo mbili unaona mmechanganya nini na nini kwani [emoji16][emoji23][emoji23]
Mkuuu we pumzika tu...Hatar tupu mzee baba
Hiyo timu hapanaMkuuu we pumzika tu...
Karibu tuangalie mpira kwanzaView attachment 1306073
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mwanitesa unitedHiyo timu hapana
Hahaha duh...haya bhana wengine timu zetu bado zinajikongoja...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mwanitesa united
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo tumeshinda kw kujitutumua tu, hamna kitu paleHahaha duh...haya bhana wengine timu zetu bado zinajikongoja...
At least nowdays mnaonyesha mwanga.....ngoja cc sasa kesho eeh Mungu tuepushe mbali na kikombe hiki...Amina
Full time[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mwanitesa united
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawaombea mmfunge huyo chelsea ndio mmsimamisheAt least nowdays mnaonyesha mwanga.....ngoja cc sasa kesho eeh Mungu tuepushe mbali na kikombe hiki...Amina
Mkuu, sai tuko vibaya bana, lazima tuikubali hali ya sasa...si ajabu next game tunarudi kwenye ule ule mwendo wa kulishwa magoli
Itakuwa advantage kwako pia.... Sababu anakuacha pointi moja tu... Tusubiri
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Itakuwa advantage kwako pia.... Sababu anakuacha pointi moja tu... Tusubiri