Kisumu vs Mwanza

Kisumu vs Mwanza

Kenya ukitoka slums huwez kuta makaazi mabovu, ndio manake watanzania wakija kenya hukimbilia kupiga picha slums...
Nje ya slums kenya utashangaa ferry, kumepangika hatari...

Sio km hko kwenu unakuta mansion, bungalow, uswazi, kibanda

Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi kukimbilia kuzipiga picha walikuwa wakizishangaa.... Slums zenu zinaonekana ni choka mbaya hatari...
Haya.
 
Kenya ukitoka slums huwez kuta makaazi mabovu, ndio manake watanzania wakija kenya hukimbilia kupiga picha slums...
Nje ya slums kenya utashangaa ferry, kumepangika hatari...

Sio km hko kwenu unakuta mansion, bungalow, uswazi, kibanda

Sent using Jamii Forums mobile app
Na 👇👇 ni nini hapo Kisumu? 😂😂😂😂😇
0_7G3jyx9Nbv3IaIfl.png
DNHousingKisumu2101e.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]et nini!! Hamchanganyi nini? Sasa kwenye picha hizo mbili unaona mmechanganya nini na nini kwani [emoji16][emoji23][emoji23]
Jomba, sisi hku hatuchanganyi mansions na uswazi..kwanza hyo picha ya pili ni ya mtaa gani nikuletee aerial view..

Tom mboya estate[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Screenshot_20191229-003722_Opera%20Mini%20beta.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom