Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Mbona hadi huku form 4 wanaingia vyuo..... Halafu form two wenu huko wanasoma yanayofundishwa la sita huku area, perimeter, volume....Usisahau form4 wa kenya akija hko anaingia chuo kikuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Class8 wa huku pia vile vile ataingia form2, sasa wewe mlete class 7 wa bongo kenya km hakurudishwa mpka la tatu au la nne...
Jiulize kw nn[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sao Paulo hiyo hapo nionyeshe milima kwenye CBD ๐๐๐Excuses, heheeeee!! Si hata sao paulo brazil pia si ni mlima mji, lkn mbna inachukulika picha freshi tu kutoka angani..
Au unataka kusema mwanza imejengeka hta kuliko dar kw ukubwa lkn milima ndio kizuwizi mpka majumba hayaonekani yakipigwa picha kutoka juu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwanza ikifika level ya mombasa nitag, lkn kw sasa siwezi jisumbua kuilinganisha mombasa na hicho kijiji
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu asikudanganye huyo... Hata sisi waweza maliza form 4 ukaingia chuo.... Huyo form 4 wao atachomoa labda maswali ya o'level.... Advance HACHOMOI๐๐๐....Anayebisha na ajeWakija chuo vilaza tena ๐๐
Tazama outskirts ya Kisumu (nje ya cbd) residential..Dar hapa haiwezi, kule ni unplanned settlements za kishamba!Fungua Uzi Kisumu city vs Iringa town ili ujinga wako wa kukariri ukutoke
Sasa hapo umeonyesha nini๐outskirts za mji wowote Tz ni more planned, flyover zenyewe vichekesho tu. Tatizo la Kisumu ni moja; CBD ndogo kama iringa ndio maana sitaki kulinganisha hata na DodomaWhat is the gdp of Iringa you ignorant mind? Wako na fly over roads?., airport (international), port?, estates?., how many skyscrapers? Kisumu barara imelambisha Dar sasa kakijiji ka Iringa hiyo ni estate Kisumu (Lolwe/Kenya-Re/Migosi area),
Peleka ushamba mbali! Hata miaka 50 (hamsini) Iringa haiwezi toshana na Kisumu on all fronts!, Iringa ni estate tu ama shopping centre (yani ni soko tu)Tazama outskirts ya Kisumu (nje ya cbd) residential..Dar hapa haiwezi, kule ni unplanned settlements za kishamba!
[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1310978View attachment 1310984View attachment 1310985View attachment 1310986View attachment 1310987View attachment 1310988View attachment 1310989View attachment 1310990View attachment 1310991View attachment 1310992View attachment 1310993View attachment 1310995
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwahahaa!!ukiona mkenya anakuja kusomea course tanzania basi ujue ka feli[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wakija chuo vilaza tena [emoji16][emoji16]
Form 4 wa kenya anaingia chuo popote pale dunia...Mbona hadi huku form 4 wanaingia vyuo..... Halafu form two wenu huko wanasoma yanayofundishwa la sita huku area, perimeter, volume....
Halafu form 4 wenu huko tulimpa pepa la necta engineering scienceform 4 chalii hahaha.... Form 4 wakenya hachomoi pure mathematics..... Hachomoi labda Basics atajitahidi...
Kwhyo umejifanya zile picha za kule milimani hukuziona[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sao Paulo hiyo hapo nionyeshe milima kwenye CBD [emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1310965
Form4 wa tanzania hawezi jiunga chuo kenya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu asikudanganye huyo... Hata sisi waweza maliza form 4 ukaingia chuo.... Huyo form 4 wao atachomoa labda maswali ya o'level.... Advance HACHOMOI[emoji23][emoji23][emoji16]....Anayebisha na aje
Bwahahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa hiyo hapo ni nje ya CBD [emoji45]wakati inaonekana yote
Nionyeshe mlima hapo cbd acha kukimbiaKwhyo umejifanya zile picha za kule milimani hukuziona[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza uipate wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...never, huwezi pata kitu km hicho mwanza mpka yesu ashuke...Ukitafuta kama hii kwa mwanza lazima baadhi ya maeneo yafichwe na milima
Heheeee!!niite majina yote ukitaka, lkn tutaendele na mjadala ukichomoa hapa kwanzaWewe ni kipofu
Nimekwambia sao paulo cbd ndio kuba milima...heheee!!wacha ku change gear jomba...Nionyeshe mlima hapo cbd acha kukimbia
Na ukiona Mtanzania anakuja kusoma mambo ya Sayansi Kenya ujue huku hataajiriwa๐๐๐๐๐aje huko asome tu lugha ya mkoloni ๐๐๐Bwahahaa!!ukiona mkenya anakuja kusomea course tanzania basi ujue ka feli[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekwambia sao paulo cbd ndio kuba milima...heheee!!wacha ku change gear jomba...
Sao paulo pia kuna milima na bado picha zinachuliwa freshy tu
Sent using Jamii Forums mobile app
My friend you are too localized, uwe unachunguza kwanza ndio ujue kama hicho unachokiona kweli hakipo sehemu unayozani hakipo? ๐What is the gdp of Iringa you ignorant mind? Wako na fly over roads?., airport (international), port?, estates?., how many skyscrapers? Kisumu barara imelambisha Dar sasa kakijiji ka Iringa hiyo ni estate Kisumu (Lolwe/Kenya-Re/Migosi area),
Peleka ushamba mbali! Hata miaka 50 (hamsini) Iringa haiwezi toshana na Kisumu on all fronts!, Iringa ni estate tu ama shopping centre (yani ni soko tu)Tazama outskirts ya Kisumu (nje ya cbd) residential..Dar hapa haiwezi, kule ni unplanned settlements za kishamba!
[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1310978View attachment 1310984View attachment 1310985View attachment 1310986View attachment 1310987View attachment 1310988View attachment 1310989View attachment 1310990View attachment 1310991View attachment 1310992View attachment 1310993View attachment 1310995
Sent using Jamii Forums mobile app
Heheee!!wacha kukimbia mada hapa, sao paulo pia kuna milima..au nikuletee hzo picha uone vile majengo yametokea freshy kule milimaniNdio unionyeshe mlima hata mmoja hapo Sao Paulo CBD
Bwahaaa!!wacha watanzania..kuna wakutoka nigeria, south africa..yani kiufupi africa nzimaNa ukiona Mtanzania anakuja kusoma mambo ya Sayansi Kenya ujue huku hataajiriwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aje huko asome tu lugha ya mkoloni [emoji16][emoji16][emoji16]
As a form 4 wa Kenya I can tell you huu ni UONGO wa hali ya juu!Form 4 wa kenya anaingia chuo popote pale dunia...
Unachezea KNEC wewe
Sent using Jamii Forums mobile app