Mwalo Chibya
JF-Expert Member
- Dec 18, 2019
- 921
- 937
πππππππππππAs a form 4 wa Kenya I can tell you huu ni UONGO wa hali ya juu!
Nasubiri nione hiyo milima iliyopo kati kati ya CBD Sao pauloHeheee!!wacha kukimbia mada hapa, sao paulo pia kuna milima..au nikuletee hzo picha uone vile majengo yametokea freshy kule milimani
Sent using Jamii Forums mobile app
Heheeee!!ume change gear baada ya kuona ya kwamba sao paulo kunamilima na bado picha zianapigwa vizuri..Na
Nasubiri nione hiyo milima iliyopo kati kati ya CBD Sao paulo
Bwahaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]As a form 4 wa Kenya I can tell you huu ni UONGO wa hali ya juu!
Sao Paulo imekuwa Rio tena πππHeheeee!!ume change gear baada ya kuona ya kwamba sao paulo kunamilima na bado picha zianapigwa vizuri..
Cheki rio de janeiro hyo kwanza, manake naona ume change gear eti hooo cbd[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1311091
Sasa leta za mwanza View attachment 1311088View attachment 1311089
Sent using Jamii Forums mobile app
Heheeee!!ume change gear baada ya kuona ya kwamba sao paulo kunamilima na bado picha zianapigwa vizuri..
Cheki rio de janeiro hyo kwanza, manake naona ume change gear eti hooo cbd[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1311091
Sasa leta za mwanza View attachment 1311088View attachment 1311089
Sent using Jamii Forums mobile app
Vibanda vya bei chee kila konaHeheeee!!niite majina yote ukitaka, lkn tutaendele na mjadala ukichomoa hapa kwanzaView attachment 1311036
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijaona kitu bado, labda ukiniletea kitu km hiki nje ya cbd ndio tutaanza kujadili...sawa jombaView attachment 1310934
Sent using Jamii Forums mobile app
Pictures ni za zamani kuna majengo baadhi hayaonekani na yanayoonekana underconstruction yako completedView attachment 1311189View attachment 1311180View attachment 1311144View attachment 1311146View attachment 1311148Unataka tulinganishe Mwanza na Rio kweli π·lakini ni mfano mzuri wewe mwenyewe unaona kucover Rio CBD imekuwa ngumu umeleta picha zimekatwa katwa, hivyo hivyo ukitaka kucover mwanza lazima uzikate kate
Umetaka cbd ambayo iko mlimani nikakuletea rio..manake nimeona ilkua unatafuta pa kutokea, haya sai nimekukakamata..Sao Paulo imekuwa Rio tena [emoji3][emoji23][emoji23]
Hta hicho ulichokileta bado hamna kitu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1311189View attachment 1311180View attachment 1311144View attachment 1311146View attachment 1311148Unataka tulinganishe Mwanza na Rio kweli [emoji40]lakini ni mfano mzuri wewe mwenyewe unaona kucover Rio CBD imekuwa ngumu umeleta picha zimekatwa katwa, hivyo hivyo ukitaka kucover mwanza lazima uzikate kate
Cheki rio cbd iko milimani lkn picha bado zimechukuluwa kw mbali sana na tunaweza kuona eneo kubwa...View attachment 1311189View attachment 1311180View attachment 1311144View attachment 1311146View attachment 1311148Unataka tulinganishe Mwanza na Rio kweli [emoji40]lakini ni mfano mzuri wewe mwenyewe unaona kucover Rio CBD imekuwa ngumu umeleta picha zimekatwa katwa, hivyo hivyo ukitaka kucover mwanza lazima uzikate kate
πππππππuna matatizo ya macho!! Rio kuna milima inaizunguka but mwanza kuna milima kati kati ya CBDCheki rio cbd iko milimani lkn picha bado zimechukuluwa kw mbali sana na tunaweza kuona eneo kubwa...
Lkn kituko ni mwanza, mnaleta majumba kumi halafu mmasema mwanza haiwezi kuwa covered kw picha moja...
Kituko cha mwaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi hao ni failures.... Kama mimi siwezi kwenda Kenya kusoma chuo....halafu mtu anatoka sauzi anakuja huko.... Aisee huyo inabidi tukampime mkojo..Bwahaaa!!wacha watanzania..kuna wakutoka nigeria, south africa..yani kiufupi africa nzima
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwage tu muelewa sometime, πout of Nairobi inayoweza pambana na Mwanza ni Mombasa pekee!! Sio vile vijiji vyenye ghorofa nne vikapewa na hadhi ya jiji πππHta hicho ulichokileta bado hamna kitu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nenda kapambane na kisumu kw picha km hzo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajawahi fika hata sehemu mojawapo kati ya hizo...... Hapo ni kama unapika mawe...πππππππuna matatizo ya macho!! Rio kuna milima inaizunguka but mwanza kuna milima kati kati ya CBD
Kwa ajili ya supu! ππHajawahi fika hata sehemu mojawapo kati ya hizo...... Hapo ni kama unapika mawe...
Unalazimisha kupingana na nature!! uje upige mwenyewe picha ya Mwanza CBD then cover sehemu zote na tuone clear images πππCheki rio cbd iko milimani lkn picha bado zimechukuluwa kw mbali sana na tunaweza kuona eneo kubwa...
Lkn kituko ni mwanza, mnaleta majumba kumi halafu mmasema mwanza haiwezi kuwa covered kw picha moja...
Kituko cha mwaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano mzuri tu mwambie akuletee picha ya rockcity mall halafu hapohapo yaonekane maghorofa yale ya city center....Unalazimisha kupingana na nature!! uje upige mwenyewe picha ya Mwanza CBD then cover sehemu zote na tuone clear images πππ