Mwalo Chibya
JF-Expert Member
- Dec 18, 2019
- 921
- 937
Nilizani unaleta kitu konki ๐ชkumbe yale yale ๐๐๐
Halafu hiyo buzuruga plaza mbona kama ilikuwa haijawa launch bado
Nipe tofauti ya Rock City mall na AIM Mall! Au uzandiki umekuzidi?Nilizani unaleta kitu konki ๐ชkumbe yale yale ๐๐๐
Mmeshinda!Halafu hiyo buzuruga plaza mbona kama ilikuwa haijawa launch bado
Mwanza sio kwetu kaka
Naita ujinga kuleta majengo ya treni na kuita mall! Angalia uani kukoje! I guess ndo standard ya Mwanza! Sorry siko kwenye kujikweza huku!
Wacha geza awanyooshwe kwanzaWewe ni mwanamke... Ni tabia yako kuongea... Kupiga porojo ni haki yako ya msingi... Hivyo endelea kuongea tu...
Uzuri video zinajieleza umeambiwa mlimani city mall inaingia mara ngapi kwa Rock city mall? Hiyo nyingine hata haijulikani ๐๐๐๐๐๐Nipe tofauti ya Rock City mall na AIM Mall! Au uzandiki umekuzidi?
Kaka unataka nikuketee picha ya Buzuruga plaza ya ndani kama itafanana sakafu na hiyo yako... Hiyo picha nimeiona mtandaoni,nahisi umeidownload...Ndani ya hiyo plaza kuna shops,supermarkets,jim,clubs nk... Kweli ndani panaweza kuwa hivyo..?!!! Hiyo picha imechukuliwa kipindi hata bado hawajalaunch...hata sakafu ilikuwa bado... And mind you it's only a shopping center.Naita ujinga kuleta majengo ya treni na kuita mall! Angalia uani kukoje! I guess ndo standard ya Mwanza! Sorry siko kwenye kujikweza huku!
Ndo umeandika nn.... Kajifunze kwanza kuandika... Vya bongo huviwezi...
Jengo la treni unafananisha na proper mall una wazimu aisee!Kaka unataka nikuketee picha ya Buzuruga plaza ya ndani kama itafanana sakafu na hiyo yako... Hiyo picha nimeiona mtandaoni,nahisi umeidownload...Ndani ya hiyo plaza kuna shops,supermarkets,jim,clubs nk... Kweli ndani panaweza kuwa hivyo..?!!! Hiyo picha imechukuliwa kipindi hata bado hawajalaunch...hata sakafu ilikuwa bado... And mind you it's only a shopping center.
Hahaha aim mall is more closer to that than Rock city... Haya umetuambia wana mall tatu..., leta picha ya hizo zingine...Jengo la treni unafananisha na proper mall una wazimu aisee!
Leta za Buguruza tuone ndani likiwa na escalator nahama!Hahaha aim mall is more closer to that than Rock city... Haya umetuambia wana mall tatu..., leta picha ya hizo zingine...
Escalator ya nini jengo fupi hivyo...Leta za Buguruza tuone ndani likiwa na escalator nahama!
Achana na mambo ya malls kwanza ebu tupia miradi iliyoko arusha kwa sasa๐I like these two citiesLeta za Buguruza tuone ndani likiwa na escalator nahama!
Kwanza kubali leisurewise n hospitality Arusha ipo mbele! Angalia list ya watu mashuhuri waliotembelea hii art shopping centerAchana na mambo ya malls kwanza ebu tupia miradi iliyoko arusha kwa sasa๐I like these two cities
Look at this.This is Tumaini supermarket, it just a supermarket in Kisumu, it is better than all those things you posted above as malls.Hahaha aim mall is more closer to that than Rock city... Haya umetuambia wana mall tatu..., leta picha ya hizo zingine...
Acha kukurupuka ka mbwa aliyefunguliwa ghetoni...Kama hizi ndio vitu mnaita malls then may God have mercy on you[emoji23][emoji23][emoji23].Look at this.This is Tumaini supermarket, it just a supermarket in Kisumu, it is better than all those things you posted above as malls.View attachment 1317489
Sent using Jamii Forums mobile app