The great jay
JF-Expert Member
- Aug 8, 2017
- 635
- 669
i can say dodoma n second fast growing ila haimaanishi imeipata mwanza anyway kuna project kubwa pia arusha na usipoelewa utaona mwaka huu wakianza ujenzi wa sgr musoma arusha to darAnd currently hakuna mradi wowote ule arusha unaoweza linganishwa na miradi iliyoko mwanza, and still mwanza is the second fastest growing city in the country
Hivi sehemu yenye uchumi wa chini inakuwa na maendeleo kuliko yenye uchumi wa juu.. Hahaha... Ila kaka unajisumbua kuniqoute...nimekuona sana kwenye nyuzi zenye Battle la aina hii... Hata zile za Arusha against Mbeya... Hivyo tulia tu urelax..arusha city ni about 200+km² na mwanza ni about 400+km² ndio maana nje ya jiji hamna anything special ila arusha bila arumeru ni utani maana hata mianzini arusha ni city center ila iko arumeru kuna sakina mall na complex na plaza arusha ni nyingi mno inakimbizana na dar i guess tusipambanishe arusha vs mwanza hii n ujinga ila arusha iko far kimiundombinu maendeleo ya watu starehe na hata towers ila kiuchumi mwanza iko juu na population pia as well as activity nyingi za uchumi
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyeiandika hii post ni nan.. Au ulitumia makagali kuiandikaList of Malls in Kisumu
1. Mega City mall
2. Mega Plaza mall
3. Westend Mall
4. United mall
5. Tuffoam mall
6. Unique mall
7. Tumaini mall
8. Lake Basin mall
9. Swan Center.
Nshakuwekea moja ya post zako ww zwazwa msahaulifu kama ngiri...
shida sio ukubwa shida n qualityUzuri video zinajieleza umeambiwa mlimani city mall inaingia mara ngapi kwa Rock city mall? Hiyo nyingine hata haijulikani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo yenu ina quality kuliko rock city
Nshakuwekea moja ya post zako ww zwazwa msahaulifu kama ngiri...
na kama unanijuaa utakua unajua m ni mwepesi kukubali kushindwa na nnabishana kwa fact and tusibishanie hapa siku uzi ukifunguliwa nitag tutakutana hapa tuchakaze kisumu kwanzaHahaha... Nimeona tu ID yako nikakukumbuka... Nimezurula sana nyuzi zenye battle ya aina hii... Nakujua vizuri sana... Na wala hunipi Shida..
hahhahahahah okay boss u win do u think it hard for me to look kwenye past activities zako that is nothing to be grateful about anyway nimependa kujua nnae fun anae nifatilia and mwanza is great than arusha i hope ur happy now bossHivi sehemu yenye uchumi wa chini inakuwa na maendeleo kuliko yenye uchumi wa juu.. Hahaha... Ila kaka unajisumbua kuniqoute...nimekuona sana kwenye nyuzi zenye Battle la aina hii... Hata zile za Arusha against Mbeya... Hivyo tulia tu urelax..
okay u win broWakurupukaji leo ni wengi... Anzia kusoma post za mwanzo ndo utaelewa,that isn't a mall.. Japo inataka kufanana na aim mall.
Miundo mbinu hapo hapana, Mwanza isingekuwa na miundo mbinu iliyo bora unazani ingeweza kushikilia Mataji ya jiji safi inchini kwa miaka yote hiyo?arusha city ni about 200+km² na mwanza ni about 400+km² ndio maana nje ya jiji hamna anything special ila arusha bila arumeru ni utani maana hata mianzini arusha ni city center ila iko arumeru kuna sakina mall na complex na plaza arusha ni nyingi mno inakimbizana na dar i guess tusipambanishe arusha vs mwanza hii n ujinga ila arusha iko far kimiundombinu maendeleo ya watu starehe na hata towers ila kiuchumi mwanza iko juu na population pia as well as activity nyingi za uchumi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye 10+towers zaidi ya 20 arusha umedanganya umma! Sema arusha zipo nyingi kuliko mwanza but ukija 6+towers arusha hata haisogei kwa mwanzaarusha kuna hugo plaza kuna nssf kaloleni plaza
kuna ppf plaza kuna plaza kama sita nlitembelea sema majina tatizo afu arusha kuna 10+ tower nyingi zinaweza fika au zaidi ya 20 while mwanza hazifiki 10
Sent using Jamii Forums mobile app
mhh okay ila nnavojua majiji na manispaa kwenye usafi zinashindanishwaga kwenye kundi moja na always no 1 ni moshi au iringa na no 2 n arushaMiundo mbinu hapo hapana, Mwanza isingekuwa na miundo mbinu iliyo bora unazani ingeweza kushikilia Mataji ya jiji safi inchini kwa miaka yote hiyo?
io ni kwenye Instagram yaoMiundo mbinu hapo hapana, Mwanza isingekuwa na miundo mbinu iliyo bora unazani ingeweza kushikilia Mataji ya jiji safi inchini kwa miaka yote hiyo?
okay sawa kuna mkenya hapa hapa kwenye huu uzi nlimtajia towers za arusha ambaxo niliziona mwaka jana na zilifiaka 15+ hata hapo kwenye 6+ sijui maana sikuwaza izo bossHapo kwenye 10+towers zaidi ya 20 arusha umedanganya umma! Sema arusha zipo nyingi kuliko mwanza but ukija 6+towers arusha hata haisogei kwa mwanza
Haya sikupingi, ukiachana na 2019 hiyo miaka mingine tuletee data za jiji lililokuwa linaongoza nearly 10 yearsio ni kwenye Instagram yaoView attachment 1317617View attachment 1317618
Sent using Jamii Forums mobile app
Kishkaji tu... Don't take it too serious
mwaka jana iliongoza iringa yani always anayeongoza n iringa au moshi afu arusha wa pili ila b4 2012 sijui nani alikuwa wp ila kuendelea 2012 ni iringa au moshi wa pili ni arushaHaya sikupingi, ukiachana na 2019 hiyo miaka mingine tuletee data za jiji lililokuwa linaongoza nearly 10 years
hhahaahahah kula tano ya mbali budaKishkaji tu... Don't take it too serious