Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Haha watakwambia wanaona vibanda....duniani kuna watu kwelikweli...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha watakwambia wanaona vibanda....duniani kuna watu kwelikweli...
That's what aerial view means... You can only see red and blue roofs.. Na hapo hata nusu ya mwanza city bado....watu wanajenga bhana....si kusubir shirika au serikali ikujengee nyumba zinazofanana utadhani uniform za watoto wa shule....
Leta yako bora kuliko hivyo vibanda...
Nynyi ndio mnaaubiria serikali ndio iwajengee...That's what aerial view means... You can only see red and blue roofs.. Na hapo hata nusu ya mwanza city bado....watu wanajenga bhana....si kusubir shirika au serikali ikujengee nyumba zinazofanana utadhani uniform za watoto wa shule....
Na ninyi leteni ur aerial photo.... We're eagerly waiting for it...
Kwn unataka tuseme tunaona mansions...Haha watakwambia wanaona vibanda....duniani kuna watu kwelikweli...
Better than those shanty buildingsLeta yako bora kuliko hivyo vibanda...
Mweee!!... Ati nan anajengewa na serikali....huku watu wanajenga nyumba bora kwa gharama zao.....cheki kwenye hizo aerial photos utaziona...huko ninyi ndo mmekomaa na estates hadi mnaweka picha zake humu na si modern estates ka zetu... Huko kwenu wengi wana makazi duni.... Kiufupi mna hali mbaya kwa upande wa housing... Pambaneni mtoke huko...Nynyi ndio mnaaubiria serikali ndio iwajengee...
Kenya mtu akijiskia anaunua kiwanja anajenga units kadhaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi can this picture stand with the second picture unayoiita ina shanty buildings...really?? Hahahaha
Wehu hao jamaaHivi can this picture stand with the second picture unayoiita ina shanty buildings...really?? Hahahaha
Halafu pia tunahitaji picha zilizopigwa mbali kidogo...tunataka at least picha ichukue eneo pana kidogo ili tujaji vizuri...
Hahaha...sure
Mmekariri watu wote wanaishi kwenye apartments sio 😂😂about 20+km from the CBD the way to MalimbeJamani, watu wanaishi wapi, au hapo cbd ndiko kumejaa appartments za watu kuishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Walizani nitaleta kama zile hostels zao wanazoletaga siku zote ukiwaambiaHaha watakwambia wanaona vibanda....duniani kuna watu kwelikweli...
Units ni jina linalo tumika kutofautisha apartments kwenye Estates au hostels, nikiwaambia hostels ni sawa na Estates kuna watu wanajitia vichwa ngumu kukubali uhalisia 😂😂😂😂Nynyi ndio mnaaubiria serikali ndio iwajengee...
Kenya mtu akijiskia anaunua kiwanja anajenga units kadhaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtapata tabu sana kiatu mnacho lazimisha kuvaa sio saiz yenu 😂😂😂
Unataka tulete za karibu kama hizi 👆Kwn unataka tuseme tunaona mansions...
Kwnaza mnaficha nn haswa mpaka mlete picaha za juu hvo sana...
I hope hyo ilichukuliwa kutoka kw ndege km sikosei
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio...angalau hapo nitasema kidogo watu wanajitutumua kujenga vizuri hta km sio mansions lkn wako kwao na hakuna anayewatatiza kuhusu kodiView attachment 1305367
Unataka tulete za karibu kama hizi [emoji115]
Una akili angalau kuliko Mungiki kazaa humu hawataki kushughulisha halmashauri za vichwa vyaoNdio...angalau hapo nitasema kidogo watu wanajitutumua kujenga vizuri hta km sio mansions lkn wako kwao na hakuna anayewatatiza kuhusu kodi
Sent using Jamii Forums mobile app
What the https://jamii.app/JFUserGuide ..Units ni jina linalo tumika kutofautisha apartments kwenye Estates au hostels, nikiwaambia hostels ni sawa na Estates kuna watu wanajitia vichwa ngumu kukubali uhalisia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna hata moja mliyoleta inafikia RIAT au MILIMANI...bado sana nynyi katika hyo sektaHaha watakwambia wanaona vibanda....duniani kuna watu kwelikweli...