Kisumu vs Mwanza

Kisumu vs Mwanza

Watu mmekalia magdp tuuu akati mnakufaa njaa ebu niondolee akili yako ya msaada hapaa, siku mkiwa na sustainable food supply njoo ujitambe hapaa ila kwa sasaivi endelea kula githeri
Ebu tuambie ni lini mwisho mtu alikufa njaa Kenya.
 
Ila kumbuka kwamba mfumo unaotumia Dar umeanzia Mwanza ukisikia Mwanza city jua hiyo ni manispaa moja ya Nyamagana na Mwanza ina manispaa tatu(ilemela,nyamagana,kisesa)ambazo kila moja ni sawa na Arusha na Kisumu wendelea kupiga kelele ila kumbuka kuna watalamu wa haya mambo.
🤣🤣🤣Huu uzwazwa mwingine nyamagana ni manispaa tangu lini ndugu ???
Jiji pekee linaundwa Na halmashauri 3 kutoa dar ni arusha
Sasa we jisahaulishe kama kisesa iko magu Na hata wilaya haipewi hiyo hadhi tena ndio nyie nyie mnaotaka mkoa wa chato
 
Hii kisumu size yake ni jiji la Tanga, hakuna cha ajabu hapo.
Tuonyeshe areal view ya suburbs za mwanza kama hizi za kisumu [emoji116]. Ndio uongelee size. Milimani ya kisumu pekee nikubwa kuliko mwanza
307302752.jpg
FB_IMG_15986710065276223.jpg
FB_IMG_15983460225839260.jpg
FB_IMG_15983459380181767.jpg
 
Watu mmekalia magdp tuuu akati mnakufaa njaa ebu niondolee akili yako ya msaada hapaa, siku mkiwa na sustainable food supply njoo ujitambe hapaa ila kwa sasaivi endelea kula githeri
lakini penda usipende, kenya has been the dominant economy in east and central africa since independence. kenya is ahead of Tz in each and every aspect!. we are among the most influential ecomonies in africa. nairobi is in the class of 'global cities' in the same league with capetown, joburg, cairo. (even ahead of lagos). its perceives as the tech giant (silicon) of africa and the best alternative outside south africa in foreign investment, if you are to tap into african market..
Google-africa, IBM, Huawei, UN, coca cola africa, facebook africa, general electric africa, general motors africa, amazon, GTC africa, alibaba, airtel, motorola, IMF, CGTN, World Bank, toyota, mitsubishi, Scania, nestlè.. etc etc. all have their africa headquaters in nairobi, kenya
 
lakini penda usipende, kenya has been the dominant economy in east and central africa since independence. kenya is ahead of Tz in each and every aspect!. we are among the most influential ecomonies in africa. nairobi is in the class of 'global cities' in the same league with capetown, joburg, cairo. (even ahead of lagos). its perceives as the tech giant (silicon) of africa. Google-africa, IBM, Huawei, UN, coca cola africa, facebook africa, general electric africa, general motors africa, amazon, GTC africa, alibaba, airtel, IMF, CGTN, World Bank, toyota, mitsubishi, nestlè.. etc etc. all have their africa headquaters in nairobi, kenya
With debt to GDP ratio of 95% sio?
 
lakini penda usipende, kenya has been the dominant economy in east and central africa since independence. kenya is ahead of Tz in each and every aspect!. we are among the most influential ecomonies in africa. nairobi is in the class of 'global cities' in the same league with capetown, joburg, cairo. (even ahead of lagos). its perceives as the tech giant (silicon) of africa and the best alternative outside south africa in foreign investment, if you are to tap into african market..
Google-africa, IBM, Huawei, UN, coca cola africa, facebook africa, general electric africa, general motors africa, amazon, GTC africa, alibaba, airtel, motorola, IMF, CGTN, World Bank, toyota, mitsubishi, Scania, nestlè.. etc etc. all have their africa headquaters in nairobi, kenya
Unarusha cheche kibao ila bado watu mnaletewa msaada wa chakula na UAE
 
🤣🤣🤣Huu uzwazwa mwingine nyamagana ni manispaa tangu lini ndugu ???
Jiji pekee linaundwa Na halmashauri 3 kutoa dar ni arusha
Sasa we jisahaulishe kama kisesa iko magu Na hata wilaya haipewi hiyo hadhi tena ndio nyie nyie mnaotaka mkoa wa chato
Pumbavu sana kumbe ninachat na kilaza pumbavu sana tena alikoTanzania hata Tanzania haliijui.Kwahiyo Almashauri ya jiji la Mwanza inaundwa na manispaa hipi kama sio Nyamagana.Tena manispaa ya ilemela ndo kiboko hiyo Arusha inaingia mara mbili.Swala la kisesa kuwa manispaaa tayari labda kwa mamlaka yako njoo utenguwe.Kaarusha nikado kanazidiwa na Mbeya naona na Dodoma inakuja kasi itakapiga chini.Kwa taarifa yako na Mbeya city kwasbabu ni kubwa serikali hiko kwenye mchakato wa kiongezea Manispaa,nyie huko Arusha endelee kupiga kelele na kuonea wivu maeneo mengine utadhani wakimbizi kutoka Somalia baada ya kufanya maendeleo mtapitwa na kila mkoa Iringa nao wanakuja.
 
🤣🤣🤣Huu uzwazwa mwingine nyamagana ni manispaa tangu lini ndugu ???
Jiji pekee linaundwa Na halmashauri 3 kutoa dar ni arusha
Sasa we jisahaulishe kama kisesa iko magu Na hata wilaya haipewi hiyo hadhi tena ndio nyie nyie mnaotaka mkoa wa chato
Kwanza unatakiwa kuwa na Adabu Mwanza ndo Jiji kuu baada ya Dar.Jiji hili limekuwepo bado Arusha inaitwa manispaa.Masiko hayawezi zidi kichwa.Maswala ya Chato kawaulize wanachato watakusahidia.
 
Kwanza unatakiwa kuwa na Adabu Mwanza ndo Jiji kuu baada ya Dar.Jiji hili limekuwepo bado Arusha inaitwa manispaa.Masiko hayawezi zidi kichwa.Maswala ya Chato kawaulize wanachato watakusahidia.
🤣🤣🤣Kwa uzwazwa wako umesahau bagamoyo Na kigoma ujiji zilikua zimeipita dar????
Mwanza ni mji wa kihistoria Kazi kushabikia wao namba mbili Sasa hivi tumewapita mnaanza kubwabwaja
Mark my words
MILELE NA MILELE HICHO KIJIJI CHENU CHA WAVUVI HAKIWEZI KUIFIKIA ARUSHA
NB: Usijisahaulishe umetoka kwenye mkoa maskini afrika 😎
 
Back
Top Bottom