Kisutu: Erick Kabendera ashtakiwa kwa Kujihusisha na mtandao wa uhalifu, ukwepaji kodi na kutakatisha fedha haramu

Akipewa nafasi ya kujitetea akumbuke kusema yafuatayo, "Naipongeza serikali ya awamu ya tano maana inafanya kazi kwa uadilifu, tumepata raisi ambae hajawai kutokea na hatokaa atokee kama huyu, hii ni zawadi tumepewa na mwenyezi Mungu, serikali sikivu, serikali ya wanyonge, inayojali maslahi mapana ya wananchi wake, isiyopenda rushwa, na tumuombee Mh akae madarakani hata miaka mia ili atuletee maendeleo, maana hakuna kama huyu, CCM oyeee..baada ya wiki anafutiwa mashtaka yote
 
Wakishindwa uahamiaji watakupata kwenye utakatishaji.. Maisha sio poa
 
Ila kwanini tunatendeana haya yote?


Kwanini kuoneana kwa kiwango hiki?


Hivi tunakusudia kupanda mbegu gani kwa kizazi Cha Erick?


Mtiririko mzima wa hili tukio la Erick kuanzia kukamatwa kwake na Wale watu wasiofahamika na wasio kua na Sare za Kazi ukiunganisha na Matamko yenye mkanganyiko Kati ya RPC na Afisa wa Uhamiaji Kisha Waziri Mwakyembe utaona kabisa kwamba Mashtaka haya Ni "Maalum" yenye dhamira Maalum.


Tuendelee "Kumuombea" yule ambaye daima huomba kuombewa ili ikimpendeza Mungu kikombe hiki kituepuke, kwa namna yoyote atayoona inafaa.


Hii iwe Ni allert kwenu wote ambao mnaishi maisha yasiowafurahisha Wenye mamlaka na Wateule wao, jiepusheni sana na mambo ambayo kwayo yanaweza kutoa mianya ya kubambikiwa ama kupikiwa Mashtaka.

Yupo Mungu wa haki iko siku kila mmoja atatoa hesabu ya matendo yake.
 
Mkuu yule jaji Mkuu alikuwa analalamika utafikiri sio jaji Mkuu.we umepewa meno kuongoza mhimili wa mahakamani unaruhusu vipi kesi kama hizo ziendelee kusikilizwa?
Kwa uwelewa wangu mdogo wa mambo ya sheria nadhani mahakimu na majaji kazi yao ni kusimamia tafsiri ya sheria zilizopo zilizotungwa na Bunge

Hata kama kuna sheria mbaya na akili na moyo wake unaona hivyo lakini majaji na mahakimu wamefungwa mikono hawawezi kuamua nje ya wigo wa sheria hizo
 
Kumbe wewe ni mpumbavu kiasi hicho
 
Dah Kina Nyerere na Mkwawa wangewaza hivi pengine Victoire wa Tanzania angekuwa utumwani huko Oman kwa sasa analima mashamba ya zile za kufuturia sijui zinaitwaje! nimekumbuka zinaitwa tende
Na angekuja 0713 ningeilalua
 
Ndege mjanja hunaswa na tundu bovu..plus,
there is a price to pay on every act.
 

Mhakama kuu ina uwezo wa kufuta sheria kama haipo practical lakini hii sheria ipo dunia nzima ispokuwa inatumiwa vibaya. Lakini ikiwa kuna mtu ameshtakiwa kihalali mahakama haina ujanja wala sababu ya kutaka sheria ifutwe. Swala ni kujiridhisha kwamba hapa imetumika sawa hapa sivyo ndo ngoma ipo hapo
 
Wanachofanya ni.kutumia mamlaka vibaya kwa kumkomoa kabendera baada ya kukosa ushahidi kwenye ile kesi ya Uraia.

Mahakama sasa ioneshe ukuu wake kwa kuendesha kesi ya kabendera mfululizo ili apate haki yake bila kuteswa gerezani bila hatia.

Mahakama iamke na kila mwenye kesi isiyo na dhamana,kesi isikilizwe mfululizo ili kuepusha dhulma na uonevu kwa watu wasio na hatia.

Kwa ushahidi wa mazingira Kabendera na wengine wasiopendwa wanapewa kesi ngumu ili kuwakomoa,na kuwaweka rumande muda mrefu kwa lengo la kuwakomoa ili hata wakishinda wawe wameshasota gerezani vyakutosha.

Ardhi yenye dhulma ni laana kwa vizazi
Tusishangilie haya.
 
Hakuna siku iliyokuwa tulivu hasa hapa dar kama siku ya hayo maandamano..,jiji lilikuwa kimya..
na sidhan kama itawahi tokea
 
Well said, ndio maana nimeamua kujikalia zangu kimya, kwanini nice mbinafsi wa kuwa ninayejiita mwanaharakati niishie pabaya, kisha mwanangu nimuache anateseka. Idiotic thought.
 
Na kuteka, kuuwa, kubambikia kesi, kupendelea chato na ule ufisadi wa trillion 1.5 ulisahau kumwambia?
 
We tulia acha kukebehi
Usijione Malaika hata ww wakati wwte unaweza kwenda huko.......

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…