Bombabomba
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 1,804
- 2,128
Dada watie MOYO! Wanakusemea haoPole Kaka jamani kabla ya kufanya upumbavu muwage mnafikiria na watoto wenu. Sasa watoto wanateseka kisa ujuaji wa baba yao. Yaani huyu hana tofauti na Victoire wa Rwanda aliecha familia yake Uholanzi kisa kwenda kumpinga Kagame. If you cant beat them,then join them.
Hata ww unaweza kwenda kekoNdiyo anarejeshwa Keko sasa ndugu yako na kama unaubavu kamtoe.
Mnatuletea habari za kufanya makosa kisha mlie like kutaka huruma!?
Kwisha habari yake mnafiki yule!
Hii kauli nimezoea kuisikia wanawake ndio wanaitumia kumbe siku hizi kuna wanaume pia wanaitumia.Well said, ndio maana nimeamua kujikalia zangu kimya, kwanini nice mbinafsi wa kuwa ninayejiita mwanaharakati niishie pabaya, kisha mwanangu nimuache anateseka. Idiotic thought.
Alafu wewe jamaa umekoment na kule FB kwahiyo wakita kukudaka wanakudaka tu fresh aseh Shauri yako endelea kusanifu sasaAkipewa nafasi ya kujitetea akumbuke kusema yafuatayo, "Naipongeza serikali ya awamu ya tano maana inafanya kazi kwa uadilifu, tumepata raisi ambae hajawai kutokea na hatokaa atokee kama huyu, hii ni zawadi tumepewa na mwenyezi Mungu, serikali sikivu, serikali ya wanyonge, inayojali maslahi mapana ya wananchi wake, isiyopenda rushwa, na tumuombee Mh akae madarakani hata miaka mia ili atuletee maendeleo, maana hakuna kama huyu, CCM oyeee..baada ya wiki anafutiwa mashtaka yote
Aisee nimejiridhisha kuwa walitaka kumuua na kweli huenda Azory ali "Disappear and died"
That will never happen. Sio kila risk ni ya kuchukua.We tulia acha kukebehi
Usijione Malaika hata ww wakati wwte unaweza kwenda huko.......
Ova
Aiseee!Kabisa yaani wao hawajiulizi kwa nini hawakuandamana? Sababu ni hii hii. Huyu alikuwa anaandika against serikali kumbe na yeye ana makando yake. Sasa ataozea rumande maana utakatishaji pesa hauna dhamana.
Haki gani unayotaka kutuaminisha kwa serikali ipi? Yakiwa mbali huonekana yakawaida ila yakikufika kwa karibu sana ndipo nafsi ya kupinga na kukataa Dhuluma hustawi na kunawiri.Unavyoongea hivyo, una taarifa kamili kuhusu kesi hii??
Wakikuonesha ma transaction kwenye account yake jinsi yalivyo, utabishaa???
Tukae kimya, huku vyombo vya nchi vikiendelea kutenda haki.
Kwani anafanya biashara gani kudaiwa kodi kubwa kasi hicho?Mwandishi wa Habari za uchunguzi, Erick Kabendera amefikishwa Mahakama ya Kisutu leo
Anashtakiwa kwa makosa matatu chini ya sheria uhujumu Uchumi ambayo ni...
1. Kujihusisha na mtandao wa uharifu, 2015-2019 katika maeneo ya Dar Es Salaam aliongoza kundi la uhalifu kwa lengo la kupata faida au manufaa mengine
2. Kukwepa kulipa kodi. Katika tarehe tofauti kati ya 2015 hadi 2019 katika jiji la Dar es Salaam alikwepa kulipa kodi zaidi ya Tsh milioni 173
3. Kutakatisha fedha haramu.
View attachment 1172905
View attachment 1172906
View attachment 1172907
Haikuwa rahisi,let me tell you wasingeungana kamwe wasingeitoa KANU.Lakini huko kuungana na kuiondoa KANU ndo ilikuwa the big and most important move.ONCE AND FOR ALL.KANU IPO KABURINI.Kenya waliiondoa KANU kirahisi sana. Kenya kuna ukabila na ule uchaguzi ulikiwa Kikuyu mmoja aliyeungwa mkono na watu wote wenye nguvu nchini against another Kikuyu aliyekuwa dhaifu. Cha kushukuru ni kuwa Moi aliamua kuwapa wananchi haki yao ili kuepusha mauaji. Ila baadaye si unaona Kibaki alijipa ushindi batili? Ukishakuwa kwenye PAWA unaweza kuamua lolote ilimradi tu busara ikutawale. Hata JK alishasema. Sasa hapa kwetu yupo wa busara kama Moi? Hapa kwetu wapo kina Kibaki ambao kujipa ushindi haramu kulipelekea maelfu kuuawa na kupoteza mali. Ukishakuwa mtawala anayeamini kutokushindwa halafu ukakutana na wananchi waliojichokea basi ndiyo kama hivyo. Ninachoamini swala la utawala wowote ule kuanguka haliwi processed bali huwa linatokea tu unashangaa na minguvu yako unadondokea kule...Mifano hai ni Tunisia na Sudan. Yan kuanguka kwa dola yoyote ile ni huwa kunatokea tu tena ndani ya muda mfupi sana. Hakujawahi kuwa Processed hata kidogo na ndiyo maana Moi na manguvu yake alitokea kujichanganya point ndogo sana. Kama unakumbuka miezi michache kabla ya uchaguzi KANU iliundwa upya ikiwa na kina Raila, Saitoti na wengine ila point moja ya Moi iliisambaratisha na ikawa bai bai... Huwa naamini kuanguka kwa utawala huja kama muujiza. Usishangae hapa 2020 wastaafu wote kuanzia marais wakamkataa JPM na kukatokea kitu cha ajabu kabisa.
Uwr na akiba ya manenoThat will never happen. Sio kila risk ni ya kuchukua.
Kwahiyo wakikamatwa utaarifiwe? ,,pathetic
Kumbuka wamkagua kwake,labda na laptop yake,simu ,tablet wamekagua sasa kama wamekuta makando yapo ndo wamemtia nyavuni,ndo maana nasema ukijitoa mhanga hakikisha hauna makando .Aiseee!
Mungu akusaidie sana Wewe na ndugu wanaokuzunguka ili kwa namna yoyote isitokezee nafasi ya "kukandamizwa" na huu utawala wa awamu hii hakika niliyonayo ikitoea utaelewa tafsiri Halisi ya sentesi "KUBAMBIKIWA KESI".
Again that will never happen,positivity is my motto.Najiongelea mwenyewe.Uwr na akiba ya maneno
Syo kila aliyeko jela Ana makosa
Unajua maana ya jumba bovu
Ova
Walikuwa wasafi kaka. Sasa wewe unafanya vitu vya kukufanya ustand out,Kumbe at the same time una makando yako. Huyu alikuwa anatakatisha pesa,anafinance uhalifu,halipi kodi alitakiwa atulie tu. Unapofanya kama alivyokuwa anafanya kuandika against JPM,alitakiwa ajianalyse kwanza je yeye yupo safi? Mimi nawahurumia sana watoto wake.
Hatimaye, Erick Kabendera kukosa dhamana kwa kosa la kutakatisha fedha. Kisheria, kosa la utakatishaji fedha halina dhamana. Ni kusubiri kusikilizwa na kuamuliwa kwa kesi yake tu mahakamani. Yajayo yako vyema sana...
Vyombo gani unaongelea wewe kichwa nazi. Mtu ameenda kutekwa imeshindikana. Wakaibuka na maigizo ya uongo kuhusu urahia nayo wakaona haieleweki. Sasa wanaibua mambo ya ajabu na wewe ulivyo na akili ya kambale unashabikia. Subiri zamu yako.Unavyoongea hivyo, una taarifa kamili kuhusu kesi hii??
Wakikuonesha ma transaction kwenye account yake jinsi yalivyo, utabishaa???
Tukae kimya, huku vyombo vya nchi vikiendelea kutenda haki.