Kisutu: Erick Kabendera ashtakiwa kwa Kujihusisha na mtandao wa uhalifu, ukwepaji kodi na kutakatisha fedha haramu

Kisutu: Erick Kabendera ashtakiwa kwa Kujihusisha na mtandao wa uhalifu, ukwepaji kodi na kutakatisha fedha haramu

Pole Kaka jamani kabla ya kufanya upumbavu muwage mnafikiria na watoto wenu. Sasa watoto wanateseka kisa ujuaji wa baba yao. Yaani huyu hana tofauti na Victoire wa Rwanda aliecha familia yake Uholanzi kisa kwenda kumpinga Kagame. If you cant beat them,then join them.
Dada watie MOYO! Wanakusemea hao
 
Ndiyo anarejeshwa Keko sasa ndugu yako na kama unaubavu kamtoe.

Mnatuletea habari za kufanya makosa kisha mlie like kutaka huruma!?

Kwisha habari yake mnafiki yule!
Hata ww unaweza kwenda keko
Usijione Malaika sana....
Wako mpnguan kma ww na walijikuta wako keko

Ova
 
Solution ni moja tu hayo makosa yoye yakiwa yanadhaminika serikalo itakosa cha kuwakomoa watu...
 
Well said, ndio maana nimeamua kujikalia zangu kimya, kwanini nice mbinafsi wa kuwa ninayejiita mwanaharakati niishie pabaya, kisha mwanangu nimuache anateseka. Idiotic thought.
Hii kauli nimezoea kuisikia wanawake ndio wanaitumia kumbe siku hizi kuna wanaume pia wanaitumia.
Kuna watu wengi sana wamekumbwa na madhila ya awamu ya tano huku hawajawai kujiita mwanaharakati au kujihusisha kwa namna yoyote ile na siasa.
Kwa awamu hii hakuna aliye salama au mwenye uweza wa kuyakwepa madhila ya serikali
 
Akipewa nafasi ya kujitetea akumbuke kusema yafuatayo, "Naipongeza serikali ya awamu ya tano maana inafanya kazi kwa uadilifu, tumepata raisi ambae hajawai kutokea na hatokaa atokee kama huyu, hii ni zawadi tumepewa na mwenyezi Mungu, serikali sikivu, serikali ya wanyonge, inayojali maslahi mapana ya wananchi wake, isiyopenda rushwa, na tumuombee Mh akae madarakani hata miaka mia ili atuletee maendeleo, maana hakuna kama huyu, CCM oyeee..baada ya wiki anafutiwa mashtaka yote
Alafu wewe jamaa umekoment na kule FB kwahiyo wakita kukudaka wanakudaka tu fresh aseh Shauri yako endelea kusanifu sasa
 
Kabisa yaani wao hawajiulizi kwa nini hawakuandamana? Sababu ni hii hii. Huyu alikuwa anaandika against serikali kumbe na yeye ana makando yake. Sasa ataozea rumande maana utakatishaji pesa hauna dhamana.
Aiseee!

Mungu akusaidie sana Wewe na ndugu wanaokuzunguka ili kwa namna yoyote isitokezee nafasi ya "kukandamizwa" na huu utawala wa awamu hii hakika niliyonayo ikitoea utaelewa tafsiri Halisi ya sentesi "KUBAMBIKIWA KESI".
 
H
Unavyoongea hivyo, una taarifa kamili kuhusu kesi hii??
Wakikuonesha ma transaction kwenye account yake jinsi yalivyo, utabishaa???
Tukae kimya, huku vyombo vya nchi vikiendelea kutenda haki.
Haki gani unayotaka kutuaminisha kwa serikali ipi? Yakiwa mbali huonekana yakawaida ila yakikufika kwa karibu sana ndipo nafsi ya kupinga na kukataa Dhuluma hustawi na kunawiri.
 
Kama ni kweli basi,wangemkamata kwa njia za kawaida kuliko walivyofanya jaribio la utekaji.

Jambo hili linafanya jamii ione kwamba hata kesi hii si ya kweli,bali ni chuki tu za wanasiasa.

Tukumbuke mwanzoni walisema walikuwa wakichunguza uraia wake.

Na kweli njia ya mwongo ni fupi.
 
Mwandishi wa Habari za uchunguzi, Erick Kabendera amefikishwa Mahakama ya Kisutu leo

Anashtakiwa kwa makosa matatu chini ya sheria uhujumu Uchumi ambayo ni...

1. Kujihusisha na mtandao wa uharifu, 2015-2019 katika maeneo ya Dar Es Salaam aliongoza kundi la uhalifu kwa lengo la kupata faida au manufaa mengine

2. Kukwepa kulipa kodi. Katika tarehe tofauti kati ya 2015 hadi 2019 katika jiji la Dar es Salaam alikwepa kulipa kodi zaidi ya Tsh milioni 173

3. Kutakatisha fedha haramu.

View attachment 1172905
View attachment 1172906
View attachment 1172907
Kwani anafanya biashara gani kudaiwa kodi kubwa kasi hicho?
 
Kenya waliiondoa KANU kirahisi sana. Kenya kuna ukabila na ule uchaguzi ulikiwa Kikuyu mmoja aliyeungwa mkono na watu wote wenye nguvu nchini against another Kikuyu aliyekuwa dhaifu. Cha kushukuru ni kuwa Moi aliamua kuwapa wananchi haki yao ili kuepusha mauaji. Ila baadaye si unaona Kibaki alijipa ushindi batili? Ukishakuwa kwenye PAWA unaweza kuamua lolote ilimradi tu busara ikutawale. Hata JK alishasema. Sasa hapa kwetu yupo wa busara kama Moi? Hapa kwetu wapo kina Kibaki ambao kujipa ushindi haramu kulipelekea maelfu kuuawa na kupoteza mali. Ukishakuwa mtawala anayeamini kutokushindwa halafu ukakutana na wananchi waliojichokea basi ndiyo kama hivyo. Ninachoamini swala la utawala wowote ule kuanguka haliwi processed bali huwa linatokea tu unashangaa na minguvu yako unadondokea kule...Mifano hai ni Tunisia na Sudan. Yan kuanguka kwa dola yoyote ile ni huwa kunatokea tu tena ndani ya muda mfupi sana. Hakujawahi kuwa Processed hata kidogo na ndiyo maana Moi na manguvu yake alitokea kujichanganya point ndogo sana. Kama unakumbuka miezi michache kabla ya uchaguzi KANU iliundwa upya ikiwa na kina Raila, Saitoti na wengine ila point moja ya Moi iliisambaratisha na ikawa bai bai... Huwa naamini kuanguka kwa utawala huja kama muujiza. Usishangae hapa 2020 wastaafu wote kuanzia marais wakamkataa JPM na kukatokea kitu cha ajabu kabisa.
Haikuwa rahisi,let me tell you wasingeungana kamwe wasingeitoa KANU.Lakini huko kuungana na kuiondoa KANU ndo ilikuwa the big and most important move.ONCE AND FOR ALL.KANU IPO KABURINI.
 
Aiseee!

Mungu akusaidie sana Wewe na ndugu wanaokuzunguka ili kwa namna yoyote isitokezee nafasi ya "kukandamizwa" na huu utawala wa awamu hii hakika niliyonayo ikitoea utaelewa tafsiri Halisi ya sentesi "KUBAMBIKIWA KESI".
Kumbuka wamkagua kwake,labda na laptop yake,simu ,tablet wamekagua sasa kama wamekuta makando yapo ndo wamemtia nyavuni,ndo maana nasema ukijitoa mhanga hakikisha hauna makando .
 
Victoire hebu basi tumia just your common sense kutafsiri trend of events ndugu yangu.

Nikweli kama mwanadamu mwingine yoyote huyu Erick aweza kuwa na makando kando yake. Lakini katika haya yanayoendelea juu ya huyu Erick haihitaji uwe na Kipaji Cha Shekhe Yahaya ili uelewe huku kukomolewa kwakwe kwenye malengo Maalum.

Rejea Matamko ya Mambo Baadae, Kisha Yule wa Uhamiaji alafu akamalizia Mwakyembe kwamba Huyu Sio Raia Kisha Uchochezi lakini leo wameona wampe hayo wakijua kuwa hayo Mengine Ni Mashtaka yenye dhamana.


Anyway tuendelee kuandika tuwezavyo kwa kutumia MB zetu lakini iko siku Mambo ya namna hii yakimgusa anayekuhusu naamini utaelewa na ku sympathize na wahusika.
Walikuwa wasafi kaka. Sasa wewe unafanya vitu vya kukufanya ustand out,Kumbe at the same time una makando yako. Huyu alikuwa anatakatisha pesa,anafinance uhalifu,halipi kodi alitakiwa atulie tu. Unapofanya kama alivyokuwa anafanya kuandika against JPM,alitakiwa ajianalyse kwanza je yeye yupo safi? Mimi nawahurumia sana watoto wake.
 
Unavyoongea hivyo, una taarifa kamili kuhusu kesi hii??
Wakikuonesha ma transaction kwenye account yake jinsi yalivyo, utabishaa???
Tukae kimya, huku vyombo vya nchi vikiendelea kutenda haki.
Vyombo gani unaongelea wewe kichwa nazi. Mtu ameenda kutekwa imeshindikana. Wakaibuka na maigizo ya uongo kuhusu urahia nayo wakaona haieleweki. Sasa wanaibua mambo ya ajabu na wewe ulivyo na akili ya kambale unashabikia. Subiri zamu yako.
 
Back
Top Bottom