Mchumia Rungu
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 1,438
- 826
Serikali chafu inachafuliwaje? Sasa mbona hajashitakiwa kwa kosa la kuichafua serikali?Ndiyo maana alikuwa anaichafua serikali ili afiche uovu wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali chafu inachafuliwaje? Sasa mbona hajashitakiwa kwa kosa la kuichafua serikali?Ndiyo maana alikuwa anaichafua serikali ili afiche uovu wake.
Asubuhi wanakukamata kwa kesi ya bhangi mchana wanatangaza umekamatwa na mavi ya fisi... nyara ya taifa!!!Maviii!polisi haiaminiki tena...
Kwahiyo unakubaliana na wanaosema kuwa ameshitakiwa kwa makosa ya kufikirika kwaajili ya kumkomoa kwa aliyoyaandika?He was too stupid/naive kuandika makala kama zile halafu unaishi bongo na unaona kinachoendelea..He had it coming to him
Angeweza kuandika makala kama zile under a false ID, pia unaweza kufuatilia kila kitu bongo ukiwa nje, dunia ni kijiji hiki, zile makala zake zilikuwa zinachambua tu hotuba za magufuli, miradi anayoifanya na sera zake ambazo hata ukiwa Australia huko ukifuatilia utafahamu tu, au unaweza kuniambia ni vitu gani aliandika ambavyo mtu ukiwa nje huwezi kuvijua? vyote vipo wazi tu, sema yeye ameandika katika kuvikosoa
pia unaweza kuwa na watu wako bongo wanaokupa taarifa za ndani ambazo haziwekwi kwa waandishi, akina Mange kimambi, Ngurumo wanapata intel nzuri tu na wapo nje, hivyo ndivyo waandishi pragmatic, wanavyoishi kulingana na uhalisia wa hali, sio kujifanya unakufa kishujaa, kesho wanakusahau, unaacha familia inateseka na hakuna mabadiliko yoyote uliyofanikiwa kuyaleta sababu ulienda kiboya
Pole Kaka jamani kabla ya kufanya upumbavu muwage mnafikiria na watoto wenu. Sasa watoto wanateseka kisa ujuaji wa baba yao. Yaani huyu hana tofauti na Victoire wa Rwanda aliecha familia yake Uholanzi kisa kwenda kumpinga Kagame. If you cant beat them,then join them.
Kaka hebu andika maneno haya kwa real identity yako au jirecord na sura yako ukiongea uonekane. If you can't then you know what I mean.Kwahiyo watu wanyamaze kisa yeye malaika,kama hakutaka kukosolewa angebaki kijijini kwake achunge ngombe burigi aliomba kura ili tumuajiri sasa kapata ajira ndio anakua chinjachinja
Madame Victoire... unaita taaluma ya Kabendera upumbavu? Kosa lake liko wapi? Yeye ni muandishi wa habari za kiuchunguzi, aliandika kadiri ya uchunguzi wake ulipofikia.
Kosa lake ni kuandika kwa kutumia taaluma yake?
Na kama kila mmoja akifikiria familia yake tutajenga Taifa la namna gani?
Mkuu kweli kabisa bora tu angebaki kwao achunge ng'ombe maana hataki kukosolewa bora Mkuu tutengeneze group letu LA kupinga vitu hivi kama hutojali nipm no yako tunajengeKwahiyo watu wanyamaze kisa yeye malaika,kama hakutaka kukosolewa angebaki kijijini kwake achunge ngombe burigi aliomba kura ili tumuajiri sasa kapata ajira ndio anakua chinjachinja
Naona kuna kasoro kidogo kwenye matumizi ya lugha ya Kiswahili sifahamu level yako ya uelewa.
Mimi ni mpenzi na msomaji wa jarida la Economist na pia ninalipia kusoma (subscription) jarida la "Africa Confidential", hivyo nimesoma makala nyingi za Kabendera kwenye vyombo hivyo.
Nilijiunga na Africa Confidential mwaka 2006 nilipojiunga na JF hivyo nina kahistoria kidogo na jarida hilo na nawafahamu waandishi wake wengi hata kama wanaficha majina.
Kwa kweli makala hizo zinaweza kuwa na lengo jema la kukosoa lakini aliweka maneno ya kashfa na lugha ya dharau kwa kiongozi wa nchi, hapo kakosea sana na amekuwa kama Kashoggi.
Makala aloiandika tarehe 26 Julai (mwezi ulopita) ilikuwa "too critical but worse" na ilikuwa lazima isimamishe kope za walengwa.
Pili, hayo mashtaka alosomewa leo mahakamani mimi na wewe hatufahamu lolote mpaka kesi itapoanza hivyo tuwe na subira.
Mfuatilie Paschal Mayala na jaribu kuelewa aina ya uandishi wake na kama ni mwelewa unaona namaanisha nini katika kumkosoa Kabendera kwamba yeye ni muumini wa chequebook Journalism.
Mkuu kulikoni kwani hebu funguka kidogo nasi utufumbue machomaajabu, uyu mzee kwakweli anakoendea siko
Mkuu kuomba kulikoni tena na nani wa kumuombea Mkuu jazia nyama kidogoNaombeni mniombee
Nyooo !!
Siku nikitekwa mazee mnitunzie swalehe maana jamaa angu huyu hataki kukosolewa kabisa ani tunaishi kiuoga uoga utafikiri tupo somaliland
Aisee nimejiridhisha kuwa walitaka kumuua na kweli huenda Azory ali "Disappear and died"
Uliwahi kumpa then aka underperform ili uwe na such doubt dhidi yake?Mbona kama sio rizki
Kisha akakumbia, ndiyo maana jina lake alikutoki.Alitumia tigo,hallotel,TTCL na Vodacom.
Unavyoongea hivyo, una taarifa kamili kuhusu kesi hii??
Wakikuonesha ma transaction kwenye account yake jinsi yalivyo, utabishaa???
Tukae kimya, huku vyombo vya nchi vikiendelea kutenda haki.
Hivi wewe na Kinana ni yupi ana mizizi ccm ? chunga sana !Hujanielewa hao walifanya hayo wakiwa safi. Sasa wewe unaandika against gouvernement huku unafanya uhalifu,unakwepa kodi. Sasa kosa la kutakatisha pesa halina mdhamana. Atajijua. Unaporusha mawe hakikisha upo safi.
Hivi Tanzania ina watu wa ajabu namna hii?Lazima usome alama za nyakati kaka,unless hautajali kama familia yako ikipay matokeo.Hapa sio USA kaka.Mange aliwaambia muandamane wote mkajifungia makwenu why ? Kwa sababu mlifikiria kuhusu familia zenu. Sawa ni Dikteta ila ndo Rais wetu.Kama mpo serious uchaguzi 2020 mtoeni kwa kura.