Kisutu: Erick Kabendera ashtakiwa kwa Kujihusisha na mtandao wa uhalifu, ukwepaji kodi na kutakatisha fedha haramu

Maviii!polisi haiaminiki tena...
Asubuhi wanakukamata kwa kesi ya bhangi mchana wanatangaza umekamatwa na mavi ya fisi... nyara ya taifa!!!
Ili dhamana ikosekane...
Naota ya kwamba yajengwe magereza mengi tu na vitanzi vya kunyongea tusiofanana nao mawazo na pia baada ya yote tuwe na maisha marefu kama Farao...
 
Kwahiyo unakubaliana na wanaosema kuwa ameshitakiwa kwa makosa ya kufikirika kwaajili ya kumkomoa kwa aliyoyaandika?

Kama hajashitakiwa kwa alichokiandika basi hicho kilikuwa kizuri ndiyo maana haijawezekana kushitakiwa kwacho.
 
Kwahiyo watu wanyamaze kisa yeye malaika,kama hakutaka kukosolewa angebaki kijijini kwake achunge ngombe burigi aliomba kura ili tumuajiri sasa kapata ajira ndio anakua chinjachinja
 
Kwahiyo watu wanyamaze kisa yeye malaika,kama hakutaka kukosolewa angebaki kijijini kwake achunge ngombe burigi aliomba kura ili tumuajiri sasa kapata ajira ndio anakua chinjachinja
Kaka hebu andika maneno haya kwa real identity yako au jirecord na sura yako ukiongea uonekane. If you can't then you know what I mean.
 
Shida ya victoire ni udc,ataandika kusifia ujinga ili aonekane na lumumba
 
Kwahiyo watu wanyamaze kisa yeye malaika,kama hakutaka kukosolewa angebaki kijijini kwake achunge ngombe burigi aliomba kura ili tumuajiri sasa kapata ajira ndio anakua chinjachinja
Mkuu kweli kabisa bora tu angebaki kwao achunge ng'ombe maana hataki kukosolewa bora Mkuu tutengeneze group letu LA kupinga vitu hivi kama hutojali nipm no yako tunajenge
 
Let's say nikweli eti Kwamba aliandika Lugha mbaya na isiyofaa kwa Mkuu wa Nchi je Kwanini hajashtakiwa kwa makosa hayo myasemayo kwamba alimuandika vibaya Mnayemuabudu?

Je mashataka haya yasiyo na dhamana aliyofunguliwa ndio mbadala wa shtaka ambalo mnadhani alilistahili?
 
Inaumiza sana sana, wajuvi wa mambo mtutabainishie, kukundi cha kihalifu alichokuwa akiongoza ni kipi? Na kilihusika na uhalifu upi?
 
Huyu IBILISI wa Ikulu ameifanya Tanzania iwe si salama kuishi kwa sasa, Nduli Idd Amini alianza hivi hivi. Ndugu zangu anzeni kuchukua hatua haraka.
 
Mkuu acha tu watu wafunguke usijali kaka
Unavyoongea hivyo, una taarifa kamili kuhusu kesi hii??
Wakikuonesha ma transaction kwenye account yake jinsi yalivyo, utabishaa???
Tukae kimya, huku vyombo vya nchi vikiendelea kutenda haki.
 
Hujanielewa hao walifanya hayo wakiwa safi. Sasa wewe unaandika against gouvernement huku unafanya uhalifu,unakwepa kodi. Sasa kosa la kutakatisha pesa halina mdhamana. Atajijua. Unaporusha mawe hakikisha upo safi.
Hivi wewe na Kinana ni yupi ana mizizi ccm ? chunga sana !
 
Hivi Tanzania ina watu wa ajabu namna hii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…