Kisutu: Erick Kabendera ashtakiwa kwa Kujihusisha na mtandao wa uhalifu, ukwepaji kodi na kutakatisha fedha haramu

Kisutu: Erick Kabendera ashtakiwa kwa Kujihusisha na mtandao wa uhalifu, ukwepaji kodi na kutakatisha fedha haramu

Labda kesi , kwangu mimi, nitaielewa ikianza kusikilizwa huku ushahidi ukitolewa. Kwa maana mpaka sasa maelezo ninayopata ' hayajafunguka sawa sawa' kwangu.
 
Mungu nipe maisha marefu nione mwisho wa Ka.me
 
Hivi wachawi wameshindwa kumloga huyu jiwe. mbona mwepesi saana!

Hakika hakuna wachawi Tanzania yoote hata huko Sumbawanga, Bagamoyo, Tanga ni buuure . kutishanatishana tu mitaani huko, Na kuibia watu hela tu. watu wanajifanya wachawi? mara limbwata! sijui nshuntama, ya wahaya. wampe Jiwe basi awe mpole. Tupete?
 
Kila zama zinaukurasa wake, yawezeana kabisa, anaonewa sawa, ila je karam yake aliitumia vzr? Je jamii inafaidika na mandiko yake? Tuseme sawa inafaidika je kwa nn anamgoror na sheria?

Rejea kumbukumbu ya wale wanamziki, ni vyema ukacheza na karam vzr ila usicheze na taasisi kubwa kama sheria,

Kila nchi watu kama hawa watu, ila inategemea wanashughulikiwaje, kunawngine huwekewa vikwazo vya kibiashra, wengine za kidiplomasia, kunavizuiz na wengine kupewa nyadhifa ila wakiona taratib haziruhusu, lile andiko linahusika Aheri mtu moja kunyamaza ili taifa lipone, kuliko kuruhusu mtu mmoja kusema taifa zima likapotea
...

Hyo ni sera ya dunia..
Kwani aliyoyaandika yalikuwa ya uongo ?!. Na watanyamazishwa wangapi ?!.
 
Kwa bahati nzuri hiyo nililosoma na jina la Kabendera kama maandishi hazikuwepo! Nadhani Jarida la Economist hakuna utaratibu wa kuonyesha majina ya waandishi kwenye makala zake. Anybody could have written the article. Kwa jinsi nilivyouona uandishi wa Kabendera siyo Tahiti kutumia lugha kama hiyo.
Katumwa huyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1487]
 
Back
Top Bottom