Kisutu: Kesi ya Erick Kabendera yaendelea. Jamhuri yaweka kisiki Erick kushiriki msiba wa mama yake mzazi

Kimsingi ktk hali ya busara kabisa kea taifa linalozingatia utu na heshima, haikua busara kumyima kijana huyu ruhusa ya kumzika mama yake. Kifo cha mama mzazi ni jambo nyeti.

Ambaye alitoa huu uamuzi hata kama hakukosr kisheria, lakin ktk halo ya kawaida alikosea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…