Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua

Kisutu: Kesi ya Freeman Mbowe yaahirishwa hadi Kesho 06/08/2021, Mtandao umesumbua

Pamoja na vitisho vya IGP Sirro bado wafuasi wa Chadema wametoka barabarani na wamefika Kisutu na maoni yao kwa njia ya mabango kwa amani.

Hongera kwa sapoti mliyoonyesha kwa Mwenyekiti wenu Freeman Mbowe, lengo mlilokusudia la kupeleka ujumbe limetimia.
Akili za polisi na CCM ni takataka, tope. Wanashindwa kuona kitu kidogo kuwa ukiona watu wametoka na kuja pamoja a vitisho, mazoezi yas polisi, kuwafunga CDM etc ujue huko nyuma kuna millions
 
Akili za polisi na CCM ni takataka, tope. Wanashindwa kuona kitu kidogo kuwa ukiona watu wametoka na kuja pamoja a vitisho, mazoezi yas polisi, kuwafunga CDM etc ujue huko nyuma kuna millions
Ni kweli wako mamilioni ila wapo mitandaoni tu, katika hao waliyokwenda pale sijui hata kama kuna member wa JF. Mimi kuhusu Chadema mitandaoni huwa nakubali kuwa ni kweli ina nguvu ila huku mitaani ndio haina nguvu.

Kwahiyo ile ndio nguvu ya umma mnayoisemaga?
 
Kuwakamata watu wachache waliokuja kusikiliza kesi huu ni uonevu.
Mahakama haikukataza watu wachache kwenda kusikiliza kesi pia hawakufanya uhalifu.
 
Maccm wanaiogopa katiba mpya kama vile akina mbwa wanaogopa akina chui
 
Ni Asubuhi tulivu ya siku ya Alhamisi.

Kiongozi mkuu wa Upinzani Freeman Mbowe anatarajiwa kuletwa mahakamani Kisutu Leo katika Kesi ya Ugaidi.

Kesi hii inavuta kila mpenda haki na mwanademokrasia kutokana na ukweli Mbowe amebambikizwa kesi hii ili kumnyamazisha kutokana na Kampeni aliyoasisi ya Kudai Katiba Mpya....
Ujinga ujinga tu kwani walikuwa hawajui kama teknologia hawana. Yaani wakati wa kesi ndiyo uwe majaribio! tunapenda kupotezea watu muda sana
 
Hebu wamfunge tuone kama kasi ya watanzania itazidi au itapungua.
Hii sio ile Chadema ya zamani sasa Chadema ni Chama kikubwa kuliko CCM.
Yaaani hadi saa hii hujaamini kama mwenyekiti wenu ni mtuhumiwa.Chadomo fyongo kweli
 
Wenzetu Kenya na Uganda wanajiweka kwenye ramani ya dunia kwenye Olympics na kujiletea sifa kedekede sisi tunaendelea kujiharibia huko CNN BBC na ALJAZEERA kwa kesi za kitoto...
Gaidi lazima aogopeke ndiyo tuna deal naye kisawasawa
 
Tangazo hili Muhimu limetolewa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Mh John Mnyika alipokuwa akiongea na Waandishi wa habari baada ya kesi hiyo kuahirishwa leo kwenye Mahakama hiyo .

John Mnyika amewaambia wana Habari ambao wengi wao walikuwa wa Kimataifa kwamba , haijawahi kuwa kosa kisheria kwa mtu yeyote kuhudhuria usikilizwaji wa kesi Mahakamani , na hasa kukiwa na amani .

 
Acha uongo wewe kesi yeye
Ni Asubuhi tulivu ya siku ya Alhamisi.

Kiongozi mkuu wa Upinzani Freeman Mbowe anatarajiwa kuletwa mahakamani Kisutu Leo katika Kesi ya Ugaidi....
Acha uongo kesi yeye ile inaweza kuendeshwa law video conference kama kuna tatizo la logistic
 
Sasa kwenye maandamano ya amani mibunduki nakujihami kote kama kuna vita nini shida?

Hao hao pakiwa na tukio la ujambazi ukiwapigia simu hawatofika hadi jambazi afanye yake aondoke. Lakini wakiwa wanawazuia wapinzani wasifanye siasa wapo chap utafikiri kikao cha wapinzani kinaamua kumuondoa rais madarakani.
ujambaz haunaga taarifa
 
Huu uonevu unaofanywa na jeshi la polisi ili kukisaidia CCM unatengeneza taswira mbaya sana kwa watanzania.
 
Back
Top Bottom