Kisutu: Maafisa wa EU, UN na Mabalozi wa Marekani, Sweden na Ujerumani wahudhuria Kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe

Hii kesi ya Mbowe ilifaa ihamishiwe GuantanamoBay maaana kuna watu wanaleta mchezo kwenye hii kesi!
Marekani ndio wanauzoefu wa kudili na kesi hizi.
kwanza Gaidi anapumzishwa gerezani miaka 10 kisha ndio kesiiIndia kusikilizwa.
hapa kwetu unakuta Gaidi anakumbatiana na jamaa zake mahakamani!! ajabu sana!!
sasa hapa kwetu naona kama bado hatujajua kudili na hizi kesi au hawajiamini!!
vyombo vyetu lazima vijiamini visikubali kuyumbishwa na chochote kile.
 
Utafikiri beberu amenufaikaje kwa misaada hiyo hapo juu uliyoiorodheaha ?

Unafahamu msingi mkuu wa mabeberu wote duniani?
 
Kipindi cha jk kesi kubwa ubakaji !
Kipindi cha magufuli kesi kubwa hujumu uchumi !
Kipindi cha SSH kesi kubwa sasa ugaidi !

Hii nchi bwana
JK alikuwa anabambikia watu kesi za ubakaji kwa sababu alikuwa hataki wanaume wenzake washindane naye kwenye starehe ya 6 X 6, jamaa alikuwa mchoyo sana kwa mademu, alitaka kila demu amle yeye tu.
 
Ni aibu
 
Kusingizia magari mabovu ni dalili ya kesi kuwa ya kisiasa
 
Kutuhumiwa na kufikishwa mahakamani yote ni michakato ya kutimiza sheria
Hao wazungu wamekuja kuona kama haki inaonekana inatendeka katika michakato hiyo,hawana uwezo wowote wa kubadili mashitaka
Wekeni nguvu katika kupangua mashitaka kisheria
Hiyo haina shida. Chama kinao manguli wa sheria wengi, na bado vyama vingine pinzani vimeongeza nguvu. Watu wameshajipanga kwa hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…