Hii kesi ya Mbowe ilifaa ihamishiwe GuantanamoBay maaana kuna watu wanaleta mchezo kwenye hii kesi!
Marekani ndio wanauzoefu wa kudili na kesi hizi.
kwanza Gaidi anapumzishwa gerezani miaka 10 kisha ndio kesiiIndia kusikilizwa.
hapa kwetu unakuta Gaidi anakumbatiana na jamaa zake mahakamani!! ajabu sana!!
sasa hapa kwetu naona kama bado hatujajua kudili na hizi kesi au hawajiamini!!
vyombo vyetu lazima vijiamini visikubali kuyumbishwa na chochote kile.
Marekani ndio wanauzoefu wa kudili na kesi hizi.
kwanza Gaidi anapumzishwa gerezani miaka 10 kisha ndio kesiiIndia kusikilizwa.
hapa kwetu unakuta Gaidi anakumbatiana na jamaa zake mahakamani!! ajabu sana!!
sasa hapa kwetu naona kama bado hatujajua kudili na hizi kesi au hawajiamini!!
vyombo vyetu lazima vijiamini visikubali kuyumbishwa na chochote kile.