Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
kweli kabisa...Mabingwa wa kushauri wanawake masuala ya mahusiano uwa ni wale walioshindwa ya kwao hasa ndoa zao zilivunjika.
Chunguza utaona
Mange na hamisa wanafana
Wote wamezaa na wanaume tofauti, wote wanategemea child support, cha ajabu da mange ndio mshauri wa hamisa wakati mwenyewe yake hayawezi zaidi ya kuishia kuwatukana hao baby dadies wake