KISUTU: Mahakama upande wa Watoto yatupilia mbali shtaka la Hamisa Mobetto dhidi ya Diamond kuhusu malezi ya mtoto wao

Mabingwa wa kushauri wanawake masuala ya mahusiano uwa ni wale walioshindwa ya kwao hasa ndoa zao zilivunjika.
Chunguza utaona
kweli kabisa...
Mange na hamisa wanafana
Wote wamezaa na wanaume tofauti, wote wanategemea child support, cha ajabu da mange ndio mshauri wa hamisa wakati mwenyewe yake hayawezi zaidi ya kuishia kuwatukana hao baby dadies wake
 
Hahahaha word!
 
Nasikia Hamisa ameshauriwa acheze biko
 
Acha mambo ya kusikia dada,umpe hela yako wema akaitapanye?
Si ni wema aliepewa zawadi ya murano wakati wa birthday yake?au iliokotwa?
Si ni hamisa,kudungwa mimba tu kanunuliwa Rav4 ya milioni 20,au iliokotwa?
Diamond alishasema akifika anahonga hata milioni 30,endeleeni kujipa moyo kuwa zari kajigharamia safari ya UK
 
Ubahili wake upo kwenye nini labda
Penny alinunuliwa gari
Wema alinunuliwa gari
Hamisa kanunuliwa gari
Watoto wa zari wamenunuliwa Nyumba south
Huo ubahili ni upi sasa
Hizi habari wanazitengeza kina Hamisa,sasa ndio wataona ubahili wa diamond baada ya majizo kuchukua mtoto wake
 
Hata mi nashangaa huo ubahili ni upi wakati madem zake wanapewa Magari
 
Naona Team kiba walivyokunja sura kwa kusikia taarifa hii..
Bado na wale wanaotaka Mil300
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] ati bambino!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…