Kwa Seth bei ndogo sana hiyo na atalipa vizuri tu. Umesahahu ziligawanywa bilioni zaidi ya 300.Bill 26 kwenye ukoo wetu ata wakijichanga hioo pesa hawaezi ipata mzee ajitoe tuu kafara ya kufia jela kizazi chake kinufaika. UPENDO WA AGAPE.
200bHahaha, hamna mzee, jamaa alipiga parefu sana, unaweza kuta mwendazake alikuwa anataka kumuachia kwa 100b
Bill 26 kwenye ukoo wetu ata wakijichanga hioo pesa hawaezi ipata mzee ajitoe tuu kafara ya kufia jela kizazi chake kinufaika. UPENDO WA AGAPE.
TAKUKURU wamekiri kuwabambikia watu jumla ya kesi 147 usihadaike mzee.Daah hii nchi imetafunwa aisee.
Mkuu mbona sioni uzi wako ukijadili bajeti? Sasa hivi naona ukiamzishwa uzi wowote unarukia ili uone utamtakatishaje dhalimu.Mama Safi siyo safi?
Hatimaye wamebana wameachia
Rudi kwene katiba na prosecution Act uelewe mamlaka hasa ya DPP kabla huja changiaIna maana huyu DPP mpya nae anaendelea na tabia ya kujigeuza ndie mahakama?
Kama hawa watu wanakiri wana hatia ni kitu gani kinachoishinda jamhuri kupeleka kesi mahakamani ushahidi utolewe ili adhabu kama itakuwepo wapewe iwe kifungo au kulipa faini?
Hii tabia ya kumalizana kwa DPP lilikuwa kosa la Magufuli, nashangaa na awamu hii nayo wanaendelea nalo, mahakama ziachwe ziamue kesi kisheria, DPP abaki na kazi yake ya awali asiingilie majukumu ya mahakama.
Kwani zile za Escrow zilikuwa ngapi hadi uone hizo 26b in nyingi?Mhindi kumbe ana pumzi haswa! 26B siyo mchezo
Kama huyu Hana hatia mzee wa watu kachukua kidogo tu.TAKUKURU wamekiri kuwabambikia watu jumla ya kesi 147 usihadaike mzee.
Asingekuwa JPM mngezipata wapi hizo na nani angemkamata huyo bilionea?
sijui wewe CEO wa EscrowKwani zile za Escrow zilikuwa ngapi hadi uone hizo 26b in nyingi?
Huyu singasinga alikuwa mpiga kweli kweli. Hajaonewa.Maza naye anatafuta pesa kwa njia za marehemu nini?
Waliokwapua 350 ndiyo wameamua alipe hicho kiduchu. Mungu anamuona JKHuwezi kumsifu kuwa singh ana , kwani ile escrow si alichotewa bilioni 350 . Hiyo ni asilimia 10 tu ya hela alizochotewa huyo hata angeambiwa 100 bilioni hhiyo ni hela ya mboga kwake. Sema tu na viongozi wa enzi hizo sana mgawo mkubwa tu katika miaka 20 ya uhai wa iptl .
SawaHuyu singasinga alikuwa mpiga kweli kweli. Hajaonewa.
Anaenda kuwekeza Yanga,tarehe 3 kwa Mkapa ndio Mikia watajua kuwa hawajui.Sethi anasema tukutane nae kwa mkapa kwani kuna mgao tena huko[emoji28][emoji28]