Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alipiga bilioni 300 hizo 26 ni kitu gani?Mhindi kumbe ana pumzi haswa! 26B siyo mchezo
Wakati mnamuweka jela miaka yote hiyo bila kumfikisha mahakamani nakuhukumiwa hamkujua anaweza kufia jela?.vip mzee, ulitaka singasinga afie jela, si bora ametoa ayo mabilioni Kama Faini
Na ndio washauri tuliobakia nao.Na bado humo ndani kuna watu walikuwa kwenye mfumo sema hawagusiki
Ova
Mhindi kumbe ana pumzi haswa! 26B siyo mchezo
Pesa chache sana kwake maana yeye alikuwa analipwa capacity charge milioni 400 kila siku na kwa mwaka ni bilioni 146 wakati akizalisha umeme kutoka kwenye mitambo yake ya IPTL.Mhindi kumbe ana pumzi haswa! 26B siyo mchezo
Serikali gani unayoizungumzia hapa?.Maana viongozi wa serikali hii hii ya ccm ndo waliogawana pesa za escrow alafu wakaanza kupiga ngonjera zakitoto.Hawa mazuzu wanajifanya wanajua kuliko team nzima serikalini
sema damu nyeupe ni damu nyeupe tu - ukizubaa lazima akugonge..Huyu Singh ni mwenzetu mzaliwa wa Iringa Tanzania siyo Mhindi wa India.
Huu ujinga waulize viongoz wako uko kwenye chama chako.Acha upumbavu wako, huyo sethi kachukua pesa za wananchi na bado tanesco wanadaiwa mabilioni kwa sababu ya huyo sethi na wenzake
Sasa unataka aachiwe bulr alafu hiyo pesa utailipa weww kwa hiyo benki ya china?
Mue mnatoa mawazo mkijua mnachangia nini na sio kukurupuka
Tanesco bado wanadaiwa zaidi ya billion mia tatu hadi 400 wewe unataka waachiwe ukipandishiwa bei ya umeme utakubali?
Na nani kama siyo high table ?!Daah hii nchi imetafunwa aisee.
Tuheshimiane bwanamdogo hunijui sikujui.Nani ana shida na wewe CCM?
Serikali gani unaongelea? Hii hii ambayo prof. Assad anasema 75% ya watendaji wake hawana sifa.Kwaiyo Bora angeachwa afie jela??? We una akili kuliko team nzima serikalini?!
sema damu nyeupe ni damu nyeupe tu - ukizubaa lazima akugonge..
SHii ndiyo ameitumia vibaya mwendazake na Biswalo kuibia watu.Kuna sheria mpya inaitwa Plea bargain,inampa mamlaka Dpp
Kwamba ulitaka wafanyajwe? Watoke bila kulipa faini?Huu ujinga bado unaendelezwa? Mama sasa hasomeki.
Yaani ulitaka afanye maridhiano na wezi. Wahujumu wa taifa. Uzalendo wako uko wapi?Napongeza juhudi hizi,
Ni mwanzo mzuri Sana kuyafikia maridhiano kwa mustakhbali mzima was ustawi taifa letu.
Mwendazake alkua Ni mtu katili Sana, sidhan Kama aliweza kukaa Kwenye tumbo la mwanamke kwa miez 9.