Kisutu: Mahakama yamhukumu Mfanyabiashara Herbinder Seth Kulipa fidia ya Tsh. 26.9 bilioni

Kisutu: Mahakama yamhukumu Mfanyabiashara Herbinder Seth Kulipa fidia ya Tsh. 26.9 bilioni

Bill 26 kwenye ukoo wetu ata wakijichanga hioo pesa hawaezi ipata mzee ajitoe tuu kafara ya kufia jela kizazi chake kinufaika. UPENDO WA AGAPE.
Kwa Seth bei ndogo sana hiyo na atalipa vizuri tu. Umesahahu ziligawanywa bilioni zaidi ya 300.
 
Wezi huwa wanafahamiana na wezi wenzao. Hawa wezi wanaojiita serikali wamekwisha chungulia akaunti zake benki.
Bill 26 kwenye ukoo wetu ata wakijichanga hioo pesa hawaezi ipata mzee ajitoe tuu kafara ya kufia jela kizazi chake kinufaika. UPENDO WA AGAPE.
 
Mama Safi siyo safi?

Hatimaye wamebana wameachia
Mkuu mbona sioni uzi wako ukijadili bajeti? Sasa hivi naona ukiamzishwa uzi wowote unarukia ili uone utamtakatishaje dhalimu.
 
Ina maana huyu DPP mpya nae anaendelea na tabia ya kujigeuza ndie mahakama?

Kama hawa watu wanakiri wana hatia ni kitu gani kinachoishinda jamhuri kupeleka kesi mahakamani ushahidi utolewe ili adhabu kama itakuwepo wapewe iwe kifungo au kulipa faini?

Hii tabia ya kumalizana kwa DPP lilikuwa kosa la Magufuli, nashangaa na awamu hii nayo wanaendelea nalo, mahakama ziachwe ziamue kesi kisheria, DPP abaki na kazi yake ya awali asiingilie majukumu ya mahakama.
Rudi kwene katiba na prosecution Act uelewe mamlaka hasa ya DPP kabla huja changia
 
Asingekuwa JPM mngezipata wapi hizo na nani angemkamata huyo bilionea?
 
Huwezi kumsifu kuwa singh ana , kwani ile escrow si alichotewa bilioni 350 . Hiyo ni asilimia 10 tu ya hela alizochotewa huyo hata angeambiwa 100 bilioni hhiyo ni hela ya mboga kwake. Sema tu na viongozi wa enzi hizo sana mgawo mkubwa tu katika miaka 20 ya uhai wa iptl .
Waliokwapua 350 ndiyo wameamua alipe hicho kiduchu. Mungu anamuona JK
 
Yaani wamesubiri mpaka Jiwe kaondoka ndio wanahukumu really after 4 yrs duuu.Anyway na hizo hela alizoambiwa alipe utakuta ndizo walizo chukua kwenye account
 
Acha walipe tu wameturudisha nyuma sana hawa watu...
 
Back
Top Bottom