Samia na mwendazake hawafanani kabisa maana Samia anataka haki.Magufuli alikuwa anawapenda watu magaidi jamii ya Sabaya,Makonda,Chalamila na Khenan.Samia = Magufuli.
Kiri na kuweka mzigo kwenye akaunti haraka sana.
Mtaelewa tu vivutio vya utalii nyinyi
Hii imefanyikia mahakamani. Ile ya mwendazake ilikua inaishia kwa DPP. Plea bargain (kukubali kuwa guilty na kulipa kiasi mnachokubaliana mahakamani, ipo kisheria). Process huanzia kwa DPP na kuishia mahakamani. Hii inamsaidia defendant kupunguziwa adhabu kuliko kama akikomaa ambapo atapata adhabu kubwa zaidi.Maza naye anatafuta pesa kwa njia za marehemu nini?
Hapakuwa na gharama za uzalishaji?Pesa chache sana kwake maana yeye alikuwa analipwa capacity charge milioni 400 kila siku na kwa mwaka ni bilioni 146 wakati akizalisha umeme kutoka kwenye mitambo yake ya IPTL.
Watu wanaonewa bureHii imefanyikia mahakamani. Ile ya mwendazake ilikua inaishia kwa DPP. Plea bargain (kukubali kuwa guilty na kulipa kiasi mnachokubaliana mahakamani, ipo kisheria). Process huanzia kwa DPP na kuishia mahakamani. Hii inamsaidia defendant kupunguziwa adhabu kuliko kama akikomaa ambapo atapata adhabu kubwa zaidi.
Bado kilichobaki ni kikubwa. Hakuna shida.Bill 26 kwenye ukoo wetu ata wakijichanga hioo pesa hawaezi ipata mzee ajitoe tuu kafara ya kufia jela kizazi chake kinufaika. UPENDO WA AGAPE.
Sawa.EeeenHeee!
Hebu ziweke nasi tuzione.
Ukoo wa nani na kabila gani?Huyu Harbinder Seth (Singh) ni mwenzetu mzaliwa wa Iringa Tanzania siyo Mhindi wa India.
Uliziona mkuu?Alipiga bilioni 300 hizo 26 ni kitu gani?
Wapelekwe mahakamani.Kwamba ulitaka wafanyajwe? Watoke bila kulipa faini?
Hizo hela ilikuwa inalipwa kampuni yake mzee, siyo zake binafsi, and nadhani unaelewa mfumo wa kampuni kubwa kama hiyo ipojePesa chache sana kwake maana yeye alikuwa analipwa capacity charge milioni 400 kila siku na kwa mwaka ni bilioni 146 wakati akizalisha umeme kutoka kwenye mitambo yake ya IPTL.
Wee Kweli?Huyu Harbinder Seth (Singh) ni mwenzetu mzaliwa wa Iringa Tanzania siyo Mhindi wa India.
Tuache masihara, kukiri na kulipa? Mhh usiseme twafa, sema "NAFA"DPP Sylvester Mwakitalu leo amemuachia huru mfanyabiashara Herbinder Seth baada ya kukiri makosa na kulipa faini.
Mzee Ruge bado amekomaa, tusubiri tuone nini kinaendelea.
Source: Darmpya Blog
Chanzo cha habari yako ni media gani ?Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu, mmiliki wa Kampuni ya kufua umeme ya IPTL, Harbinder Seth, kulipa fidia ya Sh 26bilioni baada ya kupatikana na hatia ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sio culture? 😃😃😃[emoji2][emoji2][emoji2]Ruge kafanana na Burning Spear
Sasa mwenzio 26b kwake si kituBill 26 kwenye ukoo wetu ata wakijichanga hioo pesa hawaezi ipata mzee ajitoe tuu kafara ya kufia jela kizazi chake kinufaika. UPENDO WA AGAPE.