Yimakatso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 7,060
- 9,468
Samia na mwendazake hawafanani kabisa maana Samia anataka haki.Magufuli alikuwa anawapenda watu magaidi jamii ya Sabaya,Makonda,Chalamila na Khenan.Samia = Magufuli.
Kiri na kuweka mzigo kwenye akaunti haraka sana.
Mtaelewa tu vivutio vya utalii nyinyi
Khenan alipiga viboko watu hadharani lakini Magu alikuwa kimya vivyo hivyo kwa Chalamila.
Samia ameanza kuwafagia team JPM wote sasa utasemaje wapo sawa.