mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
huyu anamfuata tuu Lulu siku kabla ya maandamano ili ie kiki ya serikali kuharibu mitandao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ni bora amfuate huyo Lulu yana mwisho kuliko kumfuata Aggyhuyu anamfuata tuu Lulu siku kabla ya maandamano ili ie kiki ya serikali kuharibu mitandao
accm hayaga mchezo, Polepole alimwambia ccm sio daladala kwamba unapanda na kushuka kokote sasa yeye atashukia ukongaalivyo hamia ccm ndo alijua kesi imekwisha, kumbe ndo kwaanza
hawezi alirudi ccm kuepuka haya, hii ni ghereshahuyu anamfuata tuu Lulu siku kabla ya maandamano ili ie kiki ya serikali kuharibu mitandao
Bashite hatatamalaki tena😀Mkuu nahisi umekua wakwanza kuconnect dots. Ila kuna mengi mbele...
Bashite hatatamalaki tena
Safi sana kwa hiyo yule muuaji au mkuu wa wasiojulikana atafanyia kazi TBR ehHapana hii ina mahusiano makubwa na yule jamaa aliyetolewa kule na kupelekwa kuwa katibu tawala
Bashite is now losing grounds
bora likakae jela hata miez3 akili imrudieMahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imemkuta na hatia msanii Wema Sepetu na wafanyakazi wake wawili, kwa kosa la matumizi ya madawa ya kulevya.
Uamuzi huo umetolewa na Hakimu Simba baada ya kupitia ushahidi uliotolewa mahakamani hapo na mashahidi watano wa upande wa mashtaka waliokuwa wakiongozwa na Wakili wa Serikali, Constantine Kakula, na kusema kwamba Wema na wenzake wataanza kujitetea Mei 14 na 15, 2018.
Kabla ya uamuzi huo kutolewa Wakili Kakula aliiambia mahakama kuwa kesi hiyo leo ilipangwa kwa ajili ya uamuzi kama washtakiwa hao wana kesi ya kujibu ama la, na ndipo Hakimu Simba akasema kwa mujibu wa sheria iwapo washtakiwa watapatikana kuwa wana kesi ya kujibu wataanza kujitetea, na ndipo aliposema baada ya kupitia hoja zote zilizowasilishwa mahakamani hapo, imejitosheleza kwamba washtakiwa wote wana kesi ya kujibu katika mashtaka yote, hivyo wana haki ya kisheria kuanza kujitetea.
Wema na wafanyakazi wake wawili wanakabiliwa na kesi ya kutumia madawa ya kulevya aina ya bhangi, na kesi hiyo imehairishwa mpaka Mei 14 mwaka huu.View attachment 754481
Vp mkuu inaonekana una bifu nae.bora likakae jela hata miez3 akili imrudie
sasa mbn unasema amekutwa na hatia????Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imemkuta na hatia msanii Wema Sepetu na wafanyakazi wake wawili, kwa kosa la matumizi ya madawa ya kulevya.
e wawili wanakabiliwa na kesi ya kutumia madawa ya kulevya aina ya bhangi, na kesi hiyo imehairishwa mpaka Mei 14 mwaka huu.View attachment 754481