KISUTU: Wema Sepetu na Wafanyakazi wake wakutwa na kesi ya kujibu! Kuanza kujitetea Mei 14 na 15, 2018

KISUTU: Wema Sepetu na Wafanyakazi wake wakutwa na kesi ya kujibu! Kuanza kujitetea Mei 14 na 15, 2018

Hawawezi kumfunga watasema kifungo au faini na daddy atamlipia faini ya kati ya 1.5 million to 2 million.

Amehukumiwa miaka mingapi?
Ooh sorry kumbe kesi bado?
 
Hawawezi kumfunga watasema kifungo au faini na daddy atamlipia faini ya kati ya 1.5 million to 2 million.
Movie atakayochezewa hamna atakayeamini BAK
DAB siyo mtu wa kumwamini.
Kwanza amehakikisha kamrudisha Wema upande wake na kumgombanisha na wanannchi ili aweze kummaliza vizuri maana wapiga kelele hawapo upande wake tena.
Tunza hii comment utakuja niambia.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imemkuta na hatia msanii Wema Sepetu na wafanyakazi wake wawili, kwa kosa la matumizi ya madawa ya kulevya.

Uamuzi huo umetolewa na Hakimu Simba baada ya kupitia ushahidi uliotolewa mahakamani hapo na mashahidi watano wa upande wa mashtaka waliokuwa wakiongozwa na Wakili wa Serikali, Constantine Kakula, na kusema kwamba Wema na wenzake wataanza kujitetea Mei 14 na 15, 2018.

Kabla ya uamuzi huo kutolewa Wakili Kakula aliiambia mahakama kuwa kesi hiyo leo ilipangwa kwa ajili ya uamuzi kama washtakiwa hao wana kesi ya kujibu ama la, na ndipo Hakimu Simba akasema kwa mujibu wa sheria iwapo washtakiwa watapatikana kuwa wana kesi ya kujibu wataanza kujitetea, na ndipo aliposema baada ya kupitia hoja zote zilizowasilishwa mahakamani hapo, imejitosheleza kwamba washtakiwa wote wana kesi ya kujibu katika mashtaka yote, hivyo wana haki ya kisheria kuanza kujitetea.

Wema na wafanyakazi wake wawili wanakabiliwa na kesi ya kutumia madawa ya kulevya aina ya bhangi, na kesi hiyo imehairishwa mpaka Mei 14 mwaka huu.View attachment 754481
Naomba kueleweshwa... Amekutwa na hatia, halafu anatakiwa akajitetee... !!!! Nilitegemea kukutwa na hatia ni baada ya kujitetea...!!! THEN HUKUMU
 
Naona naye atapewa 'ubalozi' wa kuwaelimisha wenzake madhara ya kutumia bangi kama wale waliofikishwa polisi kwa mbwembwe eti wametumia mitandao ya kijamii vibaya kisha mambo kuyeyuka kama barafu.

Yaani mtu maisha yake ni kupost hata yasiyofaa halafu baada ya dk 5 awe mwalimu wangu wa kunifundisha matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii!!!

Pole WEMA kama kweli unatumia hiyo kitu & pole pia kama hutumii bali mhanga wa njama chafu zilizoshika kasi.
 
Nimeshaitunza dark angel May 14th ni 3 weeks toka leo hii.

Movie atakayochezewa hamna atakayeamini BAK
DAB siyo mtu wa kumwamini.
Kwanza amehakikisha kamrudisha Wema upande wake na kumgombanisha na wanannchi ili aweze kummaliza vizuri maana wapiga kelele hawapo upande wake tena.
Tunza hii comment utakuja niambia.
 
its a recreational drug!
hatushangai makesi kujazana mahakamani!
this a waste of taxpayers money! labda tunazo nyingi!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wanazo trilioni za kulipa faini, hamna shida .
 
Hapo hukumu ni kifungo miaka kadhaa au kulipa faini na atatoa faini basi kesi imeisha
 
Msanii wa bongo movie amekutwa ana kesi ya kujibu katika shtaka linalomkabili la kutumia madawa ya kulevya Uamuzi huo umetolewa na hakimu mkazi wa Mahakama ya kisutu!
 
Back
Top Bottom