Brainy Chick
Member
- Mar 9, 2013
- 64
- 21
Habari wadau wa jukwaa hili!
Naomaba kupata mawazo yenu na tuwe honest. Hivi mnahisi lugha ya kufundishia ikiwa kiswahili kuanzia chekechea hadi chuo tutaweza kuhimili ushindani katika nyanja za kimataifa?? Tukiliweka swala la kazi (jobs) kama kipaumbele katika mjadala huu.
Naomaba kupata mawazo yenu na tuwe honest. Hivi mnahisi lugha ya kufundishia ikiwa kiswahili kuanzia chekechea hadi chuo tutaweza kuhimili ushindani katika nyanja za kimataifa?? Tukiliweka swala la kazi (jobs) kama kipaumbele katika mjadala huu.