Kiswahili fasaha kinatoweka

asante kiongozi kwa hizi spana matata
 
Yaani ni ghafla sana watu hawajui kuandika wala kusema Kiswahili sahihi siku hizi. Matumizi ya uyu/uyo (badala ya huyu/huyo) , aya ( badala ya haya), zarau (badala ya dharau), zalilisha (badala ya dhalilisha), maali( badala ya mahali) n.k yamekuwa mengi sana siku hizi.
 
umesema vizuri mkuu
 
Nafikiri alitaka kufupisha, badala yake angetakiwa kuandika hivi:

Mjombayo = Mjomba yako
Mjomba -ye= Mjomba yake
Mama - ye=Mama yake
sheeda = shida
kudadavua = kufafanua
mi = mimi
ndo = ndio
sa = sasa
itakwaje = itakuwaje
dingi/dingilai/faza = baba
maza/mazeli = mama
 
Wenyewe Sifa zaidi ndio watawala,hivyo basi wenyewe uwezo wanakimbilia mafungu makubwa na ualimu unabaki ....
Elimu yetu inasikitisha sqna.

Uwezo wa kuipaisha tunao lakini naona hakuna mwenye nia hiyo.
 
Ukitaka kujua thamani halisi ya elimu yetu anangalia malipo ya watumishi huko

Watumishi wenyewe mapoyoyo. Kama malipo madogi kwanini hawaendi kufanya kazi zingine kama ukulima au ufugaji?

Kuku wank7enyej7 hatanuwe kijiji cha mbali vipi, wateja wanawafata hukohuko.

Wawache kazi, ndiyo dawa pekee ya kuongezewa mishahara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…