Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Kwa hiyo, ndio si Kiswahili fasaha?= Ndiyo
Hakika watu kama ninyi ndio mnaharibu lugha ya taifa, ndiyo maana taifa haliendelei. Umeona lakini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo, ndio si Kiswahili fasaha?= Ndiyo
Kulinganisha centre vs center, color vs colour au hata salon vs saloon, kamwe hakushabihi uhusiano wa ndiyo vs ndiyo.Center na centre, ipi ni sahihi?
Color na colour, ipi ni sahihi?
Najua ni misamiati ya lugha tofauti. Ila, kuna sehemu nataka kuelekea na hayo maelezo ya utofauti wake….
Ndiyo, nakuja.Ndiyo nakuja.
Ndiyo.Kwa hiyo, ndio si Kiswahili fasaha?
Hakika watu kama ninyi ndio mnaharibu lugha ya taifa, ndiyo maana taifa haliendelei. Umeona lakini?
Lugha nyingi zina lahaja, ikiwemo Kiswahili.Kulinganisha centre vs center, color vs colour au hata salon vs saloon, kamwe hakushabihi uhusiano wa ndiyo vs ndiyo.
Hizo ni tahajia (spelling) tofauti za neno lenye maana moja. Ni kama ambavyo mtu angesema maalum vs maalum au mahususi vs makhususi, hasa vs haswa, nk.
Lakini ndiyo na ndio ni maneno mawili yenye maana tofauti.
Hujanielewa.Ungekuwa unaweka na sentensi kabisa, ungeona jinsi unavyoenda kinyume nyume.
Ndiyo na ndio vyote vinakubali (vinaonesha uyakinifu), isipokuwa muktadha wa matumizi yao ni tofauti.
1. Huwezi kusema ndio nimekubali. Tunasema ndiyo, nimekubali.
2. Ndio hawa walijiunga na chama hivi karibuni. (sahihi)
3. Unaipenda JF - ndiyo au siyo? (Ni makosa kusema ndio au sio!)
NB: Kwa namna gani ndiyo hutumika kama kiunganishi?
"ndio" inaweza kunyambulika zaidi.Kwa mbaali kama naelewa tofauti kati ya 'ndio' na 'ndiyo'.
1. Hawa ndio vijana wenye nguvu.
2. Ndiyo nakuja.
Kwa mifano hii, wataalam mtasema kama nimeelewa au bado
kwenye concept ya lahaja upo sahihi kila lugha huwa na lahaja kama ulivyoeleza.Lugha nyingi zina lahaja, ikiwemo Kiswahili.
Utofauti wa lahaja huwa upo kwenye tahajiia, matamshi, uanuai wa misamiati, na kadhalika.
Ndio na ndiyo, yote ni maneno sahihi ambayo hutumika kwa kubadilishana.
Hicho kijapaniSasa hiyo ndio inatoka wapi?
Najaribu;Mko poa bila shaka
Kiswahili fasaha ni kipi au neno sahihi ni lipi
1. Ndiyo
Au
2. Ndio
Lipi neno sahihi
😅Na kuna wale tunaotumia "ndo"
Yote ni sahihi.Mko poa bila shaka
Kiswahili fasaha ni kipi au neno sahihi ni lipino
1. Ndiyo
Au
2. Ndio
Lipi neno sahihi
Ngeli ya A/WA (mtu, mnyama, nk)Lugha nyingi zina lahaja, ikiwemo Kiswahili.
Utofauti wa lahaja huwa upo kwenye tahajiia, matamshi, uanuai wa misamiati, na kadhalika.
Ndio na ndiyo, yote ni maneno sahihi ambayo hutumika kwa kubadilishana.
Pia, ndio huwa lina maana nyingine kutegemea na muktadha unaotumika.
Neno ndio, katika muktadha mwingine na lahaja tofauti, hutamkwa kama ‘ndo’.
Maelezo yote haya ni kwa mujibu wa kamusi zangu za Kiswahili sanifu.
Wewe una kamusi yoyote ya Kiswahili hapo ulipo?
Tanzania ndiyo nchi pekee inayojivunia na kuimarisha Kiswahili.Najaribu;
*Ndio inatumika kulezea jambo, watu, n.k. Mfano: Hawa ndio vijana wa CCM.
*Ndiyo maana yake ni kubali, itikia au kiri.
Mfano: Tanzania inapatikana Afrika mashariki?...Ndiyo
Hao ni wanangu. Hayo ni manungayembe.Fasaha ni Ndiyo.
Kuna:-
Baadaye na si baadae.
Yeyote(Binadamu) na yoyote(Mazingira)
Hao na hayo ,sahihi ni hao
Nilikuwa naumwa ndiyo maana sikuja shule.Ndiyo - Yes
Ndio - ni conjuction
Nilikuwa naumwa ndio maana sikuja shule.
Je, wewe ni kijana? Ndiyo.
Huu ni mtazamo wangu kwa sababu mimi si mwana kiswahili. Ila katika hata dictionary ya TUKI neno linalowakilisha yes ni ndiyo
Kuna ili na hili ,kuna ilo na hilo.Ndiyo - Yes
Ndio - ni conjuction
Nilikuwa naumwa ndio maana sikuja shule.
Je, wewe ni kijana? Ndiyo.
Huu ni mtazamo wangu kwa sababu mimi si mwana kiswahili. Ila katika hata dictionary ya TUKI neno linalowakilisha yes ni ndiyo
Ataka kuwa mwalimu wa lughaMwachiluwi unajifunza kiswahili sasa?
Chagua
A. ndio
B. ndiyo