Ulimwengu wa sasa jangwa sio issue tena! Kuendelea kulia lia eti jangwa huku mkijisifu mnaongoza kiuchumi sijui wapi ni kijitekenya wenyeweIsingekua kujituma kwetu, haka kainchi kenye nusu jangwa hakangeongoza Afrika Mashariki na kati kwa kila kitu kielimu, kiuchumi, kijeshi n.k.
Ha ha haaaaa!Kamsaidie huyu huku What is Wrong with Tanzania?!. Tunashindwa Nini Kufikisha Bidhaa Zetu Kwenye Masoko ya Kimataifa?!.
Tanzania kama nchi, tunakabiliwa na tatizo kubwa la Wafanyabiashra wa Tanzania, kushindwa kuingiza bidhaa zetu kwenye masoko ya kimataifa!, tatizo ni nini?!.
Mifano.
Tanzania ndiye mzalishaji pekee wa madini ya Tanzanite, lakini katika masoko ya kimataifa, nchi inayoongoza kwa kuuza Tanzanite ni India, ikifuatiwa na Afrika Kusini, Lebanon, Kenya halafu ndio sisi wenye Tanzanite zetu. Kwa vile Tanzanite inapatikana Tanzania pekee, data za export market ni zile za cut and polished stones, hii inamaanisha ni Tanzanite nyingi inachimbwa na kuuzwa un cut kuliko ile tunaicharanga wenyewe!.
Tanzania iko kwenye top ten wazalishaji wa korosho. Mnunuzi mkuu wa Korossho ya Tanzania ni India akifuatiwa na Kenya, lakini kwenye urari wa soko la processed nuts, Kenya ana export korosho nyingi zaidi sokoni kuliko Tanzania, huku sisi tukiuza korosho isiyobanguliwa!.
Kwenye nchi za Afrika Mashariki, Kenya ndio inaongoza kwa kuuza vinyago ulaya, na hakuna nchonga vinyago Kenya, vyote wananunua kutoka Tanzania, Kenye ndiye muuzaji mkuu wa unga wa sembe kwenye masoko ya ulaya, lakini mahindi yote wananunua kutoka Tanzania!.
Kwenye fursa za AGOA, Watanzania tumeshindwa kuchangamkia hiyo fursa!, Wakenya wanakuja Tanzania, wananunua bidhaa, na kupeleka Kenya, kule wana process na packing na branding, then zinaingia masoko ya kimataifa as products of Kenya!. What is wrong with sisi Watanzania?!.
Katika kusaidia kwenye hili, Taasisi ya Trademark East Africa, inajaribukutusaidia!.
MICHUZI BLOG: Taasisi ya TradeMark East Africa (TMEA) yazijengea Uwezo bidhaa za Tanzania kuingia masoko ya kimataifa.
Babu zao walipasuliwa hadi mapumbu na hao english people.Unajisifia kutumia lugha ya mkoloni wako hadi leo?babu zako waliochapwa bakora enzi zile na bib zako waliokua rapped na mkoloni na mateso akisikia hii atahuzunika sana.
Kupanda matatu haiakisi njaa pande hiziMwenye njaa anagari na wewe ulieshiba bado wapanda matatu???
Raia mbona tunanufaika pakubwa sana, nchi zote sadc tunaingia pasi na shaka ya makaratasi, unlike you guys, ndio maana mnatuonea gere.Mahusiano baina ya nchi kwenye ngazi za kiserikali ni jambo la kawaida kote ulimwenguni, lakini hakuna kitu cha maana na cha msingi kama kuwepo na ushirikiano baina ya raia. Hivyo kututambia hapa kwamba rais wenu au Zuma huja Tanzania kukenua ilhali huko chini baina ya raia hapaeleweki ni upuzi.
Nakumbuka kuna siku hata Kikwete alialikwa kushangaa wasichana wakicheza uchi mbele ya mfalme Mswati ili huyo mfalme achague mke humo. Hayo mtayafanya na mnayafanya maana mlimwaga 'damu' huko, lakini cha msingi ni raia wananufaika vipi kwenye uhusiano. Uwekezaji baina ya nchi husika na sio ubebabji wa mabox na kuzamia ovyo.
Dude u are an idiot, Patheticasante...i have learned something new in the language of inferiors
Superior in what
Uku nchi yenu inauchumi wa wazungu na sio wenu nyie
Tanzania uchumi wake ni from watanzania but kenya ni makampuni ya nje ndo yameshika uchumi wenu
View attachment 505742 ila wakenya Inaonekana kwao kuna njaa saana maana siku hizi wamejaa hapa Mwanza ndo wafanyakazi wa ndani cheap kuliko wote wameamishia mpaka magari yao Yale ya matatu hapa.
Bahati mbaya yana mirangi ya hovyo ya njano hivyo watu hawapandi wakidhani ni school bus. Ni Mimi tu ndo huwa nawaonea huruma napanda ili wasife njaa wakiwa ugenini.
Hapa mwanza wamenyooka wamejifunza kiswahili na kisukuma ili wafanane na wenyeji.
Hongera kwa ung'amuzi huo. Sisi TZ tulilijua hilo toka enzi zile tunapata Uhuru.
Wakenya mna MAHABA na TZ ndo maana mmejaa kila kona ya Tanzaniasometimes I do wonder if these Tanzanian on JF are normal ,things that they post ,threads that they create are so disgusting .someone to help me please ,are these fox insane or normal?,,in the first place who told them that Swahili was invented in Tanzania ,? and who told them that Kenyans don't know Swahili is when they are learning it? watanzania jameni muache kujitia hizi aibu ndogo ndogo ambazo hazina maana ,inafanya muonekane kama wapumbavu wakupindukia .rudini mkasome vitabu chimbuko la kiswahili na muache kujitia aibu.aaii mnafanya hata niogope Kuwa na marafiki watanzania jameni haya mambo gani?
Mkenya wa kawaida ataelewa sheng vizuri sanaMbona hii sheng ni kama lugha ya kuzimu haiielewek kabisa [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Wakenya mnakidharau kiswahili ila siku si nyingi watadai ni chakwenu na nyinyi ndiyo wamekiendeleza kimataifa baada ya kuona kinatoa matunda kama sasa ilivyo kwenye kazi za sanaa mfano bongo flaveIs this supposed to be a surprise? For many decades, Swahili has always been a unifying factor in Kenya...not just now....so is English...although 'Kiswahili Sanifu' is a challenge for many Kenyans except the ones from the coast (wapwani), it brings Kenyans together. many Kenyans prefer to speak English or Sheng' though and not Kiswahili Sanifu kama tz...ni lugha ya kishamba huku
Sio kweli wapo vijana wengi vijijini kingereza hasa spoken shida. Sio siri kiswahili kinapanda chati Kenya hasa kutokana na kushamiri swahili fm radio na watangazaji mahiri wa lugha hii.utashangazwa! wakenya wengi hata wale wasio na masomo ya juu wanaelewa kiingereza vizuri tu...View attachment 505704
Kuzungumza ndio shida especially wale wakongwe...kama ni vijana, wote wnazungumza Kiingereza hata kama ni mashambani...tuseme kiingereza ya mkenya wa darasa la pili ni bora kuliko ya mtz wa shule ya upili
[emoji1] [emoji1] [emoji1]1. Ile maneno
2. Nimeingia kwa mulango nikatokea kwa dirisa
3. Mavijanaaa
4. Wakora
Foreigners kwako ni race, naona umemuweka Mzanzibar Bakhresa kama ni si mtanzania, nadhani na akina Dewiji pia wale wanyiramba wa Singida, Azizi Abood mluguru wa Morogoro, Shabiby mkaguru wa gairo wote kwako ni foreigners simply ni waarabu.Stupid man. Uchumi gani umeshikwa na Watanzania wakati you own nothing in Dar es Salaam? Indians and Arabs own you like shit. All your big companies are either external (Akina Vodacom) or Indian/Arab (akina Bakhresa). All those hotels in Dar and Arusha you keep bragging of non is owned by black Tanzanians. Kama kuna nchi inayomilikiwa na foreigners East Africa ni Tanzania. Heri Muganda angeongea. At least they have a bigger grasp on their economy
Dhambi ya ubaguzi itawatafuna hadi siku mnaingia kaburini!Stupid man. Uchumi gani umeshikwa na Watanzania wakati you own nothing in Dar es Salaam? Indians and Arabs own you like shit. All your big companies are either external (Akina Vodacom) or Indian/Arab (akina Bakhresa). All those hotels in Dar and Arusha you keep bragging of non is owned by black Tanzanians. Kama kuna nchi inayomilikiwa na foreigners East Africa ni Tanzania. Heri Muganda angeongea. At least they have a bigger grasp on their economy