Kiswahili is now a unifying factor of Kenya

Kiswahili is now a unifying factor of Kenya

Kenyans ni sawa na mtoto alierith mali za baba yake halaf anapita mtaani kujitambishia..crazyassniggaz.
Hapa hawataki kabisa kusikia, ila huu ndo ukweli ulio dhahiri kabisa. Tangu 1918 East Africa ikawa chini ya ukoloni wa makoloni mmoja, Mwingereza. Kuanzia hapo maendeleo ya Kenya yalipoanza kutupita, Mwingereza huku akijua kwamba Tanganyika si yake ya kudumu, hakufanya lolote la maana.

Hakujenga viwanda wala shule wala uwekezaji mkubwa hapa, alichuma Tanganyika na kujenga Kenya. Hili wakenya si kwamba hawalijui, bali wanajitia wehu tu kutoliweka wazi. Eti ni kwa akili zao.
 
Haya makelele ya utumiaji wa Kiswahili mbona huwa hamyaelekezi kwa majirani wenu wengine, kama vile Msumbiji, Malawi n.k.
Kila siku mnalialia eti Wakenya Kiswahili hawakitaki.
Inafaa iwaingie kama jinsi nimesema mara nyingi humu, kwamba Wakenya tunaongea lugha nyingi na ni vigumu kutufuga kwenye zizi moja kama alivyofanya Nyerere kwa Watanzania. Kenya tuna uhuru wa kutumia lugha tunazotaka bila shinikizo lolote.
Kiswahili tunakipenda, lakini pia tunapenda lugha zetu za asili na tunazitumia sana pamoja pia na lugha za kigeni kama Kingereza.
Utafiti umedhihirisha kwamba uwezo wa kutumia lugha kadhaa huwa unaboresha mtu hata kifikira.

Halafu mambo ya ubaguzi wa kikabila au aina yoyote ile hauletwi au kuzuiwa na lugha, maana Somalia kule wanaongea lugha moja, dini moja lakini hawana nchi, kutwa kulipuana na kuchinjana. Kuna matukio mengi hata ya kihistoria ambapo watu wanaotumia lugha moja ila walichinjana tu, nenda hata hapo Rwanda.

Ubaguzi upo kwenye fikira na mawazo ya mtu, nyie hapo kuna chembe chembe za ubaguzi kwa misingi ya dini, kitu ambacho nimekiona na sio kuhadithiwa wala nini. Hivyo hapa kwetu tunajaribu jinsi nyingi za kumaliza ubaguzi wa ukabila ambao uliletwa na mzungu hata kabla hatujapata uhuru, mzungu alitugawa kwenye divide and rule mechanism. Kwenu hakua na haja maana alihodhi nchi kutoka kwa Mjerumani hivyo alijua ataachia na hakua na nia ya kung'ang'ania.
Kwani Msumbiji nao yameshaanza michakato ya kuwa sehemu ya Jamhuri kubwa ambayo Tanzania ni sehemu yake?

Lugha ni moja ya njia ya kuleta umoja na utengamano miongoni mwa wanajamii,zipo nyingi, kwa uzoefu toka Tanzania, sera na sheria mbalimbali nazo zilitumika pia, mfano sera bora za ardhi ziliruhusu kirahisi muingiliano baina ya makabila, sera ya ujamaa na kujitegemea ukiweka usawa na utaifa ktk maswala yote, kiuchumi, kijamii na kisiasa.

Ninyi mbinu mnazozitumia hazina tija na bora kuziacha na kuijaribu zilizofanikiwa. Usitarajie ukabila Kenya kwisha, wakati kuna utengano wa kiuchumi na sera haziwapi fursa sawa kwa waliozikosa, mfano, elimu ya msingi msinge idapt yetu ya wote na kwa lazima, kungekuwepo tu na tabaka la wajinga wa kudumu. Fikieni na kwenye ardhi, nk.
 
ona ulivyo na roho ya shetani,ulisikia wapi ni mabwana zetu,tulijitolea katikakuhakikisha wanapata uhuru wao,wakati nyie mkiwa upande wa makaburu,inawauma sana sisi kuwa na mahusiano mema nao....aua inawauma sisi kuwa SADC...toa huu ufala wewe

Hao Afrika Kusini mnaowashobokea hadi kiherehere cha kwenda kumwaga damu yenu eti mnawakomboa, juzi walipokua wanafukuza Waafrika wenzao hata nyie mlichezea kichapo.

Leo hii Wakenya wamewekeza kwao zaidi yenu ambao mumejazana kwao mkibeba mabox.
 
Alafu pia naona watanzania we go hamjui maana ya ukabila.... Vile mlivyofundishwa na nyerere mkaacha mila na desturi zenu za asili hua imewafanya mnachukia kabila zenu eti mkiongea lugha moja ndo taifa moja... Huo ni upuzi!!!


Sisi kama wakenya hua tuko na filosofia tofauti, sisi tunaamini kwamba hats kama tuko na mila tofauti kama wakenya, haijalishi maanake sote ni wakenya wa matabaka mbali mbali tunaoipenda nchi yeti, na mimi kua Mkenya halisi haitokani na lugha ninayoiongea wala rangi au nywele, Mkenya anaipenda nchi yake awe mluya, msomali, mkamba mkikuyu....... lakini kwa bahati mbaya, kulitokea 'ukabila' kwasababu ya mapendeleo yaliyofanywa na wanasiasa kwa watu wao, na mwishowe ikawa kama janga, Lakini hats hivyo ukiangalia vitu kama cultural shows au music festivals wakenya wengi zaidi hua wanafurahia tamaduni za Makala tofauti ndani ya kenya yanavyo jivunia asili zao za kiafrika....
Nina imani siku moja tutaondoa ukabila kabisa hapa kenya, na tukifanya hivyo tutakua nchi ilioungana kabisa kushinda nchi yoyote hapa Africa, manaake upendo wa nchi yetu unatokana na idealogia moja ya kwamba sisi ni wakenya, haijalishi unaongea lugha ghani wala unasura ghani, sote ni wakenya
Huijui Tanzania wewe, kila mtanzania nje ya utaifa wetu tuna mila na desturi zetu toka kwa makabila yetu lugha zetu zikiwepo. Ila kuna ideology ya UTANI imejengwa, kwahiyo ktk kuthamini au kujitambulisha kimakabila dhima kuu hapa inakuwa ni kutaniana tu na si nje ya hapo. Sisi tunautajiri wa lugha za asili na tamaduni nyingi kuliko taifa lingine lolote E. Africa, tuna makabila zaidi ya 120. Yote yana lugha na tamaduni zake.
 
Mbona mabwana zenu mnaowabudu south Africa Wana lugha rasmi kumi Na Moja zikiwemo za kukabila. Mbona Tanzania msiwatumia ujumbe wageuza wawe kama nyinyi. Na kwa habari yenu wenye midomo buggy Tanganyika, kiswahili chimbuko ni Kenya. Pili Kenya imefaidi zaidi kiuchumi Tokana kiswahili kuliko nyie! Mfano tafsili ya Google Na kdhalika......narudi nasubiri povu kwanza...
Sasa ulichoongea ni nini mbona nadhani ndio povu na kuonesha utumwa wa ubongo uliopitiliza? Asili ni yenu "kingozi,na hapa pia ukumbuke hii ni nadharia tu, ipo nyingine inayosema kiswahili kimetoka Kongo" halafu bado mko na utumwa kwa lugha ya kigeni na kuiona bora kuliko yenu. Bora usingesema hili.
 
Watanzsnia we go hapa wanaongea kana kwamba Kiswahili ni cha, hivi kwani hamjui kwamba kuna lahaja zaidi ya ishirini za Kiswahili??? Za kutoka pemba, unguja,Mombasa,Lamu .....


Eti mko na shida na sheng ya Kenya..... Si kiswahili pia kilianza kama aina flani ya sheng kutokana na watu waliofanya biashara pwani ya EA, lugha ikatokea hapo, ndani ya kiswahili kuna maneno mengi sana ya kiarabu, pia nakumbuka nilihuzunika sana nilipoambiwa kwamba maneno mengi ya swa yametoka kwa lugha ya portugees waliotembelea EA kama kina vasco dagama...maneno kama kopo,leso, pesa!,mvinyo,benders,bomba,pera,karats,danguro,buli,muhogo.... Alafu maneno ya kiarabu hata ndo usiulize..... Alafu vyakula vya uswahilini kama pilau ni vya kiarabu, biriani ni chakuka cha Iran!
Kwani kuna lugha inayojitegemea yenyewe duniani? Ktk lugha chotara duniani kingereza ndo nambari moja, kimekopa hadi msamiati wa kiswahili.
 
hehe usipandwe na povu kwasababu hatudhamini lugha ya Kiswahili...this is just how we were brought up...and also coz tanzanians are inferiors...we cant speak language of Inferiors...😀😀😀😀😀😛😛
Hii lugha imenifanya nipate mademu wengi sana wa kikenya college, lugha ya kishamba ila dada zako wanaipenda sana.
 
that is just formal and it comes from the govt forcing ppl to learn it in schools and also use it in News...ila ukija mtaani ndio utajua hakuna anayekidhamini...kwa mfano news ya saa moja ambayo ni ya kiswahili huwa ya dakika 20 na hakuna anayeitazama...ya kiingereza on the other hand ni ya masaa mawili...magazeti na vipindi vya kiswahili ni chache sana...za kuhesabika...kama Sheng' ingekubaliwa kutumiwa shuleni na ktk habari, basi Kiswahili kingetupiliwa mbali kitambo...forgive my Kiswahili...its not my fault its just the way we grew up...ntakupa mfano huu...nilipokuwa shuleni, kulikuwa na siku nne rasmi za kuzungumza kiingereza (monday to thursday) na ungepatikana ukizungumza kiswahili ungepewa kichapo cha mbwa....siku ya Ijumaa pekee ndio tulikubaliwa kuzungumza Kiswahili...
This is the norm in many of Kenya's towns and cities
Examples
Sheng Standard English (translation)
Huu msee ni fala! This guy's an idiot!
Si unidungie chwani? Can you please give me fifty shillings?
Acha kubonga mavi mdhii. Stop talking smack, man.
Ukivuta fegi utajiletea noma If you smoke cigarettesyou'll get yourself in trouble.
Ule dame amechapa! That girl is ugly!
Maisha ni gwan bana. Life is hard man.
Kuja utugawie hizi njiva. Come and share your fries with us.
Budake alishikwa na makarao. His dad was caught by the police.
Aliibiwa mbota na mboch. His watch was stolen by his housegirl.
Aliona magondi akaingiza njeve. He got scared when he saw some thugs.
Budake ni mzii. His father is tough/bad.
Mokoro aliniwai rwabe nikamchekie ka kwota. My mother gave me 200 shillings to go buy a quarter kilogram of meat.
Alirauka gware ndo asihate mat za kwenda kwao moshatha. He woke up early so as not to miss a matatu to his rural home.
Samahani Je? Mshamba hapa atakua yule mwafrika anaeona ujanja kuzungumza lugha ya wazungu na ufahari wa ulaya huku akijivunia uzungu asiokua na asili nao ...

Au ... Mshamba ni yule Mwafrika anae zunguza lugha ya Afrika kwa fahari ya Afrika huku akijivunia lugha alioyokua na asili nayo !!! ... ????

Mfano ... kama Wachina, Wajapani, Warusi na baadhi ya nchi za ulaya Mashariki

Kabla ya yote ... unaelwa tafsiri ya neneo mshamba au kumuita au kumuona mtu kua ni mshamba ... ni sawa na kumuonaje?
 
Kwani kuna lugha inayojitegemea yenyewe duniani? Ktk lugha chotara duniani kingereza ndo nambari moja, kimekopa hadi msamiati wa kiswahili.
Lugha za urusi,giriki,kichina ..... Anyway haijalishi........ mbona basi watz mnaingilia wakenya kuhusu sheng? Pili pili msio ila..
 
Hao Afrika Kusini mnaowashobokea hadi kiherehere cha kwenda kumwaga damu yenu eti mnawakomboa, juzi walipokua wanafukuza Waafrika wenzao hata nyie mlichezea kichapo.

Leo hii Wakenya wamewekeza kwao zaidi yenu ambao mumejazana kwao mkibeba mabox.
kubeba mabox....hv kati yenu na sisi nani anaongoza kubeba mabox kwa watu?,..mlivo na roho mbaya sasa,ati tulijipendekeza kuwakomboa na kumwaga damua zetu,kwa taarifa yako hatukujipendekeza,ilikuwa ndo agenda ya O.A.U kwa kipindi hicho,wanafiki na waoga kama nyie mlirudi nyuma nakubaki kunusa mikundu ya wazungu wakati sisi tulisonga mbele,si lazima historia ikumbukwe leo,ila uzuri wa historia haifutiki,itakumbukwa tu.
Lakini asante kwa kutambua kwamba tulimwaga damu,na unajua madhara ya watu kumwaga damu kwa ajili ya wengine?,hamuwezi elewa kwa mpaka roho ya unafiki iwatoke...

Nyie ni wajuvi wa kuwekeza kwenye umbea na unafiki....shenzy type!
 
kubeba mabox....hv kati yenu na sisi nani anaongoza kubeba mabox kwa watu?,..mlivo na roho mbaya sasa,ati tulijipendekeza kuwakomboa na kumwaga damua zetu,kwa taarifa yako hatukujipendekeza,ilikuwa ndo agenda ya O.A.U kwa kipindi hicho,wanafiki na waoga kama nyie mlirudi nyuma nakubaki kunusa mikundu ya wazungu wakati sisi tulisonga mbele,si lazima historia ikumbukwe leo,ila uzuri wa historia haifutiki,itakumbukwa tu.
Lakini asante kwa kutambua kwamba tulimwaga damu,na unajua madhara ya watu kumwaga damu kwa ajili ya wengine?,hamuwezi elewa kwa mpaka roho ya unafiki iwatoke...

Nyie ni wajuvi wa kuwekeza kwenye umbea na unafiki....shenzy type!

Mambo ya kumwaga damu nyie ndio huwa mnaimba imba kama wimbo hivyo sio kwamba nimeitambua wala nini, kule Afrika Kusini kiherehere cha kwenda kumwaga damu halafu leo hii wanawaona kama ovyo. Wakiwafukuza wabeba mabox, nyie pia hamkuachwa, mlipokea kichapo cha umbwa pamoja na wimbo wenu wa kumwaga damu.

Leo hii Wakenya wamewekeza sana huko SADC nyie mkitegemea kuzamia na kubeba mabox.
 
Niliwahi kukutana na Wakenya wawili hivi karibuni bidada na njemba wanazungumza Kiswahili kizuri sana kama wabongo kabisa, kwenye matamshi ya maneno machache sana ndiyo utawastukia kwamba hawa si Wabongo.

KIswahili kinakua kwa kasi kubwa nchini Kenya. This language is breaking down all the burriers of tribalism in Kenya. Kiswahili kinabomoa kwa kasi ukabila nchini Kenya. Wakenya sasa wako wamoja kwasababu ya matumizi makubwa ya Kiswahi. Kaimu Raisi W. Ruto jana aliongea kiswahili kizuri sana.Hongera sana Ruto kwa kupromot Kiswahili. You are good in Swahili.
 
Kwani Msumbiji nao yameshaanza michakato ya kuwa sehemu ya Jamhuri kubwa ambayo Tanzania ni sehemu yake?

Lugha ni moja ya njia ya kuleta umoja na utengamano miongoni mwa wanajamii,zipo nyingi, kwa uzoefu toka Tanzania, sera na sheria mbalimbali nazo zilitumika pia, mfano sera bora za ardhi ziliruhusu kirahisi muingiliano baina ya makabila, sera ya ujamaa na kujitegemea ukiweka usawa na utaifa ktk maswala yote, kiuchumi, kijamii na kisiasa.

Ninyi mbinu mnazozitumia hazina tija na bora kuziacha na kuijaribu zilizofanikiwa. Usitarajie ukabila Kenya kwisha, wakati kuna utengano wa kiuchumi na sera haziwapi fursa sawa kwa waliozikosa, mfano, elimu ya msingi msinge idapt yetu ya wote na kwa lazima, kungekuwepo tu na tabaka la wajinga wa kudumu. Fikieni na kwenye ardhi, nk.

Lugha ni mojawapo wa kuleta uetngamano lakini sio njia ya pekee, nimekupa mifano ya nchi ambazo zinatumia lugha moja lakini waliishia kuchinjana.
Unafaa uafahamu Watanzania na Wakenya tuna milengo na malengo tofauti, tuna falsafa tofauti, nyie mlizoea kufungiwa ndani na Nyerere kwenye experiments/majaribio yake ya ujamaa ilhali sisi tuliachwa kila mtu atumie akili na mawazo yake. Mtanzana akija Kenya anaishia kushangaa mfumo wa maisha, naye Mkenya akiingia Tanzania anashangaa mfumo wao wa maisha maana tupo tofauti kimtazamo na kimaisha. Hatuwezi kuendana na hatutaendana.

Sera yenu ya ardhi ni mbovu pia na juzi mlijaribu kurekebisha lakini ikawashinda, pamoja na kwamba mna ardhi kubwa yenye raslimali kila eneo lakini unakuta kuna matukio ya mizozo ya ardhi na watu kupoteza maisha, sasa unashangaa ardhi yote hiyo ya nini, bora sisi tunweza kusema ardhi yetu ndogo na nusu ya nchi ni jangwa tupu na kame. Tatizo uvivu wenu kifikira.

Takwimu zimeonyesha Watanzania asilimia 70% ni maskini, Tanzania Mainland Poverty Assessment: A New Picture of Growth for Tanzania Emerges
Nchi yenyewe mna kila aina ya raslimali, yaani mna utajiri kushinda nchi zote kwenye suala la raslimali lakini nyie maskini wengi wa kutupwa. Hivyo hatuwezi kufanana, kuendana, au kuwa na mitazamo inayoendana maana bado experiments za Nyerere hazijawatoka akilini.
 
Wakenya bwana hujitukuza sana kwa Kiingereza tena sana, ukienda kule wewe mtz cha kwanza watakwambia watz hamjui kizungu wao Kiingereza wanasema kizungu, ila wanajisikia sana na Kiingereza Chao, mimi huwa wanakataa kama mtz eti kisa naongea sana kizungu Chao, nikiwaambia mimi mtz wananiambia labda umesomea Kenya nawaambia nimesoma tz full, namwaambia watz si kama hawajui English ila hawajaitilia maanani lugha hiyo, pia wanaojua hawapendi kuzungumza, ukimkuta mkenya yuko full kwa English na mtz full English basi mtz anaongea English nzuri sana kuzidi mkenya, wao kiswahili hawajui, English mbaya
 
Mambo ya kumwaga damu nyie ndio huwa mnaimba imba kama wimbo hivyo sio kwamba nimeitambua wala nini, kule Afrika Kusini kiherehere cha kwenda kumwaga damu halafu leo hii wanawaona kama ovyo. Wakiwafukuza wabeba mabox, nyie pia hamkuachwa, mlipokea kichapo cha umbwa pamoja na wimbo wenu wa kumwaga damu.

Leo hii Wakenya wamewekeza sana huko SADC nyie mkitegemea kuzamia na kubeba mabox.
sasa kwa taarifa yako,mahusiano ya nchi za SADC yapo katika ngazi ya kiserikali,mtu binafsi ana haki ya kuamua atakavyo,kwa hiyo kama Watz ni miongoni mwa waliofukuzwa ni sawa,kwa sababu lile halikuwa ni tamko la Serikali,.....sawa wauza miraa ni wawekezaji pia
 
Tz is the richest country in EA. Tz inaipita kenya kiuchumi kwa kasi kubwa sana. Kenyans are killing each other bcoz of tribalism which was strategically planted by colonialists. Colonialists discouraged th use of Kiswahili so that Kenyans should remain divided for th beneft of colonialists. This is a Roman principle to colonise and rule colonies "Divide et Empere". Colonialists promoted th use of colonial language and traditional languages so that kenyans should remain divided. Sasa wakenya wamegundua that colonial sin,sasa Kenya kiswahili kinatumika sana karibu kila sehemu.Swahili is now the language of politics. Hongera sana Uhuru Kenyata na W.Ruto kwa kutambua kuwa Kiswahili ni tool itakayopoteza,kuua na kuangamiza ukabila.
 
Tz is the richest country in EA. Tz inaipita kenya kiuchumi kwa kasi kubwa sana. Kenyans are killing each other bcoz of tribalism which was strategically planted by colonialists. Colonialists discouraged th use of Kiswahili so that Kenyans should remain divided for th beneft of colonialists. This is a Roman principle to colonise and rule colonies "Divide et Empere". Colonialists promoted th use of colonial language and traditional languages so that kenyans should remain divided. Sasa wakenya wamegundua that colonial sin,sasa Kenya kiswahili kinatumika sana karibu kila sehemu.Swahili is now the language of politics. Hongera sana Uhuru Kenyata na W.Ruto kwa kutambua kuwa Kiswahili ni tool itakayopoteza,kuua na kuangamiza ukabila.
 
Tz is the richest country in EA. Tz inaipita kenya kiuchumi kwa kasi kubwa sana. Kenyans are killing each other bcoz of tribalism which was strategically planted by colonialists. Colonialists discouraged th use of Kiswahili so that Kenyans should remain divided for th beneft of colonialists. This is a Roman principle to colonise and rule colonies "Divide et Empere". Colonialists promoted th use of colonial language and traditional languages so that kenyans should remain divided. Sasa wakenya wamegundua that colonial sin,sasa Kenya kiswahili kinatumika sana karibu kila sehemu.Swahili is now the language of politics. Hongera sana Uhuru Kenyata na W.Ruto kwa kutambua kuwa Kiswahili ni tool itakayopoteza,kuua na kuangamiza ukabila.
 
Tz is the richest country in EA. Tz inaipita kenya kiuchumi kwa k
achana na hawa mafala hawajitambui
AfricaIMG-20170415-WA0002.jpg
 
sasa kwa taarifa yako,mahusiano ya nchi za SADC yapo katika ngazi ya kiserikali,mtu binafsi ana haki ya kuamua atakavyo,kwa hiyo kama Watz ni miongoni mwa waliofukuzwa ni sawa,kwa sababu lile halikuwa ni tamko la Serikali,.....sawa wauza miraa ni wawekezaji pia

Mahusiano baina ya nchi kwenye ngazi za kiserikali ni jambo la kawaida kote ulimwenguni, lakini hakuna kitu cha maana na cha msingi kama kuwepo na ushirikiano baina ya raia. Hivyo kututambia hapa kwamba rais wenu au Zuma huja Tanzania kukenua ilhali huko chini baina ya raia hapaeleweki ni upuzi.
Nakumbuka kuna siku hata Kikwete alialikwa kushangaa wasichana wakicheza uchi mbele ya mfalme Mswati ili huyo mfalme achague mke humo. Hayo mtayafanya na mnayafanya maana mlimwaga 'damu' huko, lakini cha msingi ni raia wananufaika vipi kwenye uhusiano. Uwekezaji baina ya nchi husika na sio ubebabji wa mabox na kuzamia ovyo.
 
Back
Top Bottom