Kiswahili is now a unifying factor of Kenya

Kiswahili is now a unifying factor of Kenya

Foreigners kwako ni race, naona umemuweka Mzanzibar Bakhresa kama ni si mtanzania, nadhani na akina Dewiji pia wale wanyiramba wa Singida, Azizi Abood mluguru wa Morogoro, Shabiby mkaguru wa gairo wote kwako ni foreigners simply ni waarabu.

Tanzania hauko hivyo, na ulipoambiwa Kenya inamilikiwa na foreigners walimaanisha ni watu wa mataifa mengine si kwa race zao bali utaifa wao.
Ndiyo maana Kenya wana ukabila na kubaguana sababu hizohizo za kutotambua kwamba waarabu na wahindi ni wazaliwa wa Tanzania.
 
Stupid man. Uchumi gani umeshikwa na Watanzania wakati you own nothing in Dar es Salaam? Indians and Arabs own you like shit. All your big companies are either external (Akina Vodacom) or Indian/Arab (akina Bakhresa). All those hotels in Dar and Arusha you keep bragging of non is owned by black Tanzanians. Kama kuna nchi inayomilikiwa na foreigners East Africa ni Tanzania. Heri Muganda angeongea. At least they have a bigger grasp on their economy
mapovu mob whilst you don't know shit abt Tz, all hotels na all big companies in Arusha and dsm zipo owned na Indian/ Arabs? That is so wrong and stupid, kwanza kuna hotels kibao nje ya Arusha na dsm. Tz hao waarabu wahindi waliotusua ni wazaliwa wa hapa hapa na ni wachache sana, unlike shamba lenyu la bibi lenye sera za uraia mbili wakati % kubwa ya waZawa mpo kwenye lindi la umaskini.

Kajinyeeni
 
sometimes I do wonder if these Tanzanian on JF are normal ,things that they post ,threads that they create are so disgusting .someone to help me please ,are these fox insane or normal?,,in the first place who told them that Swahili was invented in Tanzania ,? and who told them that Kenyans don't know Swahili is when they are learning it? watanzania jameni muache kujitia hizi aibu ndogo ndogo ambazo hazina maana ,inafanya muonekane kama wapumbavu wakupindukia .rudini mkasome vitabu chimbuko la kiswahili na muache kujitia aibu.aaii mnafanya hata niogope Kuwa na marafiki watanzania jameni haya mambo gani?

Mnashangaza, mnapondea wa tz ni insane and yet you cant stop logging in JF.
 
mapovu mob whilst you don't know shit abt Tz, all hotels na all big companies in Arusha and dsm zipo owned na Indian/ Arabs? That is so wrong and stupid, kwanza kuna hotels kibao nje ya Arusha na dsm. Tz hao waarabu wahindi waliotusua ni wazaliwa wa hapa hapa na ni wachache sana, unlike shamba lenyu la bibi lenye sera za uraia mbili wakati % kubwa ya waZawa mpo kwenye lindi la umaskini.

Kajinyeeni
Shamba la bibi? Unamaanisha?
 
Shamba la bibi? Unamaanisha?
Wewe unadhani huo msukumo wa nyinyi kuingia epa unatoka wapi, unatoka kwa hao waliomonopoly mashamba yenu majority yenye rutuba na kuotesha maua na chai.
Issue ya epa nyie mnaitazama kimasihara sana ila ni issue kubwa sana jamaa, sababu hadi UN wametoa ushauri msiingie epa, but your government keeps on insisting ilhali tukiweka ushabiki pembeni, kutwo ingia nao huo mkataba wenye hayo masharti ndio move sahihi. Sasa wakenya hamjiulizi who's behind that, alafu mkija huku mnajifanya kutetea serikali yenu, kisa uzalendo. Ambia serikali yenu iweke mdahalo wa hili suala mubashara kwenye maluninga kbc na tbc, proposers from Kenya and opposers from Ug, Tz na UN uone venye watakavohepa.
 
Wewe unadhani huo msukumo wa nyinyi kuingia epa unatoka wapi, unatoka kwa hao waliomonopoly mashamba yenu majority yenye rutuba na kuotesha maua na chai.
Issue ya epa nyie mnaitazama kimasihara sana ila ni issue kubwa sana jamaa, sababu hadi UN wametoa ushauri msiingie epa, but your government keeps on insisting ilhali tukiweka ushabiki pembeni, kutwo ingia nao huo mkataba wenye hayo masharti ndio move sahihi. Sasa wakenya hamjiulizi who's behind that, alafu mkija huku mnajifanya kutetea serikali yenu, kisa uzalendo. Ambia serikali yenu iweke mdahalo wa hili suala mubashara kwenye maluninga kbc na tbc, proposers from Kenya and opposers from Ug, Tz na UN uone venye watakavohepa.
Owning farms ni so 19th century man. there are other things to do
 
sometimes I do wonder if these Tanzanian on JF are normal ,things that they post ,threads that they create are so disgusting .someone to help me please ,are these fox insane or normal?,,in the first place who told them that Swahili was invented in Tanzania ,? and who told them that Kenyans don't know Swahili is when they are learning it? watanzania jameni muache kujitia hizi aibu ndogo ndogo ambazo hazina maana ,inafanya muonekane kama wapumbavu wakupindukia .rudini mkasome vitabu chimbuko la kiswahili na muache kujitia aibu.aaii mnafanya hata niogope Kuwa na marafiki watanzania jameni haya mambo gani?
He he heee, naona povu linakutoka kweli kweli huku utando mweupe ukiongezeka pembezoni mwa midomo yako[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23].

By the way what are you doing here if the threads that we create keeps disgusting you? Only a moron can can do that! I bet you are such a person!

And kabla sijamaliza, Hakuna mtu kasema kiswahili kilianzia Tz, bali tumesema tunakienzi, Unlike huko kwenu ambapo mkenya Mwenzio anatwambia kuwa mawazo yenu ya kikoloni yanawatuma kutojifunza/kuongea kiswahili kwa kuona lugha ya wakoloni wenu ndo kila kitu!
 
Owning farms ni so 19th century man. there are other things to do
A farm is simply a land! Asilimia kubwa ya ardhi inamilikiwa na a few tycoons huko kwenu! This is a colonial system
 
badala ya kulive in the past, people should move on wapate their own stuff, waache kuwait for the government kuwapea free land
Pale serikali inapotakiwa kutekeleza wajibu wake kwa wananchi, lazima itekeleze with no objections!
 
Back
Top Bottom