V Kweli Tupu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 951
- 528
Ndiyo maana Kenya wana ukabila na kubaguana sababu hizohizo za kutotambua kwamba waarabu na wahindi ni wazaliwa wa Tanzania.Foreigners kwako ni race, naona umemuweka Mzanzibar Bakhresa kama ni si mtanzania, nadhani na akina Dewiji pia wale wanyiramba wa Singida, Azizi Abood mluguru wa Morogoro, Shabiby mkaguru wa gairo wote kwako ni foreigners simply ni waarabu.
Tanzania hauko hivyo, na ulipoambiwa Kenya inamilikiwa na foreigners walimaanisha ni watu wa mataifa mengine si kwa race zao bali utaifa wao.
mapovu mob whilst you don't know shit abt Tz, all hotels na all big companies in Arusha and dsm zipo owned na Indian/ Arabs? That is so wrong and stupid, kwanza kuna hotels kibao nje ya Arusha na dsm. Tz hao waarabu wahindi waliotusua ni wazaliwa wa hapa hapa na ni wachache sana, unlike shamba lenyu la bibi lenye sera za uraia mbili wakati % kubwa ya waZawa mpo kwenye lindi la umaskini.Stupid man. Uchumi gani umeshikwa na Watanzania wakati you own nothing in Dar es Salaam? Indians and Arabs own you like shit. All your big companies are either external (Akina Vodacom) or Indian/Arab (akina Bakhresa). All those hotels in Dar and Arusha you keep bragging of non is owned by black Tanzanians. Kama kuna nchi inayomilikiwa na foreigners East Africa ni Tanzania. Heri Muganda angeongea. At least they have a bigger grasp on their economy
sometimes I do wonder if these Tanzanian on JF are normal ,things that they post ,threads that they create are so disgusting .someone to help me please ,are these fox insane or normal?,,in the first place who told them that Swahili was invented in Tanzania ,? and who told them that Kenyans don't know Swahili is when they are learning it? watanzania jameni muache kujitia hizi aibu ndogo ndogo ambazo hazina maana ,inafanya muonekane kama wapumbavu wakupindukia .rudini mkasome vitabu chimbuko la kiswahili na muache kujitia aibu.aaii mnafanya hata niogope Kuwa na marafiki watanzania jameni haya mambo gani?
Shamba la bibi? Unamaanisha?mapovu mob whilst you don't know shit abt Tz, all hotels na all big companies in Arusha and dsm zipo owned na Indian/ Arabs? That is so wrong and stupid, kwanza kuna hotels kibao nje ya Arusha na dsm. Tz hao waarabu wahindi waliotusua ni wazaliwa wa hapa hapa na ni wachache sana, unlike shamba lenyu la bibi lenye sera za uraia mbili wakati % kubwa ya waZawa mpo kwenye lindi la umaskini.
Kajinyeeni
Wewe unadhani huo msukumo wa nyinyi kuingia epa unatoka wapi, unatoka kwa hao waliomonopoly mashamba yenu majority yenye rutuba na kuotesha maua na chai.Shamba la bibi? Unamaanisha?
Owning farms ni so 19th century man. there are other things to doWewe unadhani huo msukumo wa nyinyi kuingia epa unatoka wapi, unatoka kwa hao waliomonopoly mashamba yenu majority yenye rutuba na kuotesha maua na chai.
Issue ya epa nyie mnaitazama kimasihara sana ila ni issue kubwa sana jamaa, sababu hadi UN wametoa ushauri msiingie epa, but your government keeps on insisting ilhali tukiweka ushabiki pembeni, kutwo ingia nao huo mkataba wenye hayo masharti ndio move sahihi. Sasa wakenya hamjiulizi who's behind that, alafu mkija huku mnajifanya kutetea serikali yenu, kisa uzalendo. Ambia serikali yenu iweke mdahalo wa hili suala mubashara kwenye maluninga kbc na tbc, proposers from Kenya and opposers from Ug, Tz na UN uone venye watakavohepa.
He he heee, naona povu linakutoka kweli kweli huku utando mweupe ukiongezeka pembezoni mwa midomo yako[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23].sometimes I do wonder if these Tanzanian on JF are normal ,things that they post ,threads that they create are so disgusting .someone to help me please ,are these fox insane or normal?,,in the first place who told them that Swahili was invented in Tanzania ,? and who told them that Kenyans don't know Swahili is when they are learning it? watanzania jameni muache kujitia hizi aibu ndogo ndogo ambazo hazina maana ,inafanya muonekane kama wapumbavu wakupindukia .rudini mkasome vitabu chimbuko la kiswahili na muache kujitia aibu.aaii mnafanya hata niogope Kuwa na marafiki watanzania jameni haya mambo gani?
A farm is simply a land! Asilimia kubwa ya ardhi inamilikiwa na a few tycoons huko kwenu! This is a colonial systemOwning farms ni so 19th century man. there are other things to do
Ownership of farms is ownership of land, if it is 19th century to you guys. Goodluck with that.Owning farms ni so 19th century man. there are other things to do
They got lucky, capitalism at its bestA farm is simply a land! Asilimia kubwa ya ardhi inamilikiwa na a few tycoons huko kwenu! This is a colonial system
And they will capitalize you til the very endThey got lucky, capitalism at its best
badala ya kulive in the past, people should move on wapate their own stuff, waache kuwait for the government kuwapea free landAnd they will capitalize you til the very end
Pale serikali inapotakiwa kutekeleza wajibu wake kwa wananchi, lazima itekeleze with no objections!badala ya kulive in the past, people should move on wapate their own stuff, waache kuwait for the government kuwapea free land