MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Mara nyingi nimejikuta nikishambuliwa na wadau kwa ajili sisi Wakenya hupenda kutumia lugha zetu za asili pamoja hata na Kingereza. Watu wengi hupenda kuniambia kwa kutokutumia Kiswahili sana, ina maana mimi mtumwa. Ni muhimu ifahamike hata Kiswahili kilibuniwa tu kama Kingereza na sio lugha yetu ya asili. Jina Swahili linatokana na neno Sahil la kiarabu. Kiswahili kimechanganya humo ndani lugha nyingi, ikiwemo hata Kireno. Umuhimu wa lugha siku zote ni kuelewana, hamna cha utumwa wala nini.
Haya maneno hapa ya Kiswahili yaliotoka kwenye lugha ya Kireno
Dancador - DANGURO
Vinyo - MVINYO
Carta - KARATA
Copas - KOPA
Pao - PAU
Sete - SETI
Trunfo - TURUFU
Tabaquerra - TUMBAKU
Bibo - BIBO
Pera - PERA
Bandeira - BENDARA
Bomba - BOMBA
Boia - BOYA
Buli - BULI
Foronha - FORONYA
Caixa - KASHA
Copo - KOPO
Caraco - KOROSHO
Lenco - LESO
Mesa - MEZA
Padre - PADRI
Peca - PESA
Roda - RODA
Sapata - SAPATU
Sombreiro - SHUMBURERE
Trombeta - TARUMBETA
Haya maneno hapa ya Kiswahili yaliotoka kwenye lugha ya Kireno
Dancador - DANGURO
Vinyo - MVINYO
Carta - KARATA
Copas - KOPA
Pao - PAU
Sete - SETI
Trunfo - TURUFU
Tabaquerra - TUMBAKU
Bibo - BIBO
Pera - PERA
Bandeira - BENDARA
Bomba - BOMBA
Boia - BOYA
Buli - BULI
Foronha - FORONYA
Caixa - KASHA
Copo - KOPO
Caraco - KOROSHO
Lenco - LESO
Mesa - MEZA
Padre - PADRI
Peca - PESA
Roda - RODA
Sapata - SAPATU
Sombreiro - SHUMBURERE
Trombeta - TARUMBETA