Kiswahili kilibuniwa pia, sio lugha asili ya Mwafrika

Kiswahili kilibuniwa pia, sio lugha asili ya Mwafrika

ukifuatilia lahaja za mwambao wa pwani, utaona aibu mwenyewe!

Hapa hamna cha aibu wala nini, tunajuzana, kabla ya Kiswahili Wapwani wote walikua na lugha zao.
 
Hapa hamna cha aibu wala nini, tunajuzana, kabla ya Kiswahili Wapwani wote walikua na lugha zao.

Tatizo kubwa wewe linalokushumbua kwenye ubongo wako
ni kuchanganya kati ya watu waliosaidia kuenea kwa kiswahili, na asili lugha ya kiswahili,

kuna mifano mingi sana inayothibitisha kwamba kiswahili ni zao la kibantu.
lugha zote za kibantu zinafanana kimatumishi, kimantiki, kimaana, kimuundo, n.k.
lakn lugha ya kiaarabu ni tofouti kabisa na kiswahili
kimuundo,kimaana,kimuundo,na kimantiki. hata kimaandishi
 
Swala Kiswahili kutokana na kiarabu ni lugha za uzalilishaji tu wa Kiswahili chetu!
 
Kiswahili ni Kibantu.Hakuna lugha ambayo haijakopa maneno ya lugha nyingine. Hata hicho Kiingereza kina maneno mengi ya kilatini. Kiswahili nacho kina maneno toka Lugha mbalimbali. Kiswahili pia kina maneno ya Kiyahudi mf. Damu, mamlaka, maji nk. Lugha kuwa na maneno ya lugha nyingine ni kitu cha kawaida.
 
Tatizo kubwa wewe linalokushumbua kwenye ubongo wako
ni kuchanganya kati ya watu waliosaidia kuenea kwa kiswahili, na asili lugha ya kiswahili,

kuna mifano mingi sana inayothibitisha kwamba kiswahili ni zao la kibantu.
lugha zote za kibantu zinafanana kimatumishi, kimantiki, kimaana, kimuundo, n.k.
lakn lugha ya kiaarabu ni tofouti kabisa na kiswahili
kimuundo,kimaana,kimuundo,na kimantiki. hata kimaandishi

Ukizidisha utoto na matusi nitakuacha na kuwasubiri watu wazima waje tujadili, jifunze kujadili mada bila matusi. Lugha yoyote ya jadi humu duniani huwa haikopi maneno hata ya msingi. Kiswahili chenyewe kimekopa hadi maneno mengi sana ya msingi kama majira na nyakati.
Soma hii taarifa hapa

[h=2]Introduction[/h]Swahili is a language that fuses African Bantu with Arabic. Arab sailors and traders have established links and ties with East Africa for centuries, their language strongly merged with the local language to produce a creole derivative.
The word Swahili itself is derived from Arabic Sawahili سواحلي which is plural for ساحل meaning [Language] of the Coast.
This article gives some examples of Arabic words still in today's Swahili.
Here are some words.
SwahiliArabicMeaning
hatariخطرDanger. Also the title of a 1962 movie starring John Wayne, set in Africa.
SafariسفرTravel. Also: trip
mahaliمحلPlace
vitabuكتابBook
msumariمسمارNail
kataقطعCut, chop
habariخبرnews
huruحرfree
dhamiriضميرconscience
kamusiقاموسdictionary
baridiباردcold
samahaniسامحنيforgive me, excuse me
rafikiرفيقcompanion, friend
tafadhaliتفضلplease
furahiفرحhappy
[h=2]Time[/h]The terms for time are strongly influenced by Arabic. Many of it taken by the prayer times of Islam.
SwahiliArabicMeaning
asubuhiصبحmorning
dakikaدقيقةminute
saaساعةhour
wakatiوقتtime
alasriالعصرlate afternoon
magharibiالمغربsunset
alfajiriالفجرdawn
karneقرنcentury
The Swahili names for the first five days of the week all start with Juma, then the order of the day of the week, Saturday being the first day of the week. Jumaa is derived from the Arabic word جمعة which means Friday, as well as "week. Only two days of the week got the Arabic names:
SwahiliArabicMeaning
alkhamisiالخميسThursday
ijumaaالجمعةFriday
[h=2]Animal Names[/h]Animal names are all native African Bantu (e.g. simba lion). However, there are a few exceptions.
SwahiliArabicMeaning
TausiطاوسPeacock, being non-native to Africa, it took the Arabic name, which in turn took it from Persian.


[h=2]Numbers[/h]The number system is also heavily Arabic, although not exclusively so.
SwahiliArabicMeaning
nusuنصHalf. The proper classical Arabic word is نصف nisf. In many present day dialects it is "nus", like in Swahili.
roboربعQuarter
sitaستة6
sabaسبعة7
tisaتسعة9
ishriniعشرين20
thalathiniثلاثين30
arubainiأربعين40
hamsiniخمسين50
sitiniستين60
sabiniسبعين70
thamaniniثمانين80
tisiniتسعين90
miaمئة100. The middle letter in classical Arabic is Hamza, however, in present day dialects, like Swahili, it is a Y sound.
elfuألف1000


List of Swahili Words of Arabic Origin | The Baheyeldin Dynasty
 
Kiswahili ni Kibantu.Hakuna lugha ambayo haijakopa maneno ya lugha nyingine. Hata hicho Kiingereza kina maneno mengi ya kilatini. Kiswahili nacho kina maneno toka Lugha mbalimbali. Kiswahili pia kina maneno ya Kiyahudi mf. Damu, mamlaka, maji nk. Lugha kuwa na maneno ya lugha nyingine ni kitu cha kawaida.

Lugha kuwa na maneno ya lugha zingine ni kawaida, na hilo sio tatizo langu, ila huajiuliza kwanini Kiswahili kikakopa hadi maneno ya msingi kabisa, mfano neno damu.
 
Kaka naomba uanze na kutafuta maana ya neno Swahili, hapo ndio itakua rahisi kuelewana. Waafrika walikua na lugha zao.

Ndio Kikuyu ni mojawapo wa lugha za Wabantu. Historia inaeleza Wakikuyu tulitokea Magharibi mwa Afrika halafu tukashuka hadi Tanzania ambapo tuliishi kwa kipindi fulani na kuhamia hatimaye hadi Kenya.
Maana ya neno hakufanyi kuwa jambo loote kuwa la Kiarabu, ndio Swahili ni neno lenye asili ya Arabuni, lakini vipi kuhusu lugha za pwani za kibantu ambazo ndizo zinazounda lahaja za Kiswahili? Mvita, Pate, Makunduchi, Unguja, Kilwa nayo ni maneno ya Kiarabu?
Kipimo cha ubantu wa Kiswahili hakiko kwenye jina la lugha hii, bali kwenye muundo na lahaja zake ambazo zinafanana na lugha zingine za kibantu.

Ingekuwa Kiswahili kina uhusiano walau wa 40% na Kiarabu basi wasemaji wa Kiarabu wangeelewa Kiswahili na kinyume chake.
 
hakuna lugha, hapa duniani ambayo haina asili yake,

naomba unifahamishe lugha ya kiswahili asili yake ni wapi.?

kuna lugha gani hapa duniani ambayo inafafanana na lugha ya kiswahili, kimaandishi,kimuundo,kimatamushi,kimantiki na kimaana.

asante sana!
 
I challenge you to name ONE language which has not borrowed words from other languages. Lugha haziishi kipekee. Watu wanaosema lugha hizo wanawasiliana na watu wa lugha mbalimbali na hapo ndipo wanapokopa maneno. Kwa hivyo kuleta orodha ndefu ya maneno ya Kiarabu au Kireno si ushahidi kwamba Kiswahili ni mchanganyiko.
Ukitaka kuangalia nasaba ya lugha hasa angalia muundo wake wa maneno, sentensi na virai. Kwa muundo tu wa maneno utagundua kwa Kiswahili na Kiarabu havina nasaba moja kabisa. Vitenzi vya Kiarabu vina mizizi ya konsonant tatu kwa mafano drs, ktb, nk na uambishaji hufanywa kwa kutumia ruwaza fulani zenye vokali zinazochomekwa kwenye mizizi hiyo ukapata kitu kama <daras>,<katab>, <duris>, <kutib>, nk. Mfumo huo upo katika lugha zenye nasaba na Kiarabu kama Kiyahudi, Kihabeshi, nk. Kiswahili, kwa upande wake, vitenzi vyake vinaundwa kwa mizizi yenye irabu na konsonant km -andik-. Na ukitaku kuambisha au kunyambulisha unaongeza vipande kabla na baada ya mzizi, unavitunga kama ushanga vile. Kumbuka Kiarabu kinachomeka viambisho. Huu ndiyo muundo wa Kibantu.
Tena angalia kitu kinachoitwa ngeli. Hizo hazipo kabisa katika Kiarabu. Na katika lugha za mchanganyiko wa lugha za Kibantu, km Kilingala, utaona kwamba ngeli ni chache zaidi. Lugha zenye historia isiyo ya mchanganyiko unaousema zina mfumo complicated wa ngeli. Lugha wanazodai zinatokana na mchanganyiko mara zote zinarahisisha vitu kama. Lakini kwa Kiswahili sivyo.
Ushahidi wa wana isimu na wanaakiolojia unatuonesha kwamba chimbuko la Kiswahili ni lugha ya Kibantu iliyozungumzwa pwani ya Kenya. Ni kweli imechukua maneno mengi ya watu wa kuja. Lkn hiyo si nasaba yake. Chunguza usitegemee maneno ya mtaani tu kutoa hoja ya vitu ambavyo unajua kwamba wengine lazima watakuwa wamevichunguza kwa makini.
Vipi unaikana lugha yenu. Inatakiwa ujivunie. Au una kinyongo kwa sababu ina asili ya pwani nawe ni wa bara? Disclosure: Mimi pia ni mtu wa bara huko Tanzania. Lugha yangu ya kwanza si Kiswahili. Lakini nazipenda lugha zote na sijaona sababu nzuri ya kuipuuzia lugha yoyote.
 
I challenge you to name ONE language which has not borrowed words from other languages. Lugha haziishi kipekee. Watu wanaosema lugha hizo wanawasiliana na watu wa lugha mbalimbali na hapo ndipo wanapokopa maneno. Kwa hivyo kuleta orodha ndefu ya maneno ya Kiarabu au Kireno si ushahidi kwamba Kiswahili ni mchanganyiko.
Ukitaka kuangalia nasaba ya lugha hasa angalia muundo wake wa maneno, sentensi na virai. Kwa muundo tu wa maneno utagundua kwa Kiswahili na Kiarabu havina nasaba moja kabisa. Vitenzi vya Kiarabu vina mizizi ya konsonant tatu kwa mafano drs, ktb, nk na uambishaji hufanywa kwa kutumia ruwaza fulani zenye vokali zinazochomekwa kwenye mizizi hiyo ukapata kitu kama <daras>,<katab>, <duris>, <kutib>, nk. Mfumo huo upo katika lugha zenye nasaba na Kiarabu kama Kiyahudi, Kihabeshi, nk. Kiswahili, kwa upande wake, vitenzi vyake vinaundwa kwa mizizi yenye irabu na konsonant km -andik-. Na ukitaku kuambisha au kunyambulisha unaongeza vipande kabla na baada ya mzizi, unavitunga kama ushanga vile. Kumbuka Kiarabu kinachomeka viambisho. Huu ndiyo muundo wa Kibantu.
Tena angalia kitu kinachoitwa ngeli. Hizo hazipo kabisa katika Kiarabu. Na katika lugha za mchanganyiko wa lugha za Kibantu, km Kilingala, utaona kwamba ngeli ni chache zaidi. Lugha zenye historia isiyo ya mchanganyiko unaousema zina mfumo complicated wa ngeli. Lugha wanazodai zinatokana na mchanganyiko mara zote zinarahisisha vitu kama. Lakini kwa Kiswahili sivyo.
Ushahidi wa wana isimu na wanaakiolojia unatuonesha kwamba chimbuko la Kiswahili ni lugha ya Kibantu iliyozungumzwa pwani ya Kenya. Ni kweli imechukua maneno mengi ya watu wa kuja. Lkn hiyo si nasaba yake. Chunguza usitegemee maneno ya mtaani tu kutoa hoja ya vitu ambavyo unajua kwamba wengine lazima watakuwa wamevichunguza kwa makini.
Vipi unaikana lugha yenu. Inatakiwa ujivunie. Au una kinyongo kwa sababu ina asili ya pwani nawe ni wa bara? Disclosure: Mimi pia ni mtu wa bara huko Tanzania. Lugha yangu ya kwanza si Kiswahili. Lakini nazipenda lugha zote na sijaona sababu nzuri ya kuipuuzia lugha yoyote.

Tatizo kaka naona umedandia bila kufuata majadala wote ama hujanielewa
- Kwanza mimi Kiswahili nakipenda na kujivunia ila ni muhimu kuelezeana ukweli sio kupondana
- Tayari nilisema lugha zote zimeomba maneno kutoka kwenye lugha zingine, ila utakuta maneno haya ni ya kuongezea tu na sio ya msingi. Kila lugha ina maneno ya msingi kwa mfano saa na majira ya siku, hesabu yaani ukiangalia maneno ambayo Kiswahili kimeomba utajiuliza kwani kabla ujio wa hizi lugha zingine, kilitumika vipi hadi hata neno "damu" ni la kuomba, hata jina "swahili" ni la kiarabu.
- Nimesema kabla ujio wa Kiswahili, watu wa Pwani walikua na lugha zao. Sijabisha kwamba Wabantu walihusika pakubwa kukibuni lakini ifahamike kunazo lugha zetu za jadi ambazo ndio za msingi. Watanzania wengi hutuponda sisi Wakenya kila tukiongea lugha zetu za jadi, wanataka kila mtu aongee Kiswahili. Sisi Wakenya huwa tunahimiza sana uwezo wa ku
ongea lugha nyingi, zikiwemo hata Kingereza na Kiswahili pamoja na zetu za jadi.
 
Tatizo kaka naona umedandia bila kufuata majadala wote ama hujanielewa
- Kwanza mimi Kiswahili nakipenda na kujivunia ila ni muhimu kuelezeana ukweli sio kupondana
- Tayari nilisema lugha zote zimeomba maneno kutoka kwenye lugha zingine, ila utakuta maneno haya ni ya kuongezea tu na sio ya msingi. Kila lugha ina maneno ya msingi kwa mfano saa na majira ya siku, hesabu yaani ukiangalia maneno ambayo Kiswahili kimeomba utajiuliza kwani kabla ujio wa hizi lugha zingine, kilitumika vipi hadi hata neno "damu" ni la kuomba, hata jina "swahili" ni la kiarabu.
- Nimesema kabla ujio wa Kiswahili, watu wa Pwani walikua na lugha zao. Sijabisha kwamba Wabantu walihusika pakubwa kukibuni lakini ifahamike kunazo lugha zetu za jadi ambazo ndio za msingi. Watanzania wengi hutuponda sisi Wakenya kila tukiongea lugha zetu za jadi, wanataka kila mtu aongee Kiswahili. Sisi Wakenya huwa tunahimiza sana uwezo wa ku
ongea lugha nyingi, zikiwemo hata Kingereza na Kiswahili pamoja na zetu za jadi.

Dah mjadala mzuri kiswahili au maana yake ni lugha zinazofanana hivyo walipokuja waarabu walifananisha lugha zinazozungumzwa mwambao wa afrika ya mashariki na visiwa vyake ,wakakuta zinafanana hivyo kuita sawahili maanake sawasawa,
Labda nikuulize swali nn ufahamu wako kuhusiana na lahaja, je nazo aliumba au kutengeneza mwarabu
Naomba ufafanuzi kutoka kintang'anta, kiunguja, kingazija, kimakunduchi, kitumbatu, na nyinginezo,
Ibn batuta alikuja karne ya kwanza akakuta kiswahili kimeenea mwambao wa afrika ya mashariki ila kila sehemu na namna yake, unafiki dola kubwa ya azania iliongozwa na lugha gani.
Ni rahisi kufahamu hata hicho kilugha chako kwa mswahili mm.
Inaonyesha watu hawafahamu makundi ya watu hao wajiitao waafrika kuna wabantu, wahamiti, watu pori na wanegro nitakuja kuchambua
 
Ukizidisha utoto na matusi nitakuacha na kuwasubiri watu wazima waje tujadili, jifunze kujadili mada bila matusi. Lugha yoyote ya jadi humu duniani huwa haikopi maneno hata ya msingi. Kiswahili chenyewe kimekopa hadi maneno mengi sana ya msingi kama majira na nyakati.
Soma hii taarifa hapa

Introduction

Swahili is a language that fuses African Bantu with Arabic. Arab sailors and traders have established links and ties with East Africa for centuries, their language strongly merged with the local language to produce a creole derivative.
The word Swahili itself is derived from Arabic Sawahili &#1587;&#1608;&#1575;&#1581;&#1604;&#1610; which is plural for &#1587;&#1575;&#1581;&#1604; meaning [Language] of the Coast.
This article gives some examples of Arabic words still in today's Swahili.
Here are some words.
SwahiliArabicMeaning
hatari&#1582;&#1591;&#1585;Danger. Also the title of a 1962 movie starring John Wayne, set in Africa.
Safari&#1587;&#1601;&#1585;Travel. Also: trip
mahali&#1605;&#1581;&#1604;Place
vitabu&#1603;&#1578;&#1575;&#1576;Book
msumari&#1605;&#1587;&#1605;&#1575;&#1585;Nail
kata&#1602;&#1591;&#1593;Cut, chop
habari&#1582;&#1576;&#1585;news
huru&#1581;&#1585;free
dhamiri&#1590;&#1605;&#1610;&#1585;conscience
kamusi&#1602;&#1575;&#1605;&#1608;&#1587;dictionary
baridi&#1576;&#1575;&#1585;&#1583;cold
samahani&#1587;&#1575;&#1605;&#1581;&#1606;&#1610;forgive me, excuse me
rafiki&#1585;&#1601;&#1610;&#1602;companion, friend
tafadhali&#1578;&#1601;&#1590;&#1604;please
furahi&#1601;&#1585;&#1581;happy
Time

The terms for time are strongly influenced by Arabic. Many of it taken by the prayer times of Islam.
SwahiliArabicMeaning
asubuhi&#1589;&#1576;&#1581;morning
dakika&#1583;&#1602;&#1610;&#1602;&#1577;minute
saa&#1587;&#1575;&#1593;&#1577;hour
wakati&#1608;&#1602;&#1578;time
alasri&#1575;&#1604;&#1593;&#1589;&#1585;late afternoon
magharibi&#1575;&#1604;&#1605;&#1594;&#1585;&#1576;sunset
alfajiri&#1575;&#1604;&#1601;&#1580;&#1585;dawn
karne&#1602;&#1585;&#1606;century
The Swahili names for the first five days of the week all start with Juma, then the order of the day of the week, Saturday being the first day of the week. Jumaa is derived from the Arabic word &#1580;&#1605;&#1593;&#1577; which means Friday, as well as "week. Only two days of the week got the Arabic names:
SwahiliArabicMeaning
alkhamisi&#1575;&#1604;&#1582;&#1605;&#1610;&#1587;Thursday
ijumaa&#1575;&#1604;&#1580;&#1605;&#1593;&#1577;Friday
Animal Names

Animal names are all native African Bantu (e.g. simba lion). However, there are a few exceptions.
SwahiliArabicMeaning
Tausi&#1591;&#1575;&#1608;&#1587;Peacock, being non-native to Africa, it took the Arabic name, which in turn took it from Persian.


Numbers

The number system is also heavily Arabic, although not exclusively so.
SwahiliArabicMeaning
nusu&#1606;&#1589;Half. The proper classical Arabic word is &#1606;&#1589;&#1601; nisf. In many present day dialects it is "nus", like in Swahili.
robo&#1585;&#1576;&#1593;Quarter
sita&#1587;&#1578;&#1577;6
saba&#1587;&#1576;&#1593;&#1577;7
tisa&#1578;&#1587;&#1593;&#1577;9
ishrini&#1593;&#1588;&#1585;&#1610;&#1606;20
thalathini&#1579;&#1604;&#1575;&#1579;&#1610;&#1606;30
arubaini&#1571;&#1585;&#1576;&#1593;&#1610;&#1606;40
hamsini&#1582;&#1605;&#1587;&#1610;&#1606;50
sitini&#1587;&#1578;&#1610;&#1606;60
sabini&#1587;&#1576;&#1593;&#1610;&#1606;70
thamanini&#1579;&#1605;&#1575;&#1606;&#1610;&#1606;80
tisini&#1578;&#1587;&#1593;&#1610;&#1606;90
mia&#1605;&#1574;&#1577;100. The middle letter in classical Arabic is Hamza, however, in present day dialects, like Swahili, it is a Y sound.
elfu&#1571;&#1604;&#1601;1000

List of Swahili Words of Arabic Origin | The Baheyeldin Dynasty
Ni kweli asilimia kubwa ya maneno ambayo ni nomino (noun) yametokana na kiarabu na lugha zingine zikiwemo lugha za wabantu lakini maneno mengi ambayo ni vitenzi (verb) yametokana na lugha za wabantu na kwa uelewa wangu uti wa mgongo wa lugha ni vitenzi ndo maana kibantu kinapewa asilimia kubwa kuwa ndo asili ya lugha ya kiswahili.
 
Ni kweli asilimia kubwa ya maneno ambayo ni nomino (noun) yametokana na kiarabu na lugha zingine zikiwemo lugha za wabantu lakini maneno mengi ambayo ni vitenzi (verb) yametokana na lugha za wabantu na kwa uelewa wangu uti wa mgongo wa lugha ni vitenzi ndo maana kibantu kinapewa asilimia kubwa kuwa ndo asili ya lugha ya kiswahili.

"Kiswahihi Kilubuniwa, na siyo lugha asili ya afrika"

jamani naomba mtalamu mmoja tu, wa kiswahili anifafulize vizuri, maana ya hiyo sentesi,
maana kwa maana ya haraka haraka mleta uzi anamanisha

kuna lugha dunianin ambazo hazikubuniwa,

kiswahili kama siyo asili yake ni afrika, asili yake ni wapi?

ndugu yana lawmaina78 usipite bila kujibu hapa.
 
Last edited by a moderator:
"Kiswahihi Kilubuniwa, na siyo lugha asili ya afrika"

jamani naomba mtalamu mmoja tu, wa kiswahili anifafulize vizuri, maana ya hiyo sentesi,
maana kwa maana ya haraka haraka mleta uzi anamanisha

kuna lugha dunianin ambazo hazikubuniwa,

kiswahili kama siyo asili yake ni afrika, asili yake ni wapi?

ndugu yana lawmaina78 usipite bila kujibu hapa.

Nadhani mtoa mada anachomaanisha ni kwamba ukilinganisha hizi lugha kwa umri basi lugha za kibantu na lugha ya kiarabu ni lugha kongwe kuliko kiswahili. Na kama inavyojulikana kiswahili ni matokeo ya muunganiko wa maneno ya kibantu pamoja na kiarabu na lugha zingine ndo maana ametumia neno kubuni.
 
Nadhani mtoa mada anachomaanisha ni kwamba ukilinganisha hizi lugha kwa umri basi lugha za kibantu na lugha ya kiarabu ni lugha kongwe kuliko kiswahili. Na kama inavyojulikana kiswahili ni matokeo ya muunganiko wa maneno ya kibantu pamoja na kiarabu na lugha zingine ndo maana ametumia neno kubuni.

ukifuatilia majibu yake kuna sehemu nilimuuliza, maneno ya kingeni yana asilimia gapi? kwenye kiswahili ukilinanisha na maneno ya kibantu.,

akajibu maneno ya kibantu yako mengi

kwa maana hiyo kumbe ukichukua maji, ukachanganya kindogo na mafuta ya taa,

kwa hiyo maji yanakuwa mafuta ya taa, ili hali mafuta ya taa ni kindogo tu.
 
ukifuatilia majibu yake kuna sehemu nilimuuliza, maneno ya kingeni yana asilimia gapi? kwenye kiswahili ukilinanisha na maneno ya kibantu.,

akajibu maneno ya kibantu yako mengi

kwa maana hiyo kumbe ukichukua maji, ukachanganya kindogo na mafuta ya taa,

kwa hiyo maji yanakuwa mafuta ya taa, ili hali mafuta ya taa ni kindogo tu.

Mfano unaotoa hauhusiani kabisa, maana kabla hujachukua maji na kuyachanganya na mfuta, ina maana maji ylikuwepo kwanza. Lakini hapa mimi nasema Kiswahili hakikuwepo tangu jadi, kimebuniwa kwa kutumia maneno toka kwenye lugha nyingi duniani zikiwemo za Kibantu na za kigeni.

Ila hata hivyo labda hatukuelewana, Kiswahili asili yake Afrika, yaani kilibuniwa Afrika kwa usaidizi wa Waarabu ila sio lugha yetu ya asili (native), tunazo lugha zetu zilizotumika kabla hakijabuniwa.
 
Mfano unaotoa hauhusiani kabisa, maana kabla hujachukua maji na kuyachanganya na mfuta, ina maana maji ylikuwepo kwanza. Lakini hapa mimi nasema Kiswahili hakikuwepo tangu jadi, kimebuniwa kwa kutumia maneno toka kwenye lugha nyingi duniani zikiwemo za Kibantu na za kigeni.

Ila hata hivyo labda hatukuelewana, Kiswahili asili yake Afrika, yaani kilibuniwa Afrika kwa usaidizi wa Waarabu ila sio lugha yetu ya asili (native), tunazo lugha zetu zilizotumika kabla hakijabuniwa.

wingi wa maneno ya kibantu yanasabishwa na nini?

kwa nini muundo,wa lugha ya kiswahili unafanana na lugha za kibuntu, kwa nini isiwe na muundo wa lugha zingine ulizozitaja?
 
Narudia tena, nasaba ya lugha haipimwi kwa idadi ya maneno yaliyotoka katika lugha moja au nyingine. Nitakubadilishia hoja ili uielewe. Ukiyakariri maneno ya lugha fulani bila kujua kanuni za kuyanyambulisha, jinsi ya kuunda sentensi, jinsi ya kuunda virai, nk huwezi kamwe kuzungumza lugha hiyo. Kachukue kamusi yoyote ya lugha yoyote anza kuyakariri maneno halafu uone kama ndiyo utaweza kuzungumza lugha hiyo na wasemaji wake. Umeshawahi kuwasikia watu waliofanya hivyo kujifunza Kiswahili? Ni kichekesho tu na completely unintelligible. Kitaalam, kipimo kikuu cha nasaba ya lugha ni muundo wake. Ndipo nikatoa mfano wa muundo wa maneno ulivyo tofauti kati ya Kiswahili na Kiarabu. Nikatoa pia mfano wa tofauti ya jinsi nomino zinavyoainishwa. Yeyote ambaye hajui lugha yoyote ya Kibantu atakapoanza kujifunza tu atapambana na mambo haya ambayo si ya kukopa.
Hoja yangu ni kwamba if you base your argument on the number of words borrowed from one language or the other in determining the genetic affiliation of a language, you have not taken into consideration the complex nature of language. Your conclusion is bound to be way off the mark.
Hata hivyo wataalamu wa lugha tena wanasema ukiangalia kwa asilimia, bado maneno yanayoitwa basic core vocabulary ya Kiswahili yanatokana na Kibantu. Huwezi kuweka mipaka na kuamua kwamba maneno haya tu ndiyo yatakopwa. Hata core vocab wakati mwingine hukopwa. Lkn ukiangalia kwa undani zaidi utaona ni nyanja fulani fulani za kisemantiki ndizo zilizosheheni maneno ya Kiarabu. Nasema, hujaliangalia jambo hili kwa kina.
Nikatoa pia hoja kwamba unapozungumzia mchanganyiko wa lugha, kuna mifano mingi duniani na yote inaonesha sifa moja kubwa, nayo ni urahishaji wa miundo. Nikasema uundaji wa vitenzi vya Kiswahili (agglutinative) ambao unapelekea kuwa na vipande hata 9 (ni-li-po-m-nyamaz-ish-i-a = 8), si kitu rahisi, lazima ni sehemu ya asili ya lugha hiyo. Nikatoa mfano mwingine wa Kilingala, ambacho ni mchanganyiko wa lugha za Kibantu lakini kutokana na mchanganyiko huo kimepunguza idadi ya ngeli (urahisishaji ninaousema).
Nikajiuliza kwa nini mtu asitake kutafuta hasa kwenye vyanzo vinavyoeleweka ili akafahamu mambo hayo vizuri. Jibu langu: ni lazima mtu anayedandia tu kwa sababu chanzo chake cha utaalamu huo ni kijiweni na pengine chuki tu kwa nini lugha fulani au lahaja fulani iwe na hadhi zaidi.
La hasha, sijadandia mjadala huu. Fuata hoja zangu. Na pia naona hujasema lolote juu ya hoja za kitaalamu ambazo nimeziweka hapa kwa lugha rahisi. Lugha chache sana ni za kubuniwa. Esperanto inakuja kwenye kumbukumbu yangu. Na kwa taarifa tena, mimi mpenzi wa lugha kwa jumla. Hata zile nisizopata fursa ya kujifunza. Na ninasema lugha tatu za kwetu kule kusini TZ, licha ya Kiswahili.
 
Back
Top Bottom