Sasa, hii (sijui niite dosari) favouritism ya Uarabu dhidi ya Ubantu inatokana na nini, is it the case for inferiority complex ya aina fulani hivi, elimu au nini haswa?! Kwanini tunaenzi sana maneno kutoka Kiarabu kuliko maneno ambayo yana maana ileile kutoka lugha zetu za Kibantu. Seriously, I think there is an over-arabization of Kiswahili from its conception to this day.
Waaarabu ndiyo wameiga kiswahili! na kukopa maneno! tangu zamani kiswahili kimebadilika jina tu lkn kwa asili ni ki-Summeria kilicho ongewa kama Lugha rasmi Mesopotamia ya kale,
Arabs hawana Official recognised National ethnic identity kamili kwa sababu siyo Race, kama zilivo Race za Ma bara mengine Duniani, bali ni Political Race.
Mchanganyiko, wa Wa-giriki na wabantu! walikiendeleza ki-summeria wakachanganya na maneno machache ya kwao! wakidai wao ni Mabwana, waungwana, hawawezi kuongea Lugha sawa na ya kitwana (weusi!) Baba zao ni wazungu!
Kosa wabantu Mkilichukulia hili jambo la mfanano wa Lugha kama inferiority complexes ndiyo mnapotea mazima kihistoria, mnatakiwa kufanya uchunguzi wa kina, ili...
tujue nani mkopaji na nani mkopwaji, hii itasaidia pia kujua tumetokea wapi, na tulidanganywa wapi! sababu haijawahi tokea eti lugha ya miungu waungwana/ Watawala ifanane na ya Nyani wa Porini, nani ka kwambia?
Lugha kama Kiaramaic, kifoeniki, Ki- Coptic, ndo Lugha Mama kule Mesopotamia ya kale! Babylonians, Cush land,(Ethiopia ya leo!) kwa nini Lugha hizi zilipotea hapo Middle East yote mpaka na Egypty ya leo? jibu ni rahisi tu
sababu ilikuwa Lugha ya watumwa weusi. leo vitabu vingi tunadanganywa tumekopa maneno, na ukisoma vitabu tofauti tofauti zaidi ya kumi, utaona ukweli wao ndo wametukopa! Lugha zetu kiswahili, ya kibantu, ni km nilivosema hapo juu!
Hata hao wanahistoria mpaka leo wanajifanya hawajui kibantu kiliingiaje kwenye kiarabu, wanakuja na jibu jepesi sana eti Mwingiliano wa kibiashara! huko Mara,Serengeti, thika hawakufika lkn ni wabantu!
Sehemu pekee wanayoongea Lugha ya kale Africa ni Ethiopia, wote twajua Ethiopia kamwe haikuwahi kutawaliwa na mkoloni, yaani Lugha ya Ki-Aramaic(kiamhara) ilibaki dumu dumuni, wakati wa mkoloni/British, tuliwahi kutumia hii lugha kwenye noti zetu!
Kumbuka Mitume wote akiwemo Yesu mwenyewe waliongea Lugha 2 sana, yaani Ki-Aramaic na Kigriki, angalia sasa kigiriki kipo mpaka leo! Girikiz walikiendeleza,
Ki-Aramaic kilipotezwa mpaka leo, sababu ya machafuko ya vita, na watumwa kulazimishwa kuongea Kiarabu, na kubadili majina yao ya asili. mpaka leo tunabadilishwa majina kwa hiari, km Maxmillian Melo, John, eti Musarya Mwuudavwadi ni jina la kishenzi kweli?
Kiswahili {Kibantu haswa} hakijakopa maneno kutoka kiarabu big NO. sababu ni Afro- asiatic Language, tangu zama kabla ya Waarabu kuvamia Mesopotamia ya kale haikwepeki.
Hata neno Arabs walilikopa kwa wenyeji walio ishi hapo tangu zama za kale! wao wakajiita Waarabu, Sababu Ulaya hawakukubalika tena, wakajiundia kaumoja kao! yaani umoja wa nchi za kiarabu. na Wasummerians- weusi wapo mpaka leo huko Middle east but wamemezwa. na kupachikwa majina eti masalia ya watumwa!