Jitindejangongwa
Member
- Jan 17, 2013
- 28
- 3
Natarajia vyombo vya habari ndio viwe dira ya kuonesha njia katika matumizi sahihi ya lugha, lakini ukisikiliza unakuta ni madudu matupu. mfano mdogo tu ni RADIO ONE! jioni huwa wanajiunga na BBC kipindi huwa kinaitwa dira ya dunia. lakini baada ya matangazo utasikia radio one wameweka jingo inayosema "ulikuwa unasikiliza kipindi cha bbc" ndio unajiuliza sasa kilpindi ni bbc au radio ndio bbc? je radio one hawajui kuwa ile ni radio ya bbc na kipindi cha jioni ni dira ya dunia na asubuhi ni amka na bbc? ni ujinga wa nani hapo mhalili au wote tu? si wote wanasikia madudu haya! wapi weredi hapa?