EMT.nawe una ugonjwa wa kuchanganya lugha ndo mana unaunga mkono.hatujakataa lugha kukopa,kila lugha duniani hukopa.hv muingereza akitaka kutamka kwa kingereza"BADA"ambao ni ugali wa muhogo,au BEMBE,SORO unadhan atafanya nn zaidi ya kutohoa maneno hayo kwan hayapo katika utamadun wake!ndo hapo lugha hukopa na kutumia maneno yenye asili ya lugha nyingine.maneno hayo yanapoingizwa kwenye kisw kwa mfano,hayawi tena ya kingereza au kiarabu bali huwekwa na kusanifishwa ili yaendane na sarufi ya kiswa.mfano syntax ni neno la kimombo linaposanifishwa linakua SINTAKSIA,hili neno jipya si kimombo tena bali ni kisw kwan neno sintaksia linafata kanuni za sarufi ya kisw na km ukimwandikia muingereza neno hlo{sintaksia}hawezi kuelewa kwa vile lipo nje na sarufi ya kingereza.
Hebu angalia ujumbe wko utaona ume2mia kingereza mahali ambapo kisw kipo na ungeeleweka vzr tu.angalia maneno AVOID,BORROW,LEXICAL BORROWING,BY THE WAY,MIX. hv kweli hatuna kiswa kinachoeleweka kwa maneno hayo.borrow{kukopa},avoid{kuzuia},mix{kuchanganya},lexical borowing{kukopa kileksika}.tafsiri hii ni kwa mujibu wa ulivyoyatumia maneno katika sentens zako.hivi ungeongea kisw usingeeleweka??c kila wakati kisw hakijitoshelezi,tuchanganye lugha ikiwa tu hakuna budi kufanya hivyo.kinyume chake 2nakiviza kisw cc wenyewe.TUSITAFUTE MCHAWI...