Kiswahili kinatufichia sana ujinga na ujima wetu wabongo kwa watu wa nje, sio kwa mada petty kama hizi mitandaoni!

Kiswahili kinatufichia sana ujinga na ujima wetu wabongo kwa watu wa nje, sio kwa mada petty kama hizi mitandaoni!

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Nimeona mjadala mrefu huko mtandaoni wanawake kwa wanaume watu wazima kabisa wako busy wanabishana na kusutana kama inapaswa kuaga au kuomba ruhusa waume/wapenzi wao wanapotoka nyumbani!

Kuna mambo mengine ni mijadala ya kitoto au ki- teenager sana kama ile ya "education is better than money" ya watu wakiwa wanasoma O-level.

Hivi kweli karne hii na hasa kwa watu wazima wanaoweza kuingia hadi mtandaoni sio ujima na udumavu wa akili kubishania mambo kama ya mwanamke kuaga au kutoaga akitoka, nani anatakiwa kulipia first date, kufua, kupika au kuogesha watoto? Mbona hivi ni vitu petty sana!
 
Nimeona mjadala mrefu huko mtandaoni wanawake kwa wanaume watu wazima kabisa wako busy wanabishana na kusutana kama inapaswa kuaga au kuomba ruhusa waume/wapenzi wao wanapotoka nyumbani!

Kuna mambo mengine ni mijadala ya kitoto au ki- teenager sana kama ile ya "education is better than money" ya watu wakiwa wanasoma O-level.

Hivi kweli karne hii na hasa kwa watu wazima wanaoweza kuingia hadi mtandaoni sio ujima na udumavu wa akili kubishania mambo kama ya mwanamke kuaga au kutoaga akitoka, nani anatakiwa kulipia first date, kufua, kupika au kuogesha watoto? Mbona hivi ni vitu petty sana!
Hawana kingine cha kufanya.Wanasuburu jumatatu wakalambe matako ya mabosi wao
 
Thats why it's called SOCIAL MEDIA. Don't be so serious on everything
 
Thats why it's called SOCIAL MEDIA. Don't be so serious on everything
Sijawahi kuona kwenye mataifa ya watu wanojielewa wanajadiliana kwenye media jinsi ya kumfikisha mwanamke kileleni.
 
Back
Top Bottom