Kiswahili lugha yangu

Kilaza

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2013
Posts
3,324
Reaction score
1,377
Baada ya kusahau nywila (password) ya kadi yangu ya kiotomotela (ATM) nikaamua kukaa mgahawani (restaurant) jirani na kilipo kiotomotela (ATM) na kuagiza vibanzi (chips) vikavu na sharubati (juice) baridi sana!

Nikiwa nasubiri kuletewa nikafungua tarakilishi mpakato (laptop) na kujaribu kufungua diski mweku (local disk) iliyogoma kufunguka kwa wakati huo. Nikafungua diski tepetevu (floppy disk) na kukuta imevamiwa na mtaliga(virus). Nguvu ikaniishia, nikashindwa hata kushika wala kupalaza kisharazio(cursor) cha tarakilishi yangu. Siku yangu ikaishia hapo na nikaishia kusahau hata vibanzi na sharubati nilivyoagiza.
 

Baada ya hapo ukaenda kwa wakala wa dstv kununua kisembuzi(decoder)
 
Pia ukamwambia asisahau kuchomeka vimbaka(toothpick) kwenye vibanzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…