Kiswahili lugha yangu

Kiswahili lugha yangu

Kilaza

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2013
Posts
3,324
Reaction score
1,377
Baada ya kusahau nywila (password) ya kadi yangu ya kiotomotela (ATM) nikaamua kukaa mgahawani (restaurant) jirani na kilipo kiotomotela (ATM) na kuagiza vibanzi (chips) vikavu na sharubati (juice) baridi sana!

Nikiwa nasubiri kuletewa nikafungua tarakilishi mpakato (laptop) na kujaribu kufungua diski mweku (local disk) iliyogoma kufunguka kwa wakati huo. Nikafungua diski tepetevu (floppy disk) na kukuta imevamiwa na mtaliga(virus). Nguvu ikaniishia, nikashindwa hata kushika wala kupalaza kisharazio(cursor) cha tarakilishi yangu. Siku yangu ikaishia hapo na nikaishia kusahau hata vibanzi na sharubati nilivyoagiza.
 
Baada ya kusahau nywila(password) ya kadi
yangu ya kiotomotela(ATM) nikaamua kukaa
mgahawani (restaurant) jirani na kilipo
kiotomotela (ATM) na kuagiza vibanzi (chips)
vikavu na sharubati (juice) baridi sana!
Nikiwa nasubiri kuletewa nikafungua
tarakilishi mpakato (laptop) na kujaribu
kufungua diski mweku (local disk) iliyogoma
kufunguka kwa wakati huo. Nikafungua diski
tepetevu (floppy disk) na kukuta imevamiwa
na mtaliga(virus). Nguvu ikaniishia,
nikashindwa hata kushika wala kupalaza
kisharazio(cursor) cha tarakilishi yangu. Siku
yangu ikaishia hapo na nikaishia kusahau
hata vibanzi na sharubati nilivyoagiza.

Baada ya hapo ukaenda kwa wakala wa dstv kununua kisembuzi(decoder)
 
Pia ukamwambia asisahau kuchomeka vimbaka(toothpick) kwenye vibanzi
 
Back
Top Bottom