Kozi mwana mandanda.................,ukiona zinduna................,bura yangu si..........
nanasi
kitendawiliii....huku bonde na huku bonde katikati mfereji
kinywa changu hakikauki maji...........................
Mdomo.
Kitendawili..!!
"Babu mwenye Ndui ananing'inia mtini"
Mdomo.
Kitendawili..!!
"Babu mwenye Ndui ananing'inia mtini"
kitendawiliii....huku bonde na huku bonde katikati mfereji
Nakupa mki Kilwa kivinje....
Kitendawiliiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
huku kotama na huku kotama katikati kuna ndukum!
Nakupa mki Kilwa kivinje....
Kitendawiliiiiiiiiiiiiiiiiiiii!