Kiswahili: Methali, Vitendawili, nahau, Misemo n.k

Kiswahili: Methali, Vitendawili, nahau, Misemo n.k

Nenda "Ntanukesenge"
Kijiji hiki kiko Mtwara Vijijini.
Hahaaaa kule kama naenda naenda kule Mikindani au walau kuna Beach na Nikiimport naingia pale Old Boma Hotel panafaa sana
 
Jibu lako liko tata.
1.Mkufu Catty (Mkufu huo jina lake ni Catty)

2.Mkufu Catty (Mkufu huo ni mali ya mtu aitwae Catty)

3.Mkufu Catty (Unamuelekeza huyo Catty/Unknown,Autazame/Atazame huo Mkufu/Jina)

narekebisha kaul yangu Catherine Jibu lake ni mkufu
 
Last edited by a moderator:
Kaizer,
Na ndevu hizo hutanitamani kweli nikikupa mgongo kuandika ubaoni?
Madame B sina tabia mbaya kutamani mgongo wa mwalimu wangu...naomba unikubalie ombi langu tafhadhali, nina hamu na elimu ya MEMKWA
 
Last edited by a moderator:
mwenye macho, haambiwi tazama Madame B....hata evening class, mi sawa tu, mtaka cha uvunguni sharti ainame. Niambie mwalimu wangu.

Haya Mwanafunzi wangu.
Ila utaweza kuvumilia mikikimikiki yangu ninapokusogelea na kukuinamia ili tuelekezane?
Naogopa usije 'Tangaza nia' Kaizer!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom