KISWAHILI: Naomba maana ya maneno haya...

KISWAHILI: Naomba maana ya maneno haya...

Aloe Vera si SHUBIRI. Shubiri ni kitu kingine -- kuna mtu ameniambia kuwa inatokana na utomvu wa mti -- iko ktk hali ya vidonge (crystals) ambavyo hulowekwa ktk maji, na kisha kutumiwa ktk hali hiyo ya kimiminika. Rangi ya maji yenye shubiri ni kahawia.

Umekataa kuwa Aloe Vera si Shubiri nilitegemea ungesema sasa kama si Shubiri ni nini, lakini hukufanya hivyo.

Kwa hakika nijuavyo mimi Aloe Vera ni Shubiri Mwitu.
 
Kwa mfano mtu akisema "he was undermining her efforts to succeed"... utatafsirije neno neno "undermine" kwa Kiswahili?
 
Kwa mfano mtu akisema "he was undermining her efforts to succeed"... utatafsirije neno neno "undermine" kwa Kiswahili?
Hii ni AIBU! ukiwa kama mtanzania na hujui neno "kuhujumu"? hii yoote inasababishwa na dharau, dharau ya lugha yetu ya kiswahili... nina uhakika kabisa kama nilivyokuwa na uhakika wewe ni mtanzania kama ungekuwa hufahamu maana ya hilo undermine kiingereza usingeweza kuuliza humu maana yake kwa maana ungejisikia aibu sana lakni kwa kuwa haujui maana ya neno la kiswahili wala haikusumbui na unaona ni kitu cha kawaida tuu... wakati kwa hali ya kawaida mtu mwenye kuthamini utu wake na heshima yake kama mwanadamu huwa anajivunia utamaduni wake na kamwe hawezi kuubeza na kuona ni sawa tuu hata kama asipojua lugha yake vizuri..........
 
Hii ni AIBU! ukiwa kama mtanzania na hujui neno "kuhujumu"? hii yoote inasababishwa na dharau, dharau ya lugha yetu ya kiswahili... nina uhakika kabisa kama nilivyokuwa na uhakika wewe ni mtanzania kama ungekuwa hufahamu maana ya hilo undermine kiingereza usingeweza kuuliza humu maana yake kwa maana ungejisikia aibu sana lakni kwa kuwa haujui maana ya neno la kiswahili wala haikusumbui na unaona ni kitu cha kawaida tuu... wakati kwa hali ya kawaida mtu mwenye kuthamini utu wake na heshima yake kama mwanadamu huwa anajivunia utamaduni wake na kamwe hawezi kuubeza na kuona ni sawa tuu hata kama asipojua lugha yake vizuri..........

On the other hand what is the English word for "kijakazi". From his/her response to simple and straightforward questions, I get the feeling that there is more to the name than meets the eye. Anybody to the rescue?
 
Nduguzanguniiii,

Waswahili walisema kuuliza si ujinga, na asiyekubali kushindwa si mshindani.Si kweli kwamba kwa sababu tu Kiswahili ni lugha yetu basi tujue kila kitu.Mara nyingine kiswahili kinakuwa kigumu zaidi ya kiingereza, na zaidi ya hapo maandiko ya kiswahili pamoja na sehemu za kupata msaada wa kiswahili ni chache sana.Iweje tumtie ukiwa ndugu yetu anayekuja kutuuliza swali la kuhusu lugha ya kwetu?

Kama wengine watamshangaa ndugu yangu Mwanakijiji kwa kuuliza swali kuhusu Kiswahili na si Kiingereza, mie nitampongeza.Sio tu kwa kutokosa aibu za kijinga ambazo zingemzuia kupanua werevu wake katika kiswahili, bali pia kwa kukataa kutumia njia ya mkato ya kutaka kutumia neno la kiingereza au la kiswahili lisilo sawia.

Labda kama kila muongeaji na muandishi wa kiswahili angekuwa na ufuatiliaji huu wa Mwanakijiji wa kutafuta maneno hususan basi tusingekuwa na hili swali, maana moja ya matatizo ya lugha yetu leo ni swala la kutotumia lugha vizuri na kwa ufasaha.
 
Last edited:
...Pundit, some pipo are just bitter, provocatively bitter! No matter what you do, you are just in the wrong to them. yaani utafikiri damu yao iko swapped for tonic water!

...But again, huu ndio uhuru wa kuuliza na kujibiwa hapa jamvini.
 
Hii ni AIBU! ukiwa kama mtanzania na hujui neno "kuhujumu"? hii yoote inasababishwa na dharau, dharau ya lugha yetu ya kiswahili... nina uhakika kabisa kama nilivyokuwa na uhakika wewe ni mtanzania kama ungekuwa hufahamu maana ya hilo undermine kiingereza usingeweza kuuliza humu maana yake kwa maana ungejisikia aibu sana lakni kwa kuwa haujui maana ya neno la kiswahili wala haikusumbui na unaona ni kitu cha kawaida tuu... wakati kwa hali ya kawaida mtu mwenye kuthamini utu wake na heshima yake kama mwanadamu huwa anajivunia utamaduni wake na kamwe hawezi kuubeza na kuona ni sawa tuu hata kama asipojua lugha yake vizuri..........



Boy,i guess you got it all wrong.
The sentence/the question is ironic.
it is not that,the guy does not know what that word mean,angetaka kujua maana yake believe me anajua wapi pa kuulizia sio hapa kwenye SIASA
 
Hii ni AIBU! ukiwa kama mtanzania na hujui neno "kuhujumu"? hii yoote inasababishwa na dharau, dharau ya lugha yetu ya kiswahili... nina uhakika kabisa kama nilivyokuwa na uhakika wewe ni mtanzania kama ungekuwa hufahamu maana ya hilo undermine kiingereza usingeweza kuuliza humu maana yake kwa maana ungejisikia aibu sana lakni kwa kuwa haujui maana ya neno la kiswahili wala haikusumbui na unaona ni kitu cha kawaida tuu... wakati kwa hali ya kawaida mtu mwenye kuthamini utu wake na heshima yake kama mwanadamu huwa anajivunia utamaduni wake na kamwe hawezi kuubeza na kuona ni sawa tuu hata kama asipojua lugha yake vizuri..........

neno "sabotage" na neno "undermine" yana maana moja katika kiswahili? When somebody is accused of sabotaging the economy is this the same as undermining?

Katika Webster "undermine" inafasiriwa hivi:

1. to injure or destroy by insidious activity or imperceptible stages, sometimes tending toward a sudden dramatic effect.
2. to attack by indirect, secret, or underhand means; attempt to subvert by stealth.
3. to make an excavation under; dig or tunnel beneath, as a military stronghold.
4. to weaken or cause to collapse by removing underlying support, as by digging away or eroding the foundation.

na Neno "sabotage" linafasiriwa kuwa ni:

1. Destruction of property or obstruction of normal operations, as by civilians or enemy agents in time of war.
2. Treacherous action to defeat or hinder a cause or an endeavor; deliberate subversion.

Sasa nikisema "he was undermining his authority" siwezi kutafsiri kwa kiswahili kuwa "alikuwa anahujumu mamlaka yake".

Sasa wewe unayejua kiswahili nifafanulie hilo neno maana miye kwa kuuliza ni aibu! nitoe ushamba.
 
Boy,i guess you got it all wrong.
The sentence/the question is ironic.
it is not that,the guy does not know what that word mean,angetaka kujua maana yake believe me anajua wapi pa kuulizia sio hapa kwenye SIASA

Boy, I am astounded or am I missing something here. Could may be somebody has had one too many or am I not seeing whither I am heading.

Sanda Matuta, ndugu yangu kulikoni ama uliamka vibaya. Hilo swali la MKJJ hapa ndipo pahala pake.

Undermine could also mean attenuate, blunt, corrode, cripple, debilitate, disable, eat away, enfeeble, erode, foil, frustrate, hurt, impair, knock the bottom out of, poke full of holes, ruin, sabotage, subvert, threaten, thwart, undercut, wear, whittle away or wreck.

Its most near antonym is strengthen
Hata mimi ningependa nijue kiswahili chake - undermine.
 
Kweli mnajipa kazi wakuu...kutafsiri from English to Kiswahii or
vice versa hua ni kazi kweli.

BTW hio vice versa nd'o nini katika lugha yetu teule?
 
Maana ya Maneno hubadilika kutokana na matumizi katika sentenso husika. Mkuu MNKJJ hakutaka maana ya neno pekee ameuliza je unapata maana ipi katika kutafsini(ama kama ungetasiri sentenso hiyo kwa kiswahili) neno hilo ungelitafsiri vipi. neno undermine lingetafsirika vipi hapo. sasa watu wamegeuka kamusi na kutafsiri neno badala ya kujali maana ipatikanayo katika sentenso.
 
not quite..

If you look at the two definitions you gave us, you will see the intersection.I have not heard of a single word, most fitting, that describes "undermine" than "hujumu".It is true that hujumu is sabotage, but undermine is also sabotage, the difference is in degrees where sabotage is more dire and can encompass espionage acts (breaking down bridges etc) while undermine can be more about sabotaging by not doing something (not delivering your friends letter of application) or doing something negative overly covertly as in "CCM is underminning the opposition's effort to gain a parliamentary majority by distorting the constitution".

If there is a word -and I am not saying there isn't- that describes undermine better than than "hujumu" then I am in the same position as Mwanakijiji, waiting to be educated.
 
korofisha, tibua, zingua, bomoa taratibu, mong'onya, ?????

Not quite

Unaweza kukorofisha bila ku undermine, ili ku undermine inabidi uwe na ill intent, fundi mitambo anaweza kukorofisha mitambo kwa kukosa ujuzi akawa amekorofisha lakini haja undermine by definition.

Kutibua likewise

Zingua is not even undermine, ki nzi kikiwa kinarukaruka karibu yako wakati unakula kitakuwa kinakuzingua, lakini hakiku undermine.Neno undermine ni zito sana kuliko zingua

Bomoa taratibu - si kweli kwamba ku undermine ni kubomoa taratibu, unaweza ku undermine kwa kujenga taratibu.

Mong'onya is more erode than undermine.

I still posit the closest word to undermine as being hujumu, if there is a better word anybody, please educate.
 
Back
Top Bottom