KISWAHILI: Naomba maana ya maneno haya...

KISWAHILI: Naomba maana ya maneno haya...

HIvi neno "venture" tunaweza kulitafsiri vipi katika Kiswahili.?

a. He ventured into new mission

b. He was a venture capitalist
 
Mkuu Mkjj,

Hilo neno maana yake ni "KUDIRIKI" - likiwa na maana "kufanya jambo fulani pamoja na kuwa jambo hilo linaweza kuwa na hatari au athari mbaya".
 
Mkuu Mkjj,

Hilo neno maana yake ni "KUDIRIKI" - likiwa na maana "kufanya jambo fulani pamoja na kuwa jambo hilo linaweza kuwa na hatari au athari mbaya".

neno diriki ni sawa na thubutu ambayo kwa cha wenyewe wanasema "dare". Venture nadhani inaelekea huko huko na yawezekana kutumia "diriki" kutafsiri "venture" laweza kuwa sahihi.
 
Nadhani pia waweza kutumia neno 'mhanga' sina uhakika sana ila nadhani katika matumizi ya kiswahili na kutoa tafsiri ya neno kutoka lugha fulani, neno hilo linaweza kuongeleka au kuandikika kirahisi zaidi hata kama tafsiri yake kwenda kiingereza itakuwa si sahihi sana ukilinganisha na pale linapotumika ndani ya kiswahili.

Nimependekeza neno hili baada ya kufikiria matumizi ya venture kwenye mifano mbalimbali na hiyo hapo juu ya Mkjj.

my two cents!
 
neno diriki ni sawa na thubutu ambayo kwa cha wenyewe wanasema "dare". Venture nadhani inaelekea huko huko na yawezekana kutumia "diriki" kutafsiri "venture" laweza kuwa sahihi.


Venture is an undertaking which is daring.



Kuna tofauti kati ya kudiriki na kuthubutu?
 
Venture is an undertaking which is daring.


Kuna tofauti kati ya kudiriki na kuthubutu?

a. "kudiriki" ni kufanya kitu kwa kudhamiria hasa pale inapozaniwa kuwa kitu hicho hakitafanyika. Katika hili kudirika kuna presume kuwa kitu fulani hakitafanyika.

mfano: "Alidiriki kumpinga hadharani" - hakuna aliyedhania atafanya hivyo lakini alifanya hivyo. Kitu ambacho mtu amediriki kukifanya hakikuonekana uwezekano wa kufanyika.


b. Kuthubutu ni kutenda bila ya kujali matokeo yake hata kama watu wanajua kitendo hicho kinaweza kufanywa. Mtu anayethubutu kusema au kufanya kitu anaweza kujua uwezekano wa matokeo fulani lakini bila kujali uwezekano wa ubaya/hatari/tatizo bado atafanya kitu hicho.

mfano: Alithubutu kumpinga hadharani licha ya kuambiwa kwa kufanya hivyo kutamfukuzisha kazi.

Kudiriki hakuoneshi mgongano ni kitendo kinachoendana na uungwana kuliko ukorofi, ugomvi, au kujitakia ubaya, lakini kuthubutu mara zote kunaendana na mgongano na uwezekano wa jambo baya kutokea.

M.M.
 
sasa hii inajibu vipi neno "venture"... naona bado niko kwenye kipeo cha kwanza!

--venture capitalist: bepari mhanga
--he/she ventured into something: alidiriki kufanya kitu fulani


--suicide terrorist: gaidi wa kujitoa mhanga
--suicide attempt: jaribio la kujiua

Hapo ndipo maana mimi nasema 'mhanga' laweza kuwa na nafasi yake kutegemeana na sentensi. Si lazima liwe na maana kamili katika kiingereza, as long as linaleta ladha nzuri na kueleweka kwenye kiswahili. Ndipo hapo unapokuta sisi hatuna she au he, lakini wao wanazo.

SteveD.
 
mhanga - inatumiwa vibaya sana. Mhanga kimsingi ni "victim" yaani mtu aliyekutwa na jambo baya SIYO mtu alinayefanya jambo ambalo ambalo laweza kuwa baya au zuri.

hivyo: tuna "Mhanga wa mafuriko ya Tsunami" - Victim of the Tsunami"

Walioharibu matumizi ya neno hilo naamini ni BBC ambao walianza kutafsiri neno "waliojitoa mhanga" wakifikiri wanamaanisha aliyejitolea kuua!

Kujitoa mhanga ni kuwa kujitolea ili wawe yakukute yale mabaya ambayo yalikuwa yawakute watu wengine; you become a victim. Kwa wale waliowahi kuiona filamu ya "War Bus" watakumbuka askari mmoja mlevi mlevi aliwaokoa wenzake liliporushwa bomu la mkono kwa yeye kujirusha juu ya bomu hilo na hivyo likamlipua yeye na kumuua na kuwanusuru wale wengine (waliokuwa wanahangaika kwenye basi kuondoka eneo hilo). HIvyo yule askari "alijitoa mhanga" kuwaokoa wengine, he became a victim.

Hivyo basi, "mhanga" ni mtu ambaye anakutwa na jambo ambalo ni baya (huwezi kuwa mhanga wa jambo zuri) aidha alilolitarajia (kwa kuweka maslahi yake nyuma) au pasipo kulitarajia (kwa bahati mbaya).



Naamini mhanga anaweza akawa aliyenusurika (siyo lazima afe) na pia anaweza kufa katika kujitahidi kuokoa au kufanya jambo ambalo linanusuru, kuokoa maisha ya watu wengine.
 
Kwa tafsiri halisi VENTURE ni jambo la hatari, jurusisha ama thubutu. Hii ndiyo tafsiri halisi ya venture.
 
1. venture = 'cheza pata-potea' mfano:

To venture one's fortune = 'cheza pata potea na mali za mtu'
to invest venture capital = 'kuwekeza mtaji pata-potea'
venture one's life = 'cheza patapotea na maisha'

2. venture = 'diriki/thubutu' mfano:

I venture to say that you are insane = 'nadiriki ama nathubutu kusema wewe huna akili timamu/mwehu'
 
See

The Kamusi Project | The Internet Living Swahili Dictionary

venture { Swahili: -chasiri }

venture { Swahili: -diriki [derived: Arabic] }

English Example: the child doesn't venture to argue with his mother
Swahili Example: mtoto huyu hadiriki kumbishia mama yake [Muk]

venture { Swahili: -hudhuria }

venture { Swahili: -jasiri }

venture { Swahili: -tadaraki }

venture { Swahili: -thubutu }
 
See

The Kamusi Project | The Internet Living Swahili Dictionary

venture { Swahili: -chasiri }

venture { Swahili: -diriki [derived: Arabic] }

English Example: the child doesn't venture to argue with his mother
Swahili Example: mtoto huyu hadiriki kumbishia mama yake [Muk]

venture { Swahili: -hudhuria }

venture { Swahili: -jasiri }

venture { Swahili: -tadaraki }

venture { Swahili: -thubutu }

Pundit, Kamusi Project is an ongoing wiki project. Some of its members are JF members and offer their authoritative contribution on that platform through ideas gathered in other discussion such as this. In any case, thank you for highlighting this again.

Btw dawg, you gotten onto Facebook translations by any chance?.... good stuffs goin down there too.. You may join: karibu 🙂

--some more big projects underway. You'll be invited soonest they're ready.

SteveD.
 
Pundit, Kamusi Project is an ongoing wiki project. Some of its members are JF members and offer their authoritative contribution on that platform through ideas gathered in other discussion such as this. In any case, thank you for highlighting this again.

Btw dawg, you gotten onto Facebook translations by any chance?.... good stuffs goin down there too.. You may join: karibu 🙂

--some more big projects underway. You'll be invited soonest they're ready.

SteveD.

Swahilization of the internet and IT is pointless and doomed.
 
...and with reference to this post of yours if you don't mind Pundit, can you pls further explain why it's doomed, particularly the Internet. Thank you.

Kwa sababu, you just don't create a product that has no demand, or very little demand.Kama watu wanataka kufanya hii project kama academic exercise au cultural enrichment of the internet that's fine, but it is an impractical goal that will cost more than it is worth.

Wengi wa watumiaji wa mtandao tayari wanajua Kiingereza cha kutosha ku get around (ndio hao hao wanaotafsiri) na wachache wasiojua Kiingereza, hicho kiswahili cha IT cha "taradishi" na vikorokoro vingine kama hivyo vitawazingua zaidi ya kiingereza, angalau kiingereza kuna maneno yanajulikana lakini wao hawayajui kwa hiyo wanaweza kuwauliza wenzao, kiswahili unaweza kukutana na maneno ya IT ukakuta hamna hata mtu mmoja anayejua.And these are the kind of people that do not even know that The Kamusi Project exist, or that Google is your friend.

Kwa hiyo hii effort ni nzuri, lakini kwa sasa itaishia kama feature nzuri sana ya Microsoft Word ambayo hutumiwa o.oo1 percent of the time. Mpaka utakapokuwa na hadhira ya kutosha, mpaka utakapokuwa sio tu na umeme pamoja na internet vijijini, bali pia na compyuta pamoja na purchasing power ya kuiwasha hiyo computer na kuiunganisha kwenye internet, audience mnayoifanyia kazi haipo, na sijui kama itapata internet access maishani mwangu.

Besides, audience hiyo ingekuwa inajua kiswahili labda tungeweza kusema mnafanya maandalizi, lakini sasa hivi hata hiyo audience yenyewe Kiswahili haijui. Kiswahili as a coherent language is under the threat of extinction -with the exception of some pockets in Zanzibar, Mrima and Mvita-

Speaking of Mrima and Mvita, which lahaja are you going to write in? Or are you going to butcher Kiswahili with "papo hapos" a la the good book?

These are the apparently insurmountable challenges, they need not hinder your process -and in no way did I mean to project cynicism- but I just saw these as challenges, prove me wrong by having a Yahoo type content rich heavy traffic portal.

Nchi zote zenye kutumia lugha zao kwa sana kwenye IT na internet zina either literacy levels za juu sana, au uchumi wa juu sana, nyingi zina vitu viwili hivi pamoja.Kabla hatuja vi address hivi pamoja tutakuwa tunawatafsiria wazungu na watu wengine wanaotaka kujifunza kiswahili pamoja na sisi wenyewe, ndiyo mambo ya 0.0001 percent hayo.

Back in 03 I was talking to Brian Greene, the celebrated Columbia profesor and author of the bestselling "The Elegant Universe" he was all for it, but I was asked, was there a demand? I had to be frank with myself, ningetafsiri ningemtafsiria nani? Kile kitabu na ma concept yake ya high and mighty particle physics ambayo mengine hata katika kiingereza ndiyo yanapatiwa manenono kingeeleweka katika kiswahili au ushabiki tu? Na je, ningeweza kutafsiri, watu ambao wangekuwa interested kukisoma katika kiswahili si ndio hao hao wenye uwezo wa kukisoma kiingereza? Na watu ambao hawajui kiingereza probably wasingejua mambo mengi ambayo ni background knowledge ambayo muandishi hawezi kufafanua kwa kujua ni kama prerequisite fulani, je unaweza kumuelewesha mtu jinsi gani relativity ilivyokuwa revolutionary kama hawajui Newton na Einstein na the progression that happenned there?

Kwa hiyo unaweza kukuta hili kuwa practical likawa swala la uchumi na literacy zaidi kuliko content.
 
Last edited:
Kwa sababu, you just don't create a product that has no demand, or very little demand.Kama watu wanataka kufanya hii project kama academic exercise au cultural enrichment of the internet that's fine, but it is an impractical goal that will cost more than it is worth.

Wengi wa watumiaji wa mtandao tayari wanajua Kiingereza cha kutosha ku get around (ndio hao hao wanaotafsiri) na wachache wasiojua Kiingereza, hicho kiswahili cha IT cha "taradishi" na vikorokoro vingine kama hivyo vitawazingua zaidi ya kiingereza, angalau kiingereza kuna maneno yanajulikana lakini wao hawayajui kwa hiyo wanaweza kuwauliza wenzao, kiswahili unaweza kukutana na maneno ya IT ukakuta hamna hata mtu mmoja anayejua.And these are the kind of people that do not even know that The Kamusi Project exist, or that Google is your friend.

Kwa hiyo hii effort ni nzuri, lakini kwa sasa itaishia kama feature nzuri sana ya Microsoft Word ambayo hutumiwa o.oo1 percent of the time. Mpaka utakapokuwa na hadhira ya kutosha, mpaka utakapokuwa sio tu na umeme pamoja na internet vijijini, bali pia na compyuta pamoja na purchasing power ya kuiwasha hiyo computer na kuiunganisha kwenye internet, audience mnayoifanyia kazi haipo, na sijui kama itapata internet access maishani mwangu.

Besides, audience hiyo ingekuwa inajua kiswahili labda tungeweza kusema mnafanya maandalizi, lakini sasa hivi hata hiyo audience yenyewe Kiswahili haijui. Kiswahili as a coherent language is under the threat of extinction -with the exception of some pockets in Zanzibar, Mrima and Mvita-

Speaking of Mrima and Mvita, which lahaja are you going to write in? Or are you going to butcher Kiswahili with "papo hapos" a la the good book?

These are the apparently insurmountable challenges, they need not hinder your process -and in no way did I mean to project cynicism- but I just saw these as challenges, prove me wrong by having a Yahoo type content rich heavy traffic portal.

Mkuu, partly mawazo yako nakubaliana nayo lakini kwa wingi naona yanapingika. Hapo mwanzo ulitamka kuwa juhudi kama hizo zote katika Internet na IT kiujumla ni pointless na ziko doomed. Sasa upinzani wangu katika statement yako unatokana na kule kuonesha kuwa jitihada zote hizi ambazo zinatumika kama mojawapo ya njia ya kudocument kiswahili ni failure. Unless kama sikuelewi vizuri haswa umaanishacho.

Ukweli ni kwamba, medium of communication imehamia/inahamia kwenye mtandao kwa nguvu kubwa. Nyaraka nyingi zinakuwa digitized. Na kadiri miaka inavyoenda, trend hii ndivyo inavyoshamiri. Sasa hata kama sisi tulikuwa na bado tuko nyuma katika uandishi na kunyarakisha (to document) kazi zetu, je kweli unafikiri kuwepo kwa kamusi project na nyinginezo kama hizo ni kitu pointless?... Vipi pale itakapofika mwaka 2096 na vitukuu vyetu kukuta akina Pundit na SteveD walishashiriki kwenye kutoa tafsiri za maneno ya lugha zetu kwenda kwenye lugha nyingine ngeni, kweli hilo halitakuwa jambo la maana kwao wakati huo? Ndiyo nakubali sasa hivi hatuna umeme reliable na elimu bado iko chini katika kila aina ya nyanja. Lakini kwa jinsi tunavyopiga kelele kwenye majukwaa ya siasa, hii hali ndiyo tunapenda ibakie hivyo hivo, au? Kwani kusema juhudi kama za Facebook translation na Microsoft na nyinginezo kuwa hazitumiki sasa hivi na hazina mwonjo wa Kiswahili cha Mrima na Mvita ni pointless, huku si kukubali kushindwa na kukata tamaa. Kwangu mimi ni bora tushindwe kuliko kukata tamaa mapema namna hii. Wajukuu zetu are the one to judge our efforts katika yote.

Na ndipo hapo ninaposema kuwa, viongozi wa sasa hivi walio wazembe na mafisadi, wasijisahau na kufikiri kuwa vizazi vijavyo havitawahukumu wakiwa makaburini mwao. Otherwise, kule kwa wenzetu walioendelea tusingekuwa tunaona kumbukumbu za matukio mbalimbali za mashujaa wao kila mwaka.

SteveD.
 
These are the apparently insurmountable challenges, they need not hinder your process -and in no way did I mean to project cynicism- but I just saw these as challenges, prove me wrong by having a Yahoo type content rich heavy traffic portal.

Nchi zote zenye kutumia lugha zao kwa sana kwenye IT na internet zina either literacy levels za juu sana, au uchumi wa juu sana, nyingi zina vitu viwili hivi pamoja.Kabla hatuja vi address hivi pamoja tutakuwa tunawatafsiria wazungu na watu wengine wanaotaka kujifunza kiswahili pamoja na sisi wenyewe, ndiyo mambo ya 0.0001 percent hayo.

Back in 03 I was talking to Brian Greene, the celebrated Columbia profesor and author of the bestselling "The Elegant Universe" he was all for it, but I was asked, was there a demand? I had to be frank with myself, ningetafsiri ningemtafsiria nani? Kile kitabu na ma concept yake ya high and mighty particle physics ambayo mengine hata katika kiingereza ndiyo yanapatiwa manenono kingeeleweka katika kiswahili au ushabiki tu? Na je, ningeweza kutafsiri, watu ambao wangekuwa interested kukisoma katika kiswahili si ndio hao hao wenye uwezo wa kukisoma kiingereza? Na watu ambao hawajui kiingereza probably wasingejua mambo mengi ambayo ni background knowledge ambayo muandishi hawezi kufafanua kwa kujua ni kama prerequisite fulani, je unaweza kumuelewesha mtu jinsi gani relativity ilivyokuwa revolutionary kama hawajui Newton na Einstein na the progression that happenned there?

Kwa hiyo unaweza kukuta hili kuwa practical likawa swala la uchumi na literacy zaidi kuliko content.

Katika nyongeza yako mkuu Pundit: Tunafahamu kuwa lugha hubadilika. Hukua na hufa. Kilatini ni kimojawapo, Maya wa kule Colombia ni mfano pia, na kwa mtu anayeonekana knowledgeable kama wewe nina amini umesoma au unayaelewa fika mambo ya Rosetta stone na mengineyo yaliyozua mtafaruku kati ya ma-westerner katika kutafsiri scripts zilizopo kwenye pyramids Egypt.

Sasa kwa habari chache kama hizi, ukisikia ni lazima ufanye juu chini kushiriki kunusuru kile kilichopo kama una mapenzi halisi na lugha yako na unaona kuna mwanya au uwezo wa kufanya hivyo.

Kuna siku moja nilikuwa nasikiliza mazungumzo kutoka Radio Mlimani ya chuo cha uandishi... kuna mtaalam mmoja wa lugha alikuwa amealikwa kutoa nasaha zake kwenye kipindi. Nakumbuka alisema kuwa hapo zamani kulikuwepo na maandishi ya kiswahili, yaani kama vile tuonavyo ya kichina, kihindi, kirumi, kiarabu n.k. Haya alisema yalikuwa ni ya kiswahili na kuna jitihada mbalimbali wanafanya za kuyafufua.

Ndugu yangu tukubaliane kuwa civilization inajengwa na mambo mbalimbali, na kimojawapo ni lugha. Na pale lugha hiyo inapokuwa documented ndipo hapo panakuwa na maendeleo na historia nzuri ya lugha kwa vizazi vinavyofuata. Referring to my first example of latin, just think if it wasn't written and then became dead. What would have been the alternative in scientific nomenclature...
Ahsante.

SteveD.
 
Huja acknowledge kuwa hata Kiswahili cha kuandika hatukijui.We are talking about a vast population of Swahili speakers.Au uta settle for that mish mash produced in the bible?
 
Back
Top Bottom