KISWAHILI: Naomba maana ya maneno haya...

KISWAHILI: Naomba maana ya maneno haya...

Kwa lugha ya mtaani,nisijue we ulishawai ishi wapi Daslaaam,pede ni mtu mwenye pesa hasiye na shule(hakwenda darasani),walenda mbali na kutolea mfano Papa Musofe,Jack Pemba...............na wengine wengi wa mwananyamala na kijitonyama.


Mimi nilipoondoka mitaa hiyo hili neno halikuexist na nini chanzo ama mwanzo wa neno hili kutumika ?
 
Waanzilishi ni waimbaji wa muziki wa Kongo.Akimuita mbomgo pede na bwana anataka ujiko wa kujulikana,bwana anamwaga pesa.
 
hIVI NENO HILI LIMESHAPITIWA NA IDARA ZA KISWAHILI NA KAMA LINAKUBALIKA.

sahiba.
 
hilo neno linatokana na kifupi cha neno/maneno ya kifaransa-president directeur generale(pdg) yaan kwa tafsiri ya kiswahili sanifu ni mkurugenzi/meneja mkuu wa kampuni au shirika fulani
Yeah ni kweli kwa kuongezea tu PDG au pédégé!sasa wakongoman ndo na sisi wakatuletea!
 
Na hawa wakongoman wanapomwita mtu pedejee wamaanisha kama tunavyomaanisha sisi ama ?
 
Wakubwa nauliza tena hili neno pedejee taasisi zetu za kiswahili zinalikubaki ama linazikataa ?
 
Napenda sana kuwa pedeshee, nifanyeje ili na mimi niwe pedeshee??
Au huo upede sheee wanasomea wapi??
Na ada ya mafunzo hayo inagharimu kiasi gani?
 
Yaani ni mademu wanamwita Bwana mwenye pesa asiye na shule Pedeshee? Ina maana mimi siwezi kuwa Pedeshee?

Kaazi kweli kweli!
 
Last edited:
maneno mengi ya kigeni ambayo yametoholewa huwa si sahihi kutumika katika kiswahili sanifu.Hilo neno pedejee bado halijasanifiwa.

mfano neno either ambalo baada ya kutoholewa likawa aidha,lakini si sahihi kutumia neno hilo katika kiswahili sanifu.
 
Wakubwa nauliza tena hili neno pedejee taasisi zetu za kiswahili zinalikubaki ama linazikataa ?

Taasisi zetu bado hazijaruhusu.
Lakini pindi neno linapozoeleka vinywani mwa watu basi taasisi zina tohoa neno hilo na kuingiza kwenye kamusi.
Pedeshee na Pedejee naona ni yale yale,,,,,,utasikia wanasema mutu ya watu pedeshee ni mutu yenye mipesa mingi.
 
Kuna neno jingine hili la 'PAPA' sisi waswahili tunajua ni yule mtu anaye valia suruali tumboni wkt wacongo man wanamaanisha baba.Hapo hapo sisi utaona tuna maanisha tena kama mtu mwenye fweza nyingi sana.
 
FIDL 80 umesomeka!
pedejee/pedeshee NI MUTU YA WATU,MUTU NASAIDIA WATU,MUTU NAYWESHA WATU BIA.

ipaa na ngueee.bashoo ba miii,ba mii BAWEEE!!!
sTOKATEGORIIIIIIIIIII,tarakubeeeeeeeeeeeeee

ipo na paapaa kama MOPAO MOKONZZII
 
- Pedejee hapa Dar es Salaam ni cheo unachopewa baada ya kuwa na maudhurio mazuri kwenye kumbi za muziki na baa, na sio kuhudhuria tu bali kuwanunualia wanywaji pombe mpaka buje huku ukiwa umezungwuka na wanawake wa "haja".

- Pedejee hapa Dar es Salaam ni mtu mwenye kujengea urafiki na waimbaji wa muziki (hasa wenye asili ya DRC) na katika urafiki huo lazima uwe na sifa kama ya kwanza niliyotaja hapo juu halafu uweze siku moja moja "kuwatoa" wanamuziki (kama vile kuwaachia gari yako kwa takribani mwezi hivi wanatanualia na gharama ya Diesel/petrol kwako).

- Pedejee hapa Dar es Salaam ni FISADI

- Need I say More?
-
 
- Pedejee hapa Dar es Salaam ni cheo unachopewa baada ya kuwa na maudhurio mazuri kwenye kumbi za muziki na baa, na sio kuhudhuria tu bali kuwanunualia wanywaji pombe mpaka buje huku ukiwa umezungwuka na wanawake wa "haja".

- Pedejee hapa Dar es Salaam ni mtu mwenye kujengea urafiki na waimbaji wa muziki (hasa wenye asili ya DRC) na katika urafiki huo lazima uwe na sifa kama ya kwanza niliyotaja hapo juu halafu uweze siku moja moja "kuwatoa" wanamuziki (kama vile kuwaachia gari yako kwa takribani mwezi hivi wanatanualia na gharama ya Diesel/petrol kwako).

- Pedejee hapa Dar es Salaam ni FISADI

- Need I say More?
-

Sasa ndugu yangu naona siqaulify ..kuitwa Pedeshee kwa hizo criteria! sasa kuna vitu flani flan vya kutimiza?

Na nikinunua bia wakiniita Pedeshee..sasa nitafaidi nini?

Papa Watz nipeni akili nami niwe Pedeshee!
 
- Pedejee hapa Dar es Salaam ni cheo unachopewa baada ya kuwa na maudhurio mazuri kwenye kumbi za muziki na baa, na sio kuhudhuria tu bali kuwanunualia wanywaji pombe mpaka buje huku ukiwa umezungwuka na wanawake wa "haja".

- Pedejee hapa Dar es Salaam ni mtu mwenye kujengea urafiki na waimbaji wa muziki (hasa wenye asili ya DRC) na katika urafiki huo lazima uwe na sifa kama ya kwanza niliyotaja hapo juu halafu uweze siku moja moja "kuwatoa" wanamuziki (kama vile kuwaachia gari yako kwa takribani mwezi hivi wanatanualia na gharama ya Diesel/petrol kwako).

- Pedejee hapa Dar es Salaam ni FISADI

- Need I say More?
-


Haya muungwana mpaka buje na hii buje nayo ni kiswahili ama kifaransa ?

Hii Pedejee inanikumbusha yule mzaa Makaranga kule ilala miaka ile wanaomjua bado yupo ? ila yeye alikuwa mcha mungu.

SAHIBA.
 
Pedejee ni papa mukuru kuru fula ngenge toto ya mujini mkanda nje....hawa ndio moja ya maadui wangu wakubwa kwa kuchukua totozi zetu.......wanahonga haooo
 
Back
Top Bottom